Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nimemsikia mwalimu Nyerere akihutubia katika moja ya hotuba zake anasema kwamba mara nyingi wanyonyaji au tabaka nufaika linachukia sana mabadiliko. Ila wanyonge na walalahoi hawaogopi hiyo maana...
2 Reactions
2 Replies
198 Views
Wanabodi, Tafsiri ya Neno Ujinga. Naomba nianze na tafsiri ya neno mjinga maana watu humu hawakawii kusingizia watu kuwa tumetukana watu humu!. Kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu neno...
46 Reactions
128 Replies
13K Views
CCM wanalazimisha sana kukubalika Hapa Mwanza leo daladala kibao zinasomba wananchi wale wajinga wajinga na wanafunzi na kuwapeleka kwenye shughuli za mwenge na ziara ya rais hii yote waonekane...
18 Reactions
74 Replies
2K Views
Kwa ufahamu tu: Tofauti kati ya Daftari la Kudumu la Wapigakura na Daftari la Wapigakura wa Serikali za Mitaa Daftari la Kudumu linasimamiwa na Tume Huru ya Uchaguzi kwa ajili ya Kumchagua...
2 Reactions
5 Replies
977 Views
Na THABIT HAMIDU, ZANZIBAR Bahati Issa Suleiman 51, Mkaazi wa Kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja alikuwa mgombea wa nafasi ya Udiwani wadi ya Bungi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kupitia Chama...
2 Reactions
4 Replies
309 Views
Wakuu, Nlikuwa nasikiliza hotuba ya baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyoitoa Julai 22 mwaka 1967 Baada ya kuwapokea Vijana waliotembea kwa Miguu kutoka Moshi. Alikuwa anaongelea...
52 Reactions
324 Replies
49K Views
Uchaguzi wa Serikali za mitaa umefika patamu sasa Kikosi Kazi Cha Chadema chaingia mitaani kuhamasisha uandikishaji Wapiga Kura Bavicha mmetisha sana 😂😄
0 Reactions
0 Replies
246 Views
Kuna jambo nimejaribu kulitafakari sana kuhusu huu uandikishaji ,miaka yote tunaandikishwa na kupewa vitambulisho. Ni kwanini awamu hii mnaandika majina tu na hamtoi kitambulisho? Ni nini lengo...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Wanabodi, Siku ya jana Steven Mutambi, Mkurugenzi Msaidizi kutoka Wizara ya TAMISEMI alikuwa akizungumza kwenye mahojiano pale Crown FM na moja ya kauli ambayo alitoa ni kuwa kwenye Uchaguzi wa...
0 Reactions
2 Replies
500 Views
Huko Ndio Ukweli CCM ina mikakati mipana sana Muda mfupi uliopita nimepigiwa Simu na Mjumbe wa Nyumba 10 akinijulisha Uandikishaji Wapiga Kura wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Umeanza Leo na...
0 Reactions
5 Replies
184 Views
Hili ni jambo ambalo baadhi ya Wale wengine wamenuna. Vijana hawa wanafanya kazi hii iliyopaswa kufanywa na TAMISEMI huku Waziri wa Wizara hiyo akizunguka na Diamond huko Ikwiriri wakitafuta...
4 Reactions
16 Replies
800 Views
Mahakama Kuu Kanda ya Songea imetoa mafunzo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa waheshimiwa mahakimu wakazi kutoka Wilaya zote za Mkoa wa Ruvuma. Mafunzo hayo ya siku moja yamefanyika kwenye...
0 Reactions
2 Replies
180 Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Magharibi, Mhe. Tauhida Gallos Nyimbo amewaomba Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Mwera kushirikiana na Viongozi wao ili waweze kuwaletea...
0 Reactions
1 Replies
245 Views
Katibu Mkuu chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema kuwa utaratibu wa wasimamizi wa vituo vya kuandikisha wapiga kura kuwanyima mawakala haki ya kujua idadi (orodha) ya wapiga kura...
2 Reactions
16 Replies
591 Views
Wakati nipo shule ya msingi miaka iliyopita nilichaguliwa kushiriki paredi na kuimbisha nyimbo kwenye paredi hiyo, nakumbuka mpaka leo nyimbo zile, nyingi zilikuwa za kumpigia chapuo Rais fulani...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
Akifunga kilele Cha maonesho ya Madini Kitaifa Mkoani Geita,Rais wa JMT amepiga marufuku Mauzo ya Madini Ghafi Nje ya Nchi. Amesema hakuna sababu ya Madini Ghafi kuuzwa Nje ya Nchi bila...
2 Reactions
16 Replies
885 Views
Usiwachukulie powa viongozi wa CCM ,ni kikundi cha watu wachache sana wenye akili nyingi, ndio maana wakigundua kule upinzani kuna mtu ana akili kama zao watataka wamvute ili waimarishe timu...
11 Reactions
49 Replies
912 Views
Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali. Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia, Lakini yalipoitishwa maandamano ya...
5 Reactions
35 Replies
894 Views
Hata Wamachinga wanaouza bendera za Israel Kwenye mitaa yote ya Jiji hili la DSM wameongezeka sana Ni Kwanini taifa la Israel limekuwa kimbilio la watu wote? Au hizi ndio zile siku za Mwisho...
11 Reactions
110 Replies
3K Views
Pamoja na kwamba Usalama wa viongozi wa miaka ya zamani ulikuwa mashakani kutokana na Mapinduzi na Mauaji ya Magenge ya kihalifu , Lakini Mwalimu Nyerere hakuogopa , Alipanga foleni kama wengine ...
12 Reactions
56 Replies
3K Views
Back
Top Bottom