Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kuna figusi zinaendelea kila mahali tunapoelekea uchaguzi serikali za mitaa. Msikilize Shekhe Bashiri Abdalla Mwenyekiti wa Chadema Tarime mjini akielezea kinachoendelea. PIA SOMA - LGE2024 -...
0 Reactions
0 Replies
160 Views
1. Watu tulikuwa tunapata pesa. Kwa kila namna rais alikuwa hana muda mufuatilia mambo ya mtu. Kila mtu ajiservie hakuna kusumbuana. Kwenye viroba haya, kwenye sandarusi haya... Ushindwe wewe tu...
3 Reactions
12 Replies
773 Views
Huyu Mtanzania Dr Veronica ambaye ni Financial Advisor yuko vizuri kwenye maswala ya kodi Marekani TRA na wafanya biashara wenye biashara Marekani Mtumieni mtanzania Dr.Veronika kwa ushauri wa...
10 Reactions
43 Replies
1K Views
MAMA Maria Nyerere na familia yake hawakuhudhuria Sherehe ya Maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 17 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ilizofanyika Bariadi mkoani Simiyu jana...
7 Reactions
76 Replies
11K Views
Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na Wiki ya Vijana katika Uwanja wa CCM Kirumba Mkoani Mwanza, leo 14 Oktoba, 2024. Amesema...
1 Reactions
6 Replies
553 Views
Wakuu, Tukio linaondelea wakati huu ni ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania. Kwenye maadhimisho...
3 Reactions
17 Replies
778 Views
Hivi angejikita kupambania nchi yake kwa muda wa miaka 24 aliyotawala tungekuwa wap? Lakini watu wanabaki kusifia upande mmoja wa shilingi. Huku wakisahau upande mwingine. Kwa ujumla aliacha...
0 Reactions
0 Replies
104 Views
Kada wa CHADEMA, Godbless Lema akizungumza na vyombo vya habari hivi karibuni amewataka wananchi kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, licha ya changamoto za ukiukwaji wa...
0 Reactions
3 Replies
408 Views
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii. Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Salaam, Shalom!! Sisi wengine shule zetu ndogo, unakaa unajiuliza ikiwa tuna Nchi Moja Tanzania, na Rais Samia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iweje akiwa Zanzibar Hana mamlaka kama...
0 Reactions
0 Replies
227 Views
Wakati taifa likiwa linaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwezi Novemba, Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo amemuahidi Rais Samia kutumia viongozi watakaochaguliwa na wananchi kwenye...
0 Reactions
4 Replies
395 Views
Wakuu, Tuache kujidanganya kuwa kuchagua viongozi ambao sio wanaotokana na chama chenye kuunda serikali ni kupoteza muda. Hivi hawa wa vyama mbadala wanayo miundo mbinu ipi ya kuzidi chama...
4 Reactions
46 Replies
846 Views
Wanabodi, Wale wenye access, watch ITV Now, Baba wa Taifa, Mlm JK Nyerere anatoa maoni yake juu ya sifa za rais tunayemtaka!. Mwalimu aliyazungumza hayo, 1995 katika hoteli ya Kilimanjaro ( I...
3 Reactions
159 Replies
12K Views
Nikikumbuka miaka ya nyuma kuanzia kwa Kikwete na Magufuli hali ni tofauti na sasa. Watu hawana tena shahuku ya kujipanga barabarani kushuhudia msafara kama enzi zilizo pita hapo nyuma kidogo kwa...
0 Reactions
1 Replies
312 Views
Nimeshutushwa sana na kampuni ambayo inawakilisha Fedex Tanzania. Ukituma mzigo wowote kwa Fedex hata barua tu utasumbuliwa sana. Hawa jamaa ukituma mzigo kwa Fedex mfano hata kama mzigo ni wa $50...
9 Reactions
39 Replies
5K Views
Mwenye habari hizi aziweke hapa kuhusu majambazi Arusha wakenya waliyo pora Banki Moshi vitendea kazi vimetoka Lugalo Jeshini na kigogo wa jeshi anaye supply akamatwa ,kwa set-up ya jeshi la...
1 Reactions
228 Replies
45K Views
Watu bado wanatafuna pesa tu za serikali? Posho zimerudi, semina zimerudi, Shimiwi imerudi, washa zimerudi, mikutano imerudi, kongomano zimerudi, overtime zimerudi, fulana na kofia za semina...
2 Reactions
5 Replies
308 Views
Wanabodi, Niko hapa Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, ambapo Bodi ya Wadhamini ya Kuwaenzi Waasisi wa Taifa hili, Mwl. Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abedi Amani Karume inazinduliwa...
7 Reactions
88 Replies
9K Views
Ikiwa leo ni siku tunakumbuka kifo cha Baba wa Taifa hili hatuna budi kumuenzi kwa kuyafuata yale aliyokuwa akiyapigania 1. Kupambana na Rushwa na Ufisadi (Uhusani kwenye uchaguzi tuwakatae...
6 Reactions
85 Replies
20K Views
Kwenye maadhimisho ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na kumbukumbu ya miaka 25 tangu kifo cha Mwl Nyerere uwanja wa CCM Kilumba Mwanza. Prof. Lipumba pamoja na viongozi wengine wa vyama...
4 Reactions
12 Replies
604 Views
Back
Top Bottom