Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Huu ni zaidi ya utoto na upuuzi wa viwango vyake. Hali ikifika hapa tambua kwenye hoja wameshapigwa dafrau la chembe sasa wanachechemea
9 Reactions
24 Replies
947 Views
Wakuu salaam, Hivi mlifikiria nini kumualika Rais Samia kama mgeni rasmi na mpaka mkampa tuzo? Mlishauriana kwwli mkaona hii ni good move na italeta matokeo chanya mbeleni? Yaani mnafikiria kama...
1 Reactions
14 Replies
356 Views
Hongera Waziri Bashe.Hakuna kuchekeana Wala kuoneana huruma kwa mafisadi wote bila kujalisha hadhi Yao. My Take: Wakulima ungeni mkono juhudi za Waziri Bashe kupambana kuinua Kilimo. Kazi...
0 Reactions
13 Replies
548 Views
Wakuu salam kwenu, Tumeshuhudia kwenye Uchaguzi wa 2015 JF ilivyopigwa na kitu kizito kwenye suala la mtandao na hivyo kuzuia wananchi kupata taarifa. Tulishuhudia hilo pia kwenye uchaguzi wa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Mke wa Frank Mbise, kijana aliyetekwa zaidi ya siku 40, amemuangukia Rais Samia Suluhu Hassan, akiomba msaada wa kumrudisha mume wake nyumbani. Akizungumza kwa uchungu, mwanamke huyo alisema kuwa...
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Anaandika mbunge mstaafu wa Singida mjini mh Mo Dewji aliyewahi kutekwa Quran 5:32 Yeyote atakayeokoa maisha ya MTU mmoja ni Kama umeokoa binadamu wote Ametoa Mawaidha ukurasani X Ahsanteni...
5 Reactions
20 Replies
554 Views
Natamani mnijibu kwamba hawa watu wanaojidhalilisha hivi wanafanya bure Kwa ujinga wao. Lakini mkisema hawa watu wanalipwa kufanya huu upuuzi, basi kweli kuna shida kubwa.
5 Reactions
11 Replies
825 Views
Uwaziri Mkuu wa Sokoine ulikuwa wa hovyo kuliko mawaziri wakuu wote tangu nchi ipate uhuru mpaka sasa. Ni yeye, kama alivyosema Mzee Warioba, aliasisi sheria za hovyo kabisa, hovyo kabisa ambazo...
17 Reactions
105 Replies
3K Views
Wakuu, Hivi sisiemu mnatuaga wapi watu wajinga hivi? Unakuwa chawa basi angalau usiww chawa mzigo, wapiiiii, aibu tunaona sisi! Msikilizeni Fadhili Maganya (Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Ni jambo la hovyo sana unafika ofisi za umma kuhudumiwa unakuta hakuna mahali pa raia/wateja kukaa kusubiria zamu yao kuhudumiwa, watu wamezagaa tu kwenye koridor kama nzi. Ni kero zaidi...
1 Reactions
1 Replies
159 Views
Kiongozi wa Vugu Vugu la DKT SAMIA almaarufu kama MOVEMENT SAMIA CDE Mwigulu Shigela amekemea vikali wa Mama wa CHADEMA almaarufu kama BAWACHA kwa kitendo chao cha kuteketeza kanga zilizokuwa na...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
To all of you inventing and spreading calumnies against Joshua Mollel: 1. You are suckers. 2. You are all stupid people. 3. You are all idiots. And if you believe everything that is being...
87 Reactions
199 Replies
13K Views
Nauliza tu Kwa sababu Jirani zetu Rwanda Wana kakinu kwa Nyuklia Naomba kuelimishwa kwa kujibiwa swali langu la msingi Ahsanteni sana Nimekaa pale 🐼
2 Reactions
15 Replies
479 Views
CPA Catherine Ruge soma vizuri sana hiyo mistari ya Kitabu Kitakatifu na uwashirikishe Bawacha wote utamu wa Neno la Mungu wa Mbinguni Kwa heshima mlimualika mama na kwa Upendo Mkuu aliitikia...
1 Reactions
2 Replies
183 Views
Wapendwa wasomaji, Tumeamua kuondoa animation tulio-share tarehe 1 Oktoba, 2024, kutoka kwenye majukwaa yetu ya mitandao ya kijamii (X na Instagram), kwani ulionyesha matukio yaliyoibua wasiwasi...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Hapo vip!! Hili ni jambo baya sana na sio la kufumbua macho. Kuna muwekezaji mmoja anajenga sheli pale alipoekezaga Bonoban anamambo ya ajabu sana. Leo nimepita pale na gari tunashindwa...
1 Reactions
14 Replies
812 Views
Kuelekea Uchaguzi Mkuu hapa nchini, mimi naona ni muhimu kuanzishwe mfumo mpya utakaofanya wanawake wa vyama mbalimbali wapambane kutafuta kura kwa wananchi moja kwa moja kuliko mfumo wa sasa...
1 Reactions
0 Replies
196 Views
Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kusini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile anawakaribisha Mabalozi wote wa mashina na wajumbe mkutano mkuu wa jimbo la Mufindi Kusini kwenye...
0 Reactions
0 Replies
166 Views
Moja ya kauli aliyotoa Rais Samia Jana wakati akikizindua kitabu Cha Hayati Edward Sokoine, katika hafla iliofanyika Dar, aliwaonba viongozi wenzake, waige mfano wa Hayati Edward Sokoine wa...
6 Reactions
51 Replies
968 Views
Back
Top Bottom