Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima ametoa onyo kwa mtu yeyote atakayeleta vurugu ili kukwamisha zoezi la uandikishaji wa wapiga kura serikali za mitaa unaoendelea kufanyika Mkoani humo na nchi...
0 Reactions
2 Replies
215 Views
KADA nguli wa CCM jijini DSM Komredi Steve Nyerere ameshangazwa na kitendo cha Chadema kutotuma rambirambi kwenye Msiba wa Mtangazaji Maarufu nchini Dida wa Wasafi FM Nyerere amesema ni vema...
15 Reactions
119 Replies
4K Views
Kwanza nakusalimia sana Mhe Waziri wa Kilimo. Nina mengi sana ya kusema lkn sitak nikuchoshe. Kubwa zaidi nataka nikwambie kuwa leo Jumapili Wakulima wa korosho Lindi wameuza korosho zao kilo...
0 Reactions
7 Replies
355 Views
Katika kupitia mitandao mbalimbali,nimekuta mmoja wa viongozi wakubwa wa dini aliekuwepo Simiyu mpaka sasa akihudhuria Maulid. Lakini kilichonishangaza alipokuwa ktk ofisi ya Mkuu wa mkoa alikuwa...
0 Reactions
3 Replies
252 Views
Niliwahi kusema hapa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania...
45 Reactions
2K Replies
94K Views
Ukiwasikiliza watu walioko vyama mbadala (napenda hili jina alilolibuni Mbatia) wakiwa kwenye majukwaa yao ya kisiasa bila shaka utakubaliana na mimi kuwa ni watu makini na wenye kujua kujenga...
6 Reactions
40 Replies
844 Views
Ni ushauri tu Kwa wale mlioko Kwenye nafasi za uteuzi Msiendekeze undugu na urafiki Mtanishukuru baada ya Uchaguzi Nawatakia Dominica Njema 😄
4 Reactions
39 Replies
571 Views
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa wanawake kujitokeza katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwa kuwa wanazifahamu vema changamoto za jamii na pia wanao uwezo wa kuongoza...
0 Reactions
5 Replies
188 Views
Mwamba alipanda vyeo kwa kasi ya 5g chini ya utawala wa hayati Magufuli. Alikuwa anapendwa sana na hayati Magufuli, kwenye dili za ujenzi alishiriki sana na vijana wake wa JKT. Sasa hivi yuko wapi?
9 Reactions
81 Replies
11K Views
Mnyika kajifunza mengi kwa Lissu ,Mbowe , Slaa na wengine hivyo ashakomaa na nadhani 2025 atatufaa zaidi . 1.Mjasiri 2.Mtu mwenye busara 3.Mtu mwenye uelewa mkubwa na asie kurupuka . Upinzani...
2 Reactions
19 Replies
457 Views
CCM wanaamini katika Elimu hasa nafasi za juu na uteuzi, ili uteuliwe lazima kuwe na usomi ndani yake . Huku CHADEMA tunakwenda Kiuhalisia zaidi kwamba Pesa ni bora kuliko elimu na ukizikosa uwe...
1 Reactions
17 Replies
362 Views
Godbless Lema kupitia Akaunti yake ya Mtandao wa X anaandika na kuweka video inayodaiwa kuwa wanafunzi wa kata ya Igama (Njombe au Morogoro) wameagizwa na Walimu wao kujiandikisha kwa ajili ya...
0 Reactions
19 Replies
719 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mfungwa wa Kisiasa ambaye alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani akiwa jela, Baada ya Mapumziko mafupi, Hatimaye ameanza kazi Rasmi PIA...
1 Reactions
15 Replies
580 Views
Leo tarehe 11 Oktoba, 2024 mimi na mume wangu Advocate Gwajima na watoto wetu wenye umri wa miaka 18 na kuendelea, tumefika kituo cha Serikali ya Mtaa wetu wa Salasala, Kata ya Wazo kujiandikisha...
23 Reactions
135 Replies
3K Views
Ni sehemu gani katika Katiba ya Tanzania inaposema ukiwa raia Mtanzania ukachukua uraia wa nchi nyingine unakuwa umepoteza uraia wa Tanzania?
3 Reactions
13 Replies
527 Views
Nimesikitishwa sana na kauli yenye nia ovu kutoka kwa bibi Maria Sarungi kuwa Tundu Lissu hakulipwa stahiki zake hivyo inatupasa watanzania tuchange kumnunulia Lissu gari lingine (V8, VXR) ili...
10 Reactions
40 Replies
2K Views
Mchungaji Agnes Mangala wa KKKT Usharika wa Highlands ametoa wito Kwa Wananchi wote kujiandikisha Kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa Mchungaji Agnes Mangala amesema kila mwenye umri wa...
0 Reactions
0 Replies
84 Views
Siasa za Tanzania zimekuwa za ajabu sana, yaani kiongozi mkuu analazimishiwa umati ili aonekane amejaza watu na ipeleke picha kwamba anakubalika kumbe kiuhalisia ni uongo mtupu. Jiji la Mwanza...
2 Reactions
28 Replies
752 Views
Wote mashahidi mmewahi kusikia kuna magari yameshikwa pamoja na wahamihaji haramu kadhaa lakini mwisho wa siku mmiliki wa gari hatajwi wala husikii mmiliki kachukuliwa hatua gani. Maana yake ni...
5 Reactions
8 Replies
405 Views
Back
Top Bottom