Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Tatizo ni kwamba siku zote vyama vya upinzani vimeingia katika uchaguzi mkuu bila kuwa na agenda kuu ambayo inawapa changamoto kubwa CCM. Utakuta upinzani wanakuja na slogan kama ubwawa kwa kila...
0 Reactions
1 Replies
231 Views
Kwanza wanachelewa kuamka kwenda kazini. Pili, ving'ora na usumbufu mwingi kwa kelele barabarani. Tatu wanapita hata sehemu za barabara zisizoruhusiwa kupita magari na hivyo kubomoa, mfano...
16 Reactions
35 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Othman Chande amependekeza kuwa endapo itapita miaka 3 bila Rais kutoa Idhini katika Adhabu ya Kifo, Wafungwa wenye Hukumu hiyo waweze kubadilishiwa adhabu...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria imependekeza kwa Serikali kupitia upya sheria inayotoa adhabu ya kunyongwa kwa kutenga muda maalumu wa kutekelezwa na ukipita, adhabu hiyo igeuke moja...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Wanabodi, Kiongozi mzuri ni yule anayeyaishi maneno yake, yaani ku "practice what you preach". Ile preaching ya jana ya Rais Magufuli kuomba Watanzania wanaohukumiwa kifo Wanyongwe tuu, imenigusa...
9 Reactions
119 Replies
15K Views
Akina mama Morogoro waandamana na madumu matupu wakidai maji Wataka Mama Samia awasaidie Kiongozi wa maji asema hajui kama wana kero Waziri wa maji upo na Wizara ya Maji mpo? Pia soma Waziri...
0 Reactions
3 Replies
419 Views
Mioyo ya nyama imeumizwa na kusikitishwa mno na kifo cha Binti mwenye ualbino Asimwe aliyeuawa kikatili na viungo vyake kunyofolewa na kila kona tunasikia maoni ya watu wakionesha kuumizwa sana...
1 Reactions
14 Replies
716 Views
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Pindi Chana amesema Serikali inaendelea kufanyia kazi maoni ya baadhi ya Wadau kuhusu kuondoa adhabu ya kifo. Akizungumza Oktoba 10, 2023 kwenye Kongamano la...
1 Reactions
1 Replies
738 Views
Wanabodi, https://www.youtube.com/live/clOESBBmMmI?si=WZKqn4KF5vTxrtGR Leo Tarehe 10 October ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo. Niko hapa jengo la Wakili House kuwaletea live mjadala...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Salaam, Leo ni siku ya kimataifa ya kupinga adhabu ya kifo. Maadhimisho ya kitaifa yameandaliwa na Mtandao wa Mashirika ya Utetezi wa Haki za Binaadamu kwa nchi za Kusini mwa Afrika tawi la...
1 Reactions
64 Replies
9K Views
Vitabu vya Dini karibu vyote husema, yabidi mtu ujinenee mazuri na kujitabiria mema kwa maana ulimi huumba Jinsi unavyojinenea, ndivyo unavyopokea Wataanzania wengi hupenda kuona mambo mazuri...
1 Reactions
4 Replies
257 Views
Kuna picha nimeziona kule Instagram, ni za January Makamba kwa ID zake! Sikujua anamaanisha nini ila zina ujumbe mkubwa sana na kama ni kwelihiyo ID ni verified basi Magufuli anahitaji zaidi ya...
13 Reactions
616 Replies
153K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, ametoa wito kwa Wawakilishi wa Asasi za Kiraia (AZAKI) pamoja na Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kuzingatia suala la...
0 Reactions
5 Replies
553 Views
Hivi majuzi nilikutana na mtu mmoja a kaniambia anaingojea Tanzania Bora Moyo wangu ukasikitika Sana kusikia hiyo kauli. Tanzania Bora IPO sasa Tanzania iliyojaa Amani furaha na utulivu...
0 Reactions
7 Replies
216 Views
https://www.youtube.com/watch?v=5Acw2Qxhq1c Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Michael A. Battle akizungumza na Mtangazaji Salim Kikeke wa Crown FM amesema hakuna Nchi Duniani ambayo inaweza...
9 Reactions
49 Replies
3K Views
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma. Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na...
5 Reactions
66 Replies
1K Views
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 18 kwa ajili ya kuimarisha upatikanaji wa majisafi katika kata ya Mbezi ambapo wakazi takribani 144,000 ikiwemo...
1 Reactions
3 Replies
569 Views
Mbunge wa Viti Maalum (Vijana Taifa) Anayetokea Kundi la Vijana Zanzibar, Mhe. Amina Ali Mzee ametembelea vituo mbalimbali vya Mkoa wa Mjini Unguja, Zanzibar vinavyoandikisha wananchi katika...
0 Reactions
1 Replies
259 Views
Habari wadau. Naomba kujua power ya Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania katika kuwateua ama kuwawajibisha viongozi waliopo Zanzibar
0 Reactions
5 Replies
466 Views
Shirika la Utangazaji Nchini Comoro (ORTC) limeelezea utayari wake katika kushirikiana na Shirika la Utangazaji la Taifa na la Zanzibar ili kuboresha mahusiano ya kihistoria na kuendeleza lugha ya...
0 Reactions
1 Replies
170 Views
Back
Top Bottom