Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Swali ambalo linajitokeza ni kuhusu matumizi ya fedha za mikopo zinazopatikana kutoka Benki ya Dunia (WB) kwa ajili ya kujenga shule za msingi na sekondari nchini. Je, wazazi wataendelea kuzaa...
0 Reactions
1 Replies
208 Views
Chaguzi za mwaka unaoishia na 5 tulizoea kuona CCM wakiweka Mgombea Urais Mpya na Chadema Wagombea wao walitoka kaskazini huku CUF wakiwa na Mgombea wao wa kudumu. 2025 mambo yatakuwa tofauti...
1 Reactions
28 Replies
876 Views
Juzi zoezi la andikishaji wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, limehitimishwa kwa serikali kujipa kongele kubwa kuwa wananchi wengi wamejiandikisha. Sasa Chama cha...
4 Reactions
6 Replies
746 Views
Kwa nyakati tofauti kumekuwa na Viongozi walionukuliwa wakisema "Nchi hii imechezewa sana, Nchi iligeuzwa Shamba la Bibi lakini wahusika hawatajwi. Wapo waliowahi kutoa kauli za Vitisho ikiwemo...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
20 October 2024 Mikoa yavunja rekodi kujiandikisha uchaguzi wa TAMISEMI 2024 Mikoa mitano ya Tanganyika iliyoongoza nchini Tanzania ni kama ifuatavyo : Tanga asilimia 101.13 ya lengo , Pwani...
6 Reactions
42 Replies
2K Views
Hii ni ishara tosha kwamba CCM ni maisha yetu, sawa na maji. Watu wako tayari kukesha, hata kuchapana makonde ili waipigie kura CCM. Nadhani makao makuu au ofisi za mikoa na wilaya, zitupie jicho...
1 Reactions
23 Replies
550 Views
Inavoonekana CCM wana utaalamu wa hali ya juu sana katika kucheza rough za uchaguzi. Na dalili za wazi tunaziona kwenye chaguzi za kura za maoni ndani ya chama, na kama haufikiri kwa kina unaweza...
2 Reactions
14 Replies
423 Views
Tanzania, known for its vast natural resources and potential for self-sustainability, finds itself caught in a precarious situation: over-dependency on foreign expertise, goods, and services. This...
2 Reactions
13 Replies
707 Views
Spika Sitta RIP alikuwa ni mwanasheria Kitaaluma kama alivyo Daktari wa Sheria mh Tulia Katika Kuongoza Bunge na wadau wake mzee Sitta alitumia zaidi Busara lakini Spika Dr Tulia Yeye anatumia...
3 Reactions
12 Replies
340 Views
Godbless Lema, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, amemkosoa Waziri Mchengerwa kuhusu takwimu za uandikishaji wa wapiga kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lema amesema kuwa...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakili Makore ambaye ni miongoni mwa Mawakili wa Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina waliokuwa mstari wa mbele kumsimamia kwenye kesi aliyokuwa ameifungua Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
Inaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyika wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji. Ukiwa na chama cha namna hii...
1 Reactions
13 Replies
351 Views
Kama bado unafikiria kwamba kuna Chama kitapita bila kupingwa basi unapaswa kutafakari Upya Angalia Mkutano Mkuu wa kura za maoni wa Kijiji wa Chadema huko Kahama ili kumpata Mgombea wao Serikali...
8 Reactions
26 Replies
1K Views
Wapinzani hamna sababu ya kulialia kwani tangu enzi za Utawala wa Rumi Mwenye Nguvu ndiye anatawala Mtapiga sana kelele kuhusu orodha ya Wapiga Kura wa mh Mchengerwa lakini fahamuni Imeisha hiyo...
0 Reactions
3 Replies
192 Views
Wana Jamiiforums mko salama? Mimi naomba Wakazi wa Chanika Zingiziwa mtusaidie kuhusu suala hili, kwa mwenye kufahamu. Juzi, nilitembelea Kata ya Zingiziwa, iliyopo Chanika na kuzungumza na...
0 Reactions
0 Replies
273 Views
Hakuna bin-adam yeyote awe kiongozi ana raia asiyekua na mapungufu,viongozi wote walikuwa nayo uzuri ni kwamba walifanya mengi mazuri kuliko mabaya ndio maana tunakubali kwamba walikuwa the...
8 Reactions
42 Replies
4K Views
Kwa muda mrefu Tanzania tulijiweka katikati ya dunia kupitia siasa ya nje ya kutofungamana na upande wowote, sera hii imetuchelewesha sana kwakuwa hakuna anaetuamini kwa 100% badala yake tuko...
4 Reactions
8 Replies
448 Views
Siko hapa kwa ajili ya mabishano lakini ningependa kujua Uwezo wa vijana wetu wanaohitimu masomo ya Biashara pale UDSM na CBE Sekta ya Biashara imekuwa haina Mipango kana kwamba hii nchi haina...
5 Reactions
24 Replies
778 Views
Wakuu, Ndio walikuwa wanajitapa na uhuru wa kutoa maoni kuongezeka. Kauli za kichochezi inatakiwa kutolewa maana. Huku ni kutufanya mabubu wazi wazi. ====== HATI YA MAKOSA KOSA LA KWANZA Kutoa...
12 Reactions
96 Replies
14K Views
Nauliza tu maana Awamu hii mapambano dhidi ya Rushwa na Ufisadi yanaongozwa na Wazalendo wa CCM siyo Wapinzani kama tulivyozowea Zitto Kabwe na Tundu Lisu wamepotea Kabisa mfano wa Wasiojulikana...
0 Reactions
1 Replies
166 Views
Back
Top Bottom