Wakuu,
Mnakumbuka ile clip ya Sativa baada ya kupatikana kule Katavi na akiwa amezungukwa na wananchi ambao ndio walijitolea kumpeleka hospitali na kuhakikisha anakutana tena na familia yake...
Tangu awamu ya Tano zilisikika tetesi Kuna wageni wanashiriki ulinzi was wakubwa,lakini tetesi hizi hazikukanushwa wala kutolewa maelezo coz ishu hizi ni nyeti sana!
Mwaka jana kukapitishwa...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Npashe la leo.
Kwa wengi wa waliozaliwa mijini, hawaijui adha ya kupika kwa kuni mamilioni ya akina mama, wanawake, mabibi zetu, mashangazi zetu...
Kwanza nianze kwa kumushukru Mungu muumba mbingu na nchi na Yesu kristo mwokozi wetu.
Naomba kutoa wito kwa viongozi wote wa selikari ya Tanzania kuongoza nchi hii kistarabu kwa sababu Tanzania...
Watanzania wote wenye umri kuanzia miaka 18 walipe kodi zote kwa kazi wanazozifanya kihalali Kuanzia Rais na viongozi wengine wote pamoja na wastaafu wanaopata mishahara ya asilimia ya 80% ya...
Ikumbukwe kuna Watanzania wawili waliokuwa wakifanya kazi nchini Israel waliuliwa na Magaidi wa Hamas
Tanzania tumejifunza nini Katika uvamizi ule uliozaa Vita inayozidi kusambaa duniani kote...
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura...
Nimekuwa mhanga wa kutafsiriwa Mihutasari ya mashitaka iliyoandikwa Kwa lugha ya Kingereza.Mara nyingi Huwa najiuliza maana ya hii kitu Huwa ni Nini...Kwa nini isiandikwe Kwa kiswahili kama...
Rais Samia amesema ndugu zetu wa Kenya ni Wiki sasa wanapambana kulinda Amani Sisi tusifike huko
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu...
Lengo la huu Uzi ni Kutazama Yale mambo ambayo Nyerere Aliyafanya lakini Matokeo yake ni Negative.
Pengine itawasaidia Viongozi walio madarakani Wajifunze kwamba. Kiongozi hata awe Mzuri namna...
Katika zama ambazo Ukoloni mamboleo umeshamiri ni bora tushauriane katika kujikita katika kufanya kazi ili kujitafutia maendeleo binafsi .
Nafahamu kwamba Siasa ndio kila kitu lakini kulaumu na...
Wakuu,
Yaani mpaka mtu anaandika utafikiri anamuita mtu mwingine mheshimiwa, kumbe anijiita mwenyewe, mhehimiwa mimi:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh: na msije kujidai hapa oooh wanaandikiwa blaa...
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020
========...
Tanzania ndio nchi pekee ambayo ni mama Yetu. Hivyo ni lazima tuilinde tuipende na kunilinda. Tanzania ndiyo nchi pekee katika Bara la Africa ambayo imejariwa Amani upendo na mushikamano. Tuilinde...
Jimbo la Singida Mashariki CHADEMA lashindwa kufanya uchaguzi kutokana na kushindwa kutumia misingi ya Demokrasia.
Uchaguzi huo ulipangwa kufanyika leo, kutokana na vurugu zilizojitokeza...
Siku hizi tunafanya maamuzi ya haraka na mafupi yanayotunufaisha kwa muda mfupi wa maisha yetu. Lakini tunapaswa kutafakari zaidi juu ya mustakabali wa vizazi vijavyo—watoto, wajukuu, na hata...
Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni ametoa mojawapo ya hotuba adimu sana na Uchambuzi wa kina akiwashutumu Mabeberu na kutaka Africa Iamke.
Rais Museveni amesimulia jinsi ambavyo Wazungu wako...
Salaam Wakuu,
Naona kuna watu wanataka kupotosha kuhusu swala la kujiunga OIC kwamba ni la leo. Yule Mzee wa CHADEMA kakumbushia tu Wazanzibari ajenda yao ya Miaka mingi.
Swala la OIC ni Ajenda...
TANZANIA NA COMORO ZAJADILIANA KUSHIRIKIANA KATIKA NGAZI YA MIJI
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Saidi Yakubu amekaribishwa rasmi katika mji wa Bangoi Kuoni na kuzungumza na uongozi wa mji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.