Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndani ya Chadema ni jambo lisilotarajiwa kutaka mwenyekiti Mbowe "aondolewe"... Nje ya Chadema ni jambo la hovyo kutaka hayo. Katiba ya Chadema iheshimiwe Katiba ya CCM nayo hivyo. Vijana...
2 Reactions
10 Replies
413 Views
Haya mambo huendaga na Nyota kwahiyo mh January tarehe 21 July inakuwaga na jambo lake Ila natania tu 😃😃 Kwako Mshana Jr kilingeni Miono Pia soma Rais Magufuli atengua uteuzi wa January...
9 Reactions
39 Replies
3K Views
Katika kipindi hiki cha mabadiliko makubwa ya kisiasa, ni muhimu kwa vijana wa nchini kuungana bila kujali tofauti zao za kabila, dini, na elimu. Wakati tunapoelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2030...
1 Reactions
1 Replies
173 Views
Kama kweli tunataka kuokoa maisha ya watu wanaokufa kupitia ajali. Tufanye yafuatayo. 1. Funga Free-standing Camera na control centres ziwe Jeshini (JW) Makao Makuu, Magereza (jela) na TRA. 2...
11 Reactions
27 Replies
976 Views
Eleweni, SSH kaendelea na kesi dhidi yangu. Kapeleka application ya kuomba muda wa kupeleka rufaa ili kuchukuwa leseni yangu MILELE. Anataka nisiingia Mahakamani Milele! Sijamtetea kwa sababu...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Rais Samia nakusalimia kwa jina la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Pole na majukumu mazito ya kuliongoza taifa letu pendwa la Tanzania. Bila shaka unapitia wakati usio wa kawaida kutokana...
2 Reactions
21 Replies
921 Views
Nchi hii ni yetu sote. Kwa mantiki hiyo kila mmoja anao uhuru wa kutoa maoni bila kuingiliwa maadamu havunji sheria. Nazungumza na Chadema kama mwakilishi wa vyama vingine vya upinzani nchini...
8 Reactions
8 Replies
542 Views
Balozi wa Marekani nchini Tanzania amesisitiza hataacha kuzungumzia maswala ya demokrasia na haki za kinyume na alivyoagiza rais Samia Suluhu Hassan. Balozi wa Marekani nchini Tanzania Michael...
15 Reactions
61 Replies
2K Views
Itoshe kusema Ruvuma, Songea na viunga vyake wameidhihirishia nchi kwamba CCM ndio tegemeo la uongozi wa nchi hii, na Dr.samia Suluhu Hassan ndio tumaini pekee la uongozi wa juu nchini Tanzania...
1 Reactions
33 Replies
859 Views
Kama Mwananchi nimeamua kufanya my Civic Duty..., Tumepata bahati sana wakati huu Dunia nzima imejikita kwenye Nishati Safi, hivyo kuna Pesa za Kumwaga ambazo either tutazitumia vizuri na...
1 Reactions
3 Replies
303 Views
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/petroli-dizeli-zashuka-bei-oktoba-4783140
0 Reactions
4 Replies
173 Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 02 Oktoba, 2024 amekabidhiwa jezi ya Timu ya Mpira wa Miguu ya Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania maarufu...
0 Reactions
0 Replies
173 Views
SIKU YA WAZEE DUNIANI 1 OCTOBER 2024 Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti jana aliandaa Chakula cha Mchana na wazee zaidi ya 300 ktk Ikulu ndogo ya Kisarawe kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya...
0 Reactions
4 Replies
296 Views
Meya wa Ubungo Mh. Boniface Jacob anakusudia kufungua shauri mahakamani la kumtaka mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kuonesha vyeti vyake ili kuondoa utata uliojitokeza hivi karibuni dhidi ya kiongozi...
35 Reactions
462 Replies
41K Views
Wakuu, Watoto wadogo CHADEMA na wengine umejumbe umewafikia, mna nini cha kuoffer wananchi waone CCM ni pumba wawachague na kuwachagua nyinyi? ====== "Tushikamane na serikali yetu na chama...
2 Reactions
5 Replies
344 Views
Rais mama samia nakusalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, pole na majukumu mazito ya kufanya mamuzi katika taifa letu hili pendwa. Mambo ni mengi mda ni mchache sana, bila shaka...
4 Reactions
61 Replies
2K Views
Tundu Lissu awafunda watia nia wa nafasi ya Uongozi kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa akiwa Jimboni Kibamba katika Semina iliyofanyika Kata ya Kawe na kuwataka kutofanya makosa ambayo...
1 Reactions
2 Replies
703 Views
Wakuu, Chawa wakubwa wanaendelea na kazi yao kuhakikisha mama anakuwa anapambaniwa na kukubalika vilivyo, kwa upepo unavyoenda mnaonaje Wakuu, watatoboa? Rais Samia amekuwa muungwana anayeipenda...
0 Reactions
10 Replies
507 Views
Kwanza sikiliza hii: Tundu Lissu anasema katika voice note hii; "...Inabidi mawakili wakusanye ushahidi wote unaohitajika na kisha waandae hati ya mashitaka...." ".....Kwa kifupi ni kuwa, kuna...
0 Reactions
4 Replies
335 Views
Baada ya Hotuba ile ndio msululu wa vikosi ukaanza kuondoka Lugalo kuelekea Stesheni kupanda Gari Moshi tayari kwenda Kumsulubisha Nduli Iddi Amin kuanzia Mutukula hadi Kampala Kitambo sana 😄...
5 Reactions
50 Replies
1K Views
Back
Top Bottom