Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Jimbo la Rungwe ,Mkoani Mbeya, Kata ya Iponjola kituo Cha Iponjola kipo katika Jengo la CCM kinyume na kanuni. Huu uhuni ni Kwa sababu CCM imechokwa na wananchi huko chini na haikubaliki...
7 Reactions
12 Replies
591 Views
MWAIKENDA Salaam Bwana Kasinge, nimefika kukuona, Machache nawe tubonge, mawazo badilishana, Vipi taifa lisonge? Vijana kibaguana? Aliyetuloga kafa, vijana twaangamia. KASINGE Nami ninakusalimu...
2 Reactions
15 Replies
382 Views
Kumekuwa na matukio ya Utekaji, utesaji na mauaji katika Nchi hii, na hakuna hatua zinazochukuliwa kukomesha matukio haya. Mimi nadhani kwa kuanzia tuwapeleke ICC baadhi ya wenye dhamana ya...
4 Reactions
13 Replies
422 Views
Tunapoelekea katika mwezi wa kumbukizi ya Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni vyema kutafakari kila neno alilowahi kulitoa. Katika moja ya hotuba zake kwa wanahabari aliwahi...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Sheria kama vile zile za viti maalum kwa wanawake ni muhimu sana katika kuhakikisha usawa wa kijinsia kwenye siasa. Zinalenga kuongeza uwakilishi wa wanawake katika mabunge na halmashauri...
0 Reactions
6 Replies
221 Views
Hii itapelekea wafanyabiashara ikiwemo wenye mitaji midogo kumiliki kifaa hiki na kukitumia. Nachukua mfano wa "lipa namba" ambapo wafanyabiashara wengi wameanza kuichangamkia hata bila promotion...
0 Reactions
1 Replies
110 Views
Wanabodi, Wakati tukiadhimisha miaka 17 ya Tanzania bila Nyerere, kuna sisi baadhi yetu tuko kama Tomaso, tuna shauku ya kuujua tuu ukweli halisi for getting to know,knowledge na wala sio kwa...
25 Reactions
283 Replies
77K Views
Nadhani Komredi Lucas Mwashambwa unaweza kutusaidia hapo Chunya kama Mabasi ya Msigwa Express DAR - Chunya ni ya Mchungaji Msigwa ama la Ahsante sana 😃
1 Reactions
14 Replies
614 Views
Hawa watu sijui ndio wamenichuuza ama vipi wote siwapati viongozi wa maandamano hatari sana waje tukaokoe bandari zetu!
7 Reactions
40 Replies
3K Views
Hili walilofanya gazeti la mwananchi lilikuwa ni kusudio kuu la kujaribu kuzidi kumtukana Raisi Samia kupitia mtangulizi wake marehemu Magufuli. Kama walivyosema familia kila anayemdhihaki...
4 Reactions
11 Replies
583 Views
Kama heading inavyojieleza mpaka muda huu mgombea aliyeshindwa kanda ya nyasa amegoma kusema lolote, ameahidi kuita press na kuongea yote yaliyojiri kwenye huo uchaguzi kifupi hajaridhirika. Hizi...
7 Reactions
58 Replies
4K Views
Makamu wa Rais wa Tanzania, Philip Mpango, ameshiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Kumbukizi ya Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, katika Kanisa la Mt. Francis Xavier, Nyakahoja, Mkoa wa...
0 Reactions
0 Replies
138 Views
Wanabodi, Leo tunapomkumbuka Mwalimu, naombeni niwadokolee machache kumhusu mwalimu ambayo sidhani kama wengi mliyafahamu, na kama wapo ni yale waliyoyafahamu kwa kuyasikia tuu lakini...
26 Reactions
96 Replies
57K Views
Mimi sio mshabiki wa Makonda, kutokana na namna ninavyomjua. Tabia zake binafsi na hulka zake ndo chanzo kikuu cha mimi kutokuwa shabiki wake na kila siku kumpinga kwenye masuala mengi sana...
22 Reactions
120 Replies
5K Views
Wanabodi, So mara moja wala mbili, media za nje zinaripoti taarifa negative kuhusu Tanzania. This time Shirika la Habari la Uingereza Reuters, limeripoti habari chafu kuichafua Tanzania na rais...
25 Reactions
151 Replies
16K Views
Nauliza hivyo kwa sababu ni kama sasa kila kitu kinataka kubadilishwa Jina na kupewa Jina la Rais, Mwanamboka naye kaja na Samia Fashion, Sasa jamani hivi kweli ni sawa mambo haya? TCRA nao...
13 Reactions
81 Replies
2K Views
Wanabodi, Naomba kuanza kwa kudeclare interest, japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa, lakini sio mfuasi wa mwanasiasa yoyote, wa chama chochote, ila kuna baadhi ya viongozi nilikuwa...
12 Reactions
156 Replies
27K Views
3 Reactions
22 Replies
15K Views
NINAMFUATILIA kwa karibu sana Mwalimu Jr. na kwa hakika naona kama vile mawazo yake ni ya Al-Marhum baba wa Taifa, Mwalimu J. K. Nyerere wajina wake. Tueleze basi mwalimu jr. ni njia ipi ya...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030. Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana...
19 Reactions
52 Replies
2K Views
Back
Top Bottom