Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sugu wa Chadema eti anataka ashindane na mtu wa maana kabisa na mwenye kuipa Heshima Nchi na Bara la Africa. Sidhani kama huko Mbeya Kuna watu wajinga.👇👇 My Take Ila na sisi Watanzania Huwa...
7 Reactions
80 Replies
3K Views
Israel na Iran, zote zimekiri kuwa Israel, kabla ya kufanya shambulio dhidi ya Iran, kwanza iliitaarifu Iran juu ya muda na maeneo ambayo ingeyashambulia. U aweza kushangaa na kujiuliza, lengo...
8 Reactions
52 Replies
2K Views
WAZIRI NDEJEMBI AMEMUELEKEZA KATIBU MKUU WIZARA YA ARDHI KUWACHUKULIA HATUA ZA KINIDHAMU WATUMISHI 7 WA WIZARA YA ARDHI Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi...
1 Reactions
7 Replies
551 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimefanya uchunguzi ,utafiti na ufuatiliaji mkubwa sana juu ya nafasi ya ubunge ndani ya CCM.nimekuja kuona kuwa mwakani kutakuwa na mnyukano mkali sana na ushindani wa...
2 Reactions
48 Replies
3K Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba leo tarehe 26/10/2024 kipyenga cha uchukuaji wa fomu za kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa kimepulizwa Rasmi. Na hivi ndivyo Chadema ilivyofanya...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Kwa nini hakwenda Samia na Waziri Kombo kama alivyokwenda Indonesia na Januari.? Mi nadhani nchi yetu ina special relationship na UK,rais alipaswa kwenda kwenye ule mkutano. After all Malkia ndiye...
4 Reactions
9 Replies
496 Views
Waziri Kombo aeleza yaliojiri CHOGM, Katibu Mteule wa Jumuiya ya Madola atuma salamu kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
0 Reactions
5 Replies
578 Views
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangala amesema kama Yeye angekuwa ndio mtoa maamuzi angepiga Marufuku Kamali na viambata vyake Dr Kigwangala amesema hata kukusanya Kodi kwenye kamari ni haramu...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
Dunia inakwenda kukutana na mabadiliko makubwa ya Kiuchumi katika siku chache zijazo Tayari BRICS wamezindua pesa yao katika kukabiliana na mabadiliko hayo Naomba kujua ndani ya Bunge la JMT...
0 Reactions
18 Replies
549 Views
RAIS SAMIA KUZINDUA RASMI ZOEZI LA KUANDIKISHA WAPIGA KURA WA SERIKALI ZA MITAA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan atazindua rasmi Zoezi la Kuandikisha Wapiga...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nichukue nafasi hii kuwakumbusha Watanzania wenzangu wote kuwa serikali za Mitaa ni muhimu na ndiyo sauti ya wananchi hivyo tujitokeze kujiandikisha katika daftari la mpiga kura. Bila kujali...
0 Reactions
2 Replies
212 Views
Wabunge ambao walikuwa nauwezekano mkubwa wakuwa Mawaziri lakini hawajafanikiwa. je Ni kwanini.? Naanza na Mh Charles Kimei mbunge wa jimbo la Vunjo. Huyu watu wengine tulijua anaweza kuwa...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuanzia kesho Nchi inakwenda kusimama pale ambapo kutakuwa na zoezi la uchukuaji, ujazaji na Urejeshaji wa Fomu za serikali za mitaa katika maandalizi ya uchaguzi...
2 Reactions
34 Replies
763 Views
Aibu sana yaani kama vile takukuru haina makali maana hata waajiriwa wapya hawaogopi kabisa kufanya udanganyifu.michezo hii tunajua ipo kwa wakubwa huko ma senior waliozoea kazi ila cha...
1 Reactions
2 Replies
233 Views
  • Poll Poll
Wakuu, Naombeni mawazo yenu hapa tukikumbuka kuwa kushiriki siasa siyo tu haki ya kila mtu, lakini pia ni fursa ya pekee ya wanawake kuchangia kwenye maamuzi ya nchi, yanayoathiri maisha ya kila...
0 Reactions
2 Replies
351 Views
"Watanzania wenzangu mimi nilipigwa tarehe 8/3/2020, nilipigwa na Elibariki Kingu alinipiga nikaenda Mandewa hospitali ya Mkoa, nikaenda Benjamini Mkapa wakanipeleka Muhimbili, nikatibiwa na...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
MWANAMKE ANAHAKI YA KUONGOZA TAÍFA HILI. WATU WAELEWE NCHI YETU HAIONGOZWI NA DINI WALA MILA NA DESTURI BALI INAONGOZWA NA KATIBA YA NCHI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Jàmani! Jàmani...
8 Reactions
143 Replies
6K Views
Habari wakuu, Tunaelekea kwenye zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa/vijiji ambapo watanzania maeneo mbalimbali nchini watapata fursa ya kuwachagua viongozi ambao wanaamini watawasadia kuleta...
0 Reactions
0 Replies
425 Views
Chadema jaribuni kupunguza matumizi ya anasa ili mjenge chama; 1: Mikutano ya kamati kuu inafanyika kwenye hotel zenye hadhi ya nyota tano. 2: Viongozi wakuu kutembelea magari ya anasa. 3...
1 Reactions
20 Replies
636 Views
Kwenye kipande hiki cha video, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Benson Kigaila, anafichua udhaifu wa chama chake kwa jinsi walivyojaa vitisho visivyo na msingi na msimamo usio thabiti kuhusu chaguzi...
0 Reactions
13 Replies
362 Views
Back
Top Bottom