Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
1. Ni kwanini kama nchi tunaingia gharama mara mbili kufanya zoezi Moja linalofanana? Hii tunayoambiwa kuwa ni Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa (INEC) waliandikisha/fanya uboreshaji wa daftari la...
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Pwani Mhe. Subira Mgalu azungumza na Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Kata ya Kerege iliyopo Bagamoyo Pwani tarehe 12 Oktoba, 2024. Mkutano huo wenye lengo...
0 Reactions
0 Replies
342 Views
..naomba nisimlishe maneno. ..msikilizeni hapa chini. https://m.youtube.com/watch?v=N-_bz4JNutY&pp=ygUQS2liYW1iYSArIFBvbGlzaQ%3D%3D
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,amekutana na kusalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli Mkoani Mwanza...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema chama hicho haridhishwi na zoezi la uandikishaji wa Wapigakura linaloendelea hivi nchini. Ado Shaibu ameyasema hayo leo Oktoba 13, 2024 wakati...
0 Reactions
1 Replies
463 Views
Wakuu salam, Zoezi la kuandikisha wapiga kura lilizinduliwa Oktoba 11, 2024 na Rais Samia ikiwemo na yeye pia kupanga foleni (wazee wa maigizo) kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi huo unaotarajiwa...
1 Reactions
5 Replies
355 Views
Naona kila mtu yupo busy na Landlover festival. Makamanda Arusha tupeni feedback ya mkutano wa Lema wa juzi. Au ndio kashapotezwa na Makonda kwa kukubalika kwa Makonda?
3 Reactions
68 Replies
3K Views
Tumeona ni vema tuje tena humu kukanusha huu upotoshaji unaendelea kwenye kinachoitwa LandRover Festival huko Arusha. Hii ni kwa sababu gari alilotumia Mwl Nyerere kuipambania Tanganyika haikuwa...
18 Reactions
62 Replies
2K Views
Rais Samia amemteua Bw. Richard Rwanyakaato Kiiza kuwa Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi Eneo la Ngorongoro (NCAA). Kabla ya Uteuzi Kiiza alikuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi...
2 Reactions
47 Replies
7K Views
Lengo la huduma hii ni kuhakikisha changamoto zote za Mawakala wao kwenye Uandikishaji zinatatuliwa haraka iwezekanavyo Kingine ni kuhakikisha kwamba hujuma zozote zile kama kuandikisha Mamluki...
4 Reactions
14 Replies
357 Views
Kwa mwenendo wake na hata ayanenayo tokea ajiuze huko CCM, Peter Msigwa amekuwa akitumia nguvu kubwa kutaka kuaminisha Umma wa Watanzania eti yeye ni CCM kindaki-kindaki haswa. Najiuliza, hivi...
2 Reactions
12 Replies
520 Views
Wakuu salam, Leo nilipanga kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, na kweli nimefanya hivyo. Ukienda kujiandikisha unakuta mwandikishaji yuko na daftari ambako unaulizwa...
2 Reactions
1 Replies
278 Views
Kwa hakika mmeupokea na kuitikia vema wito na wa Rais na Mwenyekiti wa CCM taifa Dr Samia Suluhu Hassan wa kujitokeza kwa wingi, katika zoezi la kujiandikisha kwajili ya uchaguzi wa serika za...
0 Reactions
4 Replies
193 Views
Fedha za vijiji au kata ni mali za wananchi au mali ya umma ila viongozi wa CCM wakishirikiana na watendaji wa kata na vijiji pamoja na wenyeweviti wao wamekubaliana kuchota fedha za umma kwajili...
0 Reactions
1 Replies
151 Views
Raila Odinga ametoka kwenye uongozi wa chama cha ODM naona ni maandalizi ya kwenda AU hapo February 2025. Je ikitokea amekosa uenyikiti wa AU atarudi kwenye nafasi yake ya Kiongozi wa ODM au...
2 Reactions
38 Replies
906 Views
Nauliza tu… Mara nyingi sasa tumeziona mbwembwe za makomandoo wa JWTZ. Tumeona jinsi wanavyovunja matofali kwa mikono. Tumeona jinsi wanavyovunja vibao kwa mateke. Tumeona jinsi wanavyobeba...
43 Reactions
263 Replies
9K Views
1. Mheshimiwa Paul Peter Kimiti (Mbunge Mstaafu -Sumbawanga Mjini) ni mwanasiasa mkongwe nchini, nusura aule nafasi ya Waziri Mkuu. Ila kutokana na kukosa kifua akaenda kuropoka kwa mkewe na mke...
10 Reactions
38 Replies
4K Views
Ziara ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Mwanza imeanza siku ya leo Jumamosi Oktoba 12, 2024 ambapo atatembelea na kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo miundombinu ya...
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakuu, Natambua kuna mjadala unaendelea, ningependa kuwafikishia ujumbe kwa njia ya video wa majibu ya Mhe. Mengi kwa Mhe. Rostam...
0 Reactions
324 Replies
50K Views
Makamba amwinda Mengi Ahoji safari za mikoani Mwandishi Wetu Aprili 22, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo HUKU kukiwa na shinikizo la kutaka kumuondoa katika nafasi yake...
0 Reactions
523 Replies
69K Views
Back
Top Bottom