Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kauli tata za viongozi wa CHADEMA zimeibua taharuki. Kauli hizo zinaonesha hila za kisiasa na viashiria vya kuibua vurugu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025...
3 Reactions
29 Replies
667 Views
Imetokea Kasumba kana kwamba kila kitu anafanya Rais, Na hata wabunge wanamshukuru Rais kwa kuleta Miradi.., Wabunge hawa badala ya kuwa Wawakilishi wa Wananchi wamekuwa Wawakilishi wa Rais...
0 Reactions
0 Replies
176 Views
Tusizungukezunguke mkoa wa Tanga upewe Maua yake Kuna tofauti Kubwa Kati ya Kuvuka Lengo na Kuvunja Rekodi Tanga wamevuka lengo kwa kuandikisha 101.13% Mikoa ya Pwani, DSM, Mwanza na Dodoma...
1 Reactions
35 Replies
1K Views
Hapa ndipo Tanzania ya Nyerere ilipofikishwa na Watukufu aliowaachia ambao wamejipa Uungu Mtu, Ngoja tuone Mwisho wao. ================ Mwenezi wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Aisha...
16 Reactions
254 Replies
14K Views
Nimemuona runingani Naibu Rais wa nchi Jirani akijifuta machozi huku akisema " sikujua kama Rais Naniliu yuko hivi" Ndio nauliza kwa mfano Hapa CCM na Chadema Mgombea mwenza wa Rais...
0 Reactions
2 Replies
197 Views
Wakati yamebaki masaa kabla ya kukoma kwa zoezi la uandikishaji wapiga kura katika daftari la makazi kufikia ukomo leo Oktoba 20, Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga tarehe 19.10.2024...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Hili liwe angalizo kwa Watekaji na Wauaji na Viongozi wa Nchi ya Tanzania Wanaowatuma kuteka na kuua, Kwamba CHADEMA haitavunjika Moyo kutokana na Mauaji ya Mohamed Kibao, hizi mbinu za vitisho...
14 Reactions
66 Replies
5K Views
Mnamo tarehe 19 Novemba 2015, katibu mkuu mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na aliyekuwa mgombea urais, Dk. Willibrod Slaa, alitoa kauli kwamba “Chadema wanatekana,” akifichua...
5 Reactions
29 Replies
674 Views
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kiislam ya Iran zimesaini hati saba za makubaliano ili kukuza diplomasia ya uchumi baina ya mataifa hayo mawili. Hafla ya kusaini hati hizo za...
9 Reactions
144 Replies
3K Views
Bahati Issa Suleimani, mwenye umri wa miaka 51 , mwenye watoto 6 alithubutu kuwania nafasi mbalimbali za uongozi, ikiwemo ya katibu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) katika mwaka 1995, na...
0 Reactions
1 Replies
953 Views
Ndugu zangu Watanzania, Tuna mengi sana ya kujifunza katika tukio la kupigwa Risasi na Kujeruhiwa kwa Mheshimiwa Donald Trump,Rais Mstaafu wa Marekani na mgombea Urais kupitia chama cha...
6 Reactions
226 Replies
7K Views
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema, umewekwa utaratibu maalumu wa kuzuia udanganyifu katika uchaguzi ikiwamo mpiga kura mmoja...
0 Reactions
1 Replies
193 Views
Kwanza kabisa nianze kwa salam na kumshukuru Mungu kwa kuweza kutupa uhai pamoja na changamoto tunazo zipitia wananchi wa Tanzania. Lakini pia naomba kukupongeza sana Mh. Mtatiro kwa kuteuliwa...
2 Reactions
17 Replies
999 Views
Kuibadili gesi asilia yetu kuwa mafuta ya petroli na dizeli kunaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje Ni hivi wakuu, Gesi asilia imeundwa kwa kampoundi...
9 Reactions
105 Replies
6K Views
Nimelazimika kurudi nyuma kwa vipindi tofauti Rais amesikika akitoa kauli tata mbele ya Umma bila kujua sisi ndio tunamlipia kila kitu kuanzia yeye mpaka wajukuu zake. Hizi kauli zake zisiachwe...
5 Reactions
51 Replies
3K Views
Kwa utaratibu wa nchi yetu kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na zaidi ana kadi ya kupigia kura isipokuwa vijana ambao wangotimiza miaka 18 mwaka huu. Tayari zoezi la uboreshaji wa daftari...
1 Reactions
2 Replies
399 Views
Kuna jambo la kushangaza ambalo limeshamiri sana kuanzia mwaka 2016, nalo ni mabango ya picha ya Rais kila mahali. Tabia hii haikuwahi kuonekana wakati wa utawala wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa wala...
8 Reactions
19 Replies
468 Views
Mohamed Omary Mchengerwa, Waziri wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo(Mb), ni moja ya Mawaziri vijana wanaohudumu katika Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluh Hassan...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Nimetafakari sana nimeona hii demokrasia tunayolazimishwa kuifuata inazidi kutudidimiza. Iko kinyume kabisa na shughuli za maendeleo. Mabeberu waliona mbali sana kwa kutuaminisha kuwa WENGI WAPE...
3 Reactions
19 Replies
468 Views
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeongeza muda wa kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa wakazi wa Kijiji cha Kikelelwa Kata ya Tarakea...
12 Reactions
45 Replies
4K Views
Back
Top Bottom