Chagueni viongozi wanaoweza kuwapigania ili kuhakikisha mnalipwa Stahili zenu zote baada ya nyumba zenu kupigwa x miaka lundo iliyopita.
Haiwezekani muendelee kukumbatia Viongozi matapeli na...
DR- GODBLESS CHARLES HAS WON HIS -APPEAL- AGAINST MEDICAL- COUNCIL- OF TANGANYIKA- (- MCT- )-
This is meant to inform you all that- -yesterday, on 30th April 2014 -at High court of Tanzania...
Madikteta hujibu maswali kwa njia zinazolenga kudumisha mamlaka yao, kudhibiti simulizi, na kuepuka kuonekana wanyonge. Hapa kuna mbinu kadhaa wanazotumia:
1. Kupotosha: Wanapotakiwa kujibu...
Wasalaam
Nitasema kidogo tu tena kwa ufupi kabisa. Kwa mtu mwenye akili timamu ukiangalia uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa utaona wazi kwamba CCM...
Unapokwenda kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura hapaswi kutaja chama chako cha siasa na huu sio wakati wa kampeni.
Ni makosa makubwa kwa vyama vya siasa kuwa wasimamizi kwenye zoezi la...
Tukizingatia mwezi wa kumi na Moja Kila mtanzania aliyetimiza vigezo vya kupiga kura anayo haki ya kupiga kura hapa Tanzania, swali langu ni je!
Serikali imechukua mkakati Gani wa kukabiliana na...
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa Uchaguzi (INEC), Kailima Ramadhani amesema wameamua kulijengea uwezo Jeshi la Polisi ili waweze kutambua matakwa ya Sheria za uchaguzi na kuepusha kuyumbishwa na...
Chadema ni lini watapata funzo kuwa wananchi hawataki upuuzi wa maandamano basi wameshindwa kutumia njia mbadala kuhamasisha wanachama wao kujiandikisha wanaBwaza upuuzi kila kukicha usio na...
John Mnyika, ameongea na vyombo vya habari leo.. Kama kawaida ya chama chake kasambaza uongo, upotoshaji na visingizio. Alisema atatoa hoja tatu lakini ametoa zaidi. Tutazipitia hapa na kuonyesha...
MHE. WANU HAFIDH AMEIR AJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA WA SERIKALI ZA MITAA
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) na Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Wanu Hafidh...
..huyu ndiye Shekhe Mwaipopo.
..hapo chini ameeleza msimamo na mtizamo wake kuhusu kilichomtokea Tundu Lissu.
..huyu ni kiongozi wa kwanza wa Dini kuzungumzia suala la Lissu kwa undani kiasi...
Rais wa zamani wa Tanzania, John Pombe Magufuli, alijulikana kwa majibu yake ya moja kwa moja na mara nyingi yenye utata alipokuwa anaulizwa maswali na waandishi wa habari au umma. Hapa ni baadhi...
Ney wa Mitego, Msanii anayetamba na Kibao chake cha "NITASEMA"kinachopinga Utekaji na Mauaji, kilichosambaa kote duniani, Leo amejitokeza kujiandikisha ili aweze kuchagua kiongozi wa Mtaa wake...
DC MUSSA KILAKALA - TANZANIA NI BABA WA DEMOKRASIA, VIONGOZI WANAPATIKANA KWA RIDHAA YA WANANCHI
"Hali ya Wilaya ya Morogoro ni shwari, wananchi wengi wanaendelea kujitokeza kwaajili ya...
Juma pili hii tar 20.10.2025, zoezi la kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi muhimu sana na wa kihistoria wa serikali za mitaa na vijiji Tanzania, litahitimishwa rasmi nchi nzima.
Kama mzalendo na...
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Saidi Yakubu, amekutana na Rais wa Umoja wa Mameya Nchini Comoro Mhe. Nassuf Ahmed Abdallah ambaye amemueleza kuwa wangependa kuona ushirikiano wa miji ya...
Hali ya kisiasa katika jimbo la Moshi mjini inazidi kupamba moto kuelekea uchaguzi mkuu hapo mwakani huku mmoja wa makada wa chama hicho akidaiwa kuendesha siasa zake kwa kutumia jina la...
Nlitegemea kuwe na nguvu moja kupinga madudu yanayoendelea katika daftari la kuandikisha wapiga kura katika chaguzi zijazo. Je Vyama hivi havioni mapungufu/maovu/madudu/wizi unaofanyika katika...
Katika siku za hivi karibuni, kumezuka taarifa za kupotosha kuhusu ununuzi wa magari na Chama Cha Mapinduzi (CCM), zikidai kuwa CCM imenunua magari kwa bei ya juu sana. Taarifa hizo...
Wakuu Jf amani ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake .
Kweli maccm plus machawa ni wapuuzi, ila leo nipo Tulia kwa kile amekionesha, japo kipo na mjadala mkubwa katika mijadala mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.