Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wana Jf, wazima? Leo katika pita pita zangu, nilikuwa Kigamboni. Unaambiwa usanii sio tu kwenye uandikishwaji kwenye daftari. Nimeongea na watu kadhaa pale Kigamboni, Kata ya Vijibweni wanasema...
0 Reactions
3 Replies
420 Views
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa, Amos Makalla akizungumza hayo leo Oktoba 22, 2024 wakati wa hafla ya kupokea taarifa ya zoezi la uandikishaji wa daftari la mkazi la uchaguzi wa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, Hapa ni Bashungwa kwenye one & two akituonesha vile alivyo humble na kushirikiana vizuri na Watanzania wanyonge kwenye maisha ya kawaida, mpaka anawasaidia kupanda mshikaki, bila kuwa na...
3 Reactions
10 Replies
764 Views
BILIONI 11 ZIMETENGWA UJENZI SHULE 10 ZA MICHEZO Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo chini ya Makamu Mwenyekiti Mhe. Musa Sima imepokea na kujadili taarifa kuhusu maendeleo...
1 Reactions
3 Replies
368 Views
Leo mkijifanya mnasherehekea kwa mbwembwe na ukwasi mkubwa kumbukumbu ya mashujaa, nimekaa hapa na askari mstaafu wa JWTZ aliyeishia cheo cha Staff Sargent na alikatikia mguu akiwa vitani Uganda...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo, Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli...
11 Reactions
64 Replies
4K Views
1. Wa kwanza ni Mzee Emilio Mzena, huyu aliongoza mwaka 1961 hadi mwaka 1975. Ndiye Mkurugenzi wa TISS aliyeongoza idara hii kwa miaka mingi zaidi kuliko wengine (miaka 14). Wengine ni kama...
7 Reactions
66 Replies
6K Views
Rais ni Comforter-in-Chief hatakiwi kuonyesha upendeleo kwa wananchi wake anaowaongoza kwa namna yeyote ile. Hivi karibuni tumeanza kuona kujengeka kwa tabia ya Rais kutojali madhila ya watu...
10 Reactions
37 Replies
2K Views
Chadema wanataka mtu asiyekuwa na elimu ya form six kuendelea asichukue form ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa serikali za mitaa Lakini imekuwa tofauti kwa watesi wao kusoma na kuandika...
1 Reactions
3 Replies
270 Views
Wana JamiiForums, bila shaka wote ni wazima. Leo nimeleta mada hii kwenu, ninaomba tuijadili kwa logic kubwa , hasa wale wenye uwezo mkubwa wa kurisoni (critical thinker). Mjadala huu itakuwa...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Wakuu, Mambo hayo, angalia mwenyewe baadhi ya maeneo idadi ya watu walioandikishwa wamezidi idadi ya watu waliohesabiwa tena pakubwa! Mchengerwa safari hii lazima badamu bachuruzike! Dar es...
8 Reactions
78 Replies
3K Views
Niwanasiasa pekee wanao weza kuturudishia Tanzania tuliyopewa na Mungu Tanzania isiyokuwa na ukabila Tanzania inayoheshimu Maharaja Tanzania inayothamini haki za kuishi Mwisho Tanzania...
2 Reactions
5 Replies
230 Views
Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya...
52 Reactions
314 Replies
7K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA, Jimbo la Siha Mkoani Kilimanjaro, Imma Saro anadai katika ziara ya kuangalia majina yaliobandikwa aliyofanya amekuta Kitongoji chenye Makazi 101 kimeandikishwa Watu zaidi ya...
0 Reactions
4 Replies
309 Views
Tutarajie 2025 Wagombea CCM Kupita bila Kupingwa kama ilivyokua 2020? Babu Chalechale (a.k.a Build and construction) nae akapata ulaji kwao bila Kupingwa aisee! 2020 ilikua aibu ya Karne.
8 Reactions
38 Replies
3K Views
My Take 1.Utaamini chama ambacho kwanachaguana Kwa rushwa? 2.Utaamini chama ambacho kina viongozi wanaonunulika kama nyanya? 3.Utaamini chama ambacho hakina Sera? 4.Utaamini chama ambacho...
6 Reactions
72 Replies
4K Views
Morris Makoi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi Vijijini amefanya kile kilichowashinda wengi baada ya kufanikiwq kuisambaratisha ngome ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa Nchi zetu zinazoendelea hususani barani Afrika kiongozi mkuu wa Nchi yaani Rais Wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu Anaweza leta nuru ama giza katika Taifa na mioyoni mwa...
1 Reactions
120 Replies
6K Views
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM. Tungekuwa mbele kwenye...
13 Reactions
60 Replies
3K Views
Back
Top Bottom