Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
India kama ilivyo China ni mzalishaji mkubwa wa pikipiki hasa kuna Brand nyingi sana ikiwemo Boxier ambazo zinauzwa sana huku Tanzania na zinapendwa sana na ni moja ya pikipiki ghari sana. Wiki...
3 Reactions
9 Replies
367 Views
Makalla hana :- 1. Hoja na hajui kujenga/kupangua hoja (argumentative ability) 2. Mvuto kwa watu na hawezi kuiteka hadhira anapoongea. 3. Uwezo wa kutangulia mbele ya hoja yake na kuangalia...
17 Reactions
66 Replies
5K Views
Wakuu Kwema! Leo nimekutana na moja ya mwanasiasa kutokea chama cha Mapinduzi ( CCM ) akijipigia kampeni kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa. Tunafahamu kwamba CCM wametangaza ratiba za...
0 Reactions
1 Replies
282 Views
Hali ya sintofahamu imeibuka katika kitongoji cha kwa Kibosha, kata ya Mapinga wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, baada ya zoezi la kupiga kura za maoni, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mary Chatanda ni mmoja kati ya washiriki katika zoezi la kupiga kura za maoni kuchagua wawakilishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga...
0 Reactions
1 Replies
458 Views
Tahadhari usimwamini sana mwanasiasa wa kiafrika akiwa mbele ya camera, kwanini waongo hivi?
2 Reactions
5 Replies
242 Views
Naomba kuuliza kwenye huu uandikishaji wa daftari la wapiga kura ACT Wazalendo mbona hawaonekani kabisa? Naona vita kubwa kati ya CHADEMA na CCM tuu? Nimetembelea mikoa ya Geita, Kagera, Mwanza...
1 Reactions
16 Replies
387 Views
KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, ametoa wito mzito kwa wanachama wa Chama cha Mapinduzi na wananchi kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, akisisitiza...
3 Reactions
7 Replies
315 Views
Baada ya zoezi la uandikishaji kukamilika na waziri wa Tamisemi kutangaza kuwa walijitokeza kujianidkisha katika taftari la kupiga kura la wakazi, na Dodoma ikitajiwa kuwa na idadi kubwa ya...
0 Reactions
5 Replies
610 Views
Katika shindano la stories of change 2024 nilieleza kuwa katika uhalisia utaratibu uliopo wa tume huru ya taifa ya uchaguzi kuundwa na mgombea wa chama tawala sio sawa wala sio demokrasia...
1 Reactions
1 Replies
257 Views
Hivi sisi waafrika tunawezq nini hususani watanzania? UDART inakufa afadhri kupanda daladala kuliko kupanda hizi takataka wanazoita mwendo kasi. Kutokq moroco tu mpaka kariakoo unatumia masaa...
2 Reactions
10 Replies
384 Views
Wakuu Salaam Katika Swla la Upoteaji na utekaji wa Watu, Watu wa tiba Mbdala na Hospitali zichunguzwe biashara ya figo na viungo vya binadamu Tanzania Tunaweza Walaumu Polisi, TISS, Machawa wa...
2 Reactions
11 Replies
637 Views
Bado haijajulikana sababu hasa ya Amos Makalla kumlilia Tundu Lissu, hasa ikizingatia kwamba hakuna hata mara moja Lissu amemzungumzia Makalla na huenda hata Hamfahamu. Bali imejulikana kwamba...
20 Reactions
62 Replies
17K Views
Katika kuendeleza dhamira yake ya kuthamini na kuhimiza uzalishaji wa maudhui yenye ubora na tija mtandaoni, JamiiForums usiku wa leo, wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Shindano...
65 Reactions
275 Replies
9K Views
ZANZIBAR YASHINDA TUZO KUBWA YA UTALII DUNIANI KAMA ENEO BORA KWA MATUKIO BARANI AFRIKA 2024 Zanzibar imeendelea kujidhihirisha kuwa moja ya maeneo bora la utalii duniani baada ya kujinyakulia...
2 Reactions
3 Replies
339 Views
Ushiriki wa wanawake katika siasa kuanzia wakiwa wadogo ni hatua muhimu kuelekea kuleta usawa wa kijinsia katika uongozi na maamuzi. Wanawake wanapohimizwa kujiingiza katika siasa tangu wakiwa...
1 Reactions
15 Replies
670 Views
Vyama vya Siasa sasa vijikite kwenye kampeni makini Ili tupate viongozi Bora na Siyo Bora viongozi Sisi Wananchi tumeshakamilisha Wajibu wetu wa kujiandikisha tunasubiri Mtuuzie Sera Ili Tufanye...
5 Reactions
27 Replies
713 Views
Nipo katika halimashauri Moja huku bush nimeshuhudia harakati kubwa zinavyofanyika kwa mkakati maalumu Kwanza kabisa sikuona mawakala wa upinzani Ila nimehisi Kuna mauzauza yanayopangwa kwa...
14 Reactions
89 Replies
2K Views
Leo nimeamshwa na ujumbe mfupi wa maneno kwenye kitochi nokia changu. Ujumbe kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM taifa na timu yake. Ujumbe ulionikumbusha: Ndugu COMTE namba yako ya uanacham ni...
0 Reactions
0 Replies
143 Views
Back
Top Bottom