Nimeona Clip moja Oscar Oscar anauliza swali lenye mantiki Sana.
Ingawa sikuona muendelezo wake kama alijibiwa swali Hilo, lakini mantiki ya swali lenyewe imenifikirisha Sana.
Hapa JF ni "Home...
Watanzania wengi walioajiriwa hutazama zaidi ukubwa wa viwango vya mishahara lakini sidhani kama huwa wanahoji ndani ya viwango hivyo vya mishahara kunawekwa nini !!??
Kwa mfano labda kiwango cha...
Katambi avunja gome ya Upinzani Ushetu " Tunahamia CCM hatuwezi kubaki kwenye chama kinachosusia kila Uchaguzi " Je Nani ni Nani leo kati ya ACT-Wazalendo na CCM-Tanzania
"Tutampa Rais Samia...
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imedhamira kwa dhati kuzalisha umeme Megawati 6000 hadi ifikapo mwaka 2025. Nishati hiyo itakuwa mchanganyiko endapo itazishwa na rasilimali...
Ni wakati ambao kuna mambo makubwa yanatokea. Sijui kwa nini viongozi wa Dunia wakaamua kuwaweka Watanzania in the centre of this.
Mkutano ujao utafanyika Uzbekistan. Maybe it is the only place...
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake
Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi...
Mbunge wa Nzega vijijini Dr Kigwangalla amesema kuliko kuruhusu Kamari ni Bora tungeruhusu Bangi kwa Sababu ina faida nyingi kiafya
Dr Kigwangala alikuwa anatoa Mjadala wa Kuelimisha Jamii...
Hizi sifa anazopewa Rais wa Tanzania zinamsataili?
Kila uchwao tunasikia Rais ametoa pesa za mradi fulani, mara Mradi fulani nauliza Rais wetu hizo pesa anazitoa wapi zaidi ya kodi zetu?
Kama ni...
Tanzania ni lazima tusome nyakati. Ruhswa inaelekea imeshindikana kama tutasubiri serikali itatue hili tatizo. Lakini ni lazima mkakati uwekwe kitaifa bila hivyo tutakuwa tuna bebe maji na gunia...
Msingi wa uwepo wa chama ni siasa na uchaguzi Mtima wa Siasa za vyama vingi.
Unapokuwa na chama kinachotoa visingizio wakati wa uchaguzi na kutupigia kelele wakati kufanya maendeleo.Vyama vya...
Zimebaki siku chache kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ambao utafanyika November 27, 2024 Nchi kote.
Sasa kama wewe ni mwananchi wa Tanzania na umejiandikisha ili kupiga kura mwaka huu je...
Mwenge Chacha Ghati, mkazi wa wilayani Tarime akielezea kushangazwa kwake baada ya kukuta jina la mke wake kwenye daftari la wapiga kura wakati amepotea miaka mitatu iliyopita
Pia soma: LGE2024...
Wadau hamjamboni nyote?
Sina chuki wala husuda yeyote ila Dodoma kujengwa uwanja wa ndege wa kimataifa ni hasara kiuchumi
Mkoa hauna mchango mkubwa kiuchumi kwa nchi yetu japo unapigiwa debe...
Waziri Mchengerwa nimesikia maagizo yako kwa TARURA kuhusu ubora na viwango vya barabara wanazozijenga.
Ombi langu usiishie kutoa maagizo ingia site ujionee vituko mwenyewe.
Anzia na barabara za...
MWENYEKITI Mwenza wa wabunge wanaounda Umoja wa Katiba (UKAWA), James Mbatia amesema wanaendelea kukusanya ushahidi vitendo vya ubakaji demokrasia na haki za binadamu kumfikisha Rais Dk. John...
Maharage, Nape na Makamba walikua na jeuri na viburi kupindukia wako wapi hii leo?
Kuna watu walikua na viburi,jeuri,fedheha,jeuri na dharau kama watu watatu?
Walijiona kama Miungu watu...
Mnawachukua watoto wanafunzi na kuwaandikisha kupiga kura wenye miaka 14-17 kisha mtu mzima kama Makalla anatoka hadharani kujisifu kuvuka malengo ni picha kuwa taifa linapotea njia.
Watoto wetu...
To be seen by all Cabinet Members
As Tanzania stands on the threshold of potential greatness, we face a dire, persistent obstacle: the misdirected energies of our leaders. Busy with needless...
CHADEMA na ACT WAZALENDO mko wapi nyie? Msije mkasema hatukuwaambia...
Watoto wangu wawili (kidato cha 1 & 2) wanaosoma shule moja ya kutwa hapa Shinyanga Manispaa wamefika nyumbani jana na...
Nimeona Sasa hata CHADEMA wale Wabunge wao wa viti Maalum akina COVID-19 Halima Mdee wanagawa Pikipiki nyakati hizi za uchaguzi
Japo Mzee Lowassa na Makamba jr waligawa Pikipiki enzi zao lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.