Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Jana ktk taarifa ya habari ya jioni Channel Ten kiongozi wa mwenge wa uhuru kitaifa alilalamika kuwa mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Rorya alionesha dharau kwa mwenge wa uhuru, hakutaka kutoa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Ndugu Watanzania! Juzi nilihoji iweje Mhe. Godbless Lema atekwe ndani ya Ndege taarifa zake zisijulikane? Hapa nimetumia neno hili kuwa alitekwa kwa sababu hakuna maelezo sahihi ya kuelezea...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
"Leo (Jumatatu, Septemba 30.2024) Bawacha tumewaita (wanahabari) hapa (makao makuu ya zamani ya CHADEMA) kufanya tukio la kuonyesha hasira zetu dhidi ya Rais (Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Makamu mwenyekiti wa chama cha upinzani cha CHADEMA Tundu Lissu ageuka Mbogo wakati akizungumza katika Jimbo la Kibamba baada ya CCM kuwabagaza CHADEMA katika Uchaguzi wa mwaka 2019 wa Serikali za...
0 Reactions
0 Replies
272 Views
Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa UWT Marry Chatanda huko Songea. Bali hakusema ni wapi hao Bawacha walisema hivyo na wala hakueleza ikiwa hawataomba radhi watafanywaje. Habari kamili hii...
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Ufafanuzi wa swali uko very clear na kama mjuavyo mimi siyo Mwandishi wa Magazeti kama Lucas Ikumbukwe pia Haki ndio inazibeba Amani na Furaha Ahsanteni sana Nimekaa pale 😃
6 Reactions
30 Replies
273 Views
Mwenyekiti wa Chama kikuu Cha Upinzani Zanzibar ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema watu wengi wamehama Zanzibar kwa sababu ya Dhiki, Mateso na Dhulma wanazofanyiwa na baadhi ya Watawala...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA kwa sasa ni kama wanajenga mnara wa Babeli.chama ni kama hakina uongozi wala hakifanyi vikao wala kuwa na mipango na mikakati ya pamoja . Ndio maana kila mtu...
0 Reactions
2 Replies
322 Views
Huko mitandaoni, Mbunge wa Mbeya Mjini, kuna video inamuonesha Tulia Acskon akiwa jikoni anapika ambapo alikuwa anatumia nishati safi aina ya mtungi wa gesi. Tulia anaonekana akiwa kwenye nyumba...
0 Reactions
0 Replies
172 Views
Chanzo cha picha,Reuters Maelezo ya picha, Kiongozi wa chama cha upinzani Chadema Freeman Mbowe amekamatwa mara mbili wiki za hivi karibuni Maelezo kuhusu taarifa Wimbi la hivi karibuni la...
0 Reactions
3 Replies
347 Views
Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa. Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote...
4 Reactions
22 Replies
522 Views
Bei ya Mafuta na Dhahabu imeanza kupanda huko Kwenye vyanzo kufuatia Vita inayoendelea Kati ya Israel na Palestine Source BBC
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Freem Mbowe, kama kiongozi wa upinzani nchini Tanzania, anaweza kuhusishwa na Mfalme Daudi wa Biblia kwa njia kadhaa. Mfalme Daudi anajulikana kwa uongozi wake wa busara, ujasiri, na uwezo wa...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuwa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar litaanza tarehe 07 hadi 13 Oktoba 2024. Akizungumza katika mkutano wa wadau wa...
0 Reactions
0 Replies
487 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ikumbukwe ya kuwa huyu Mama Maria Sarungi kazi yake kubwa ni kutumika,kutumikishwa , kutumiwa kwa njia zote chafu na mbaya kupika Majungu,umbea,uzushi,uongo,ufitini na...
0 Reactions
14 Replies
438 Views
Zamani kidogo nilidhani unapokuwa na Cheo kikubwa basi waweza kushawishi watu wengi wakupende, na hasa watu wa Kwenu, kumbe sikuwa sahihi. Wakati mwingine huwa najiuliza huyu Tulia Ackson...
6 Reactions
45 Replies
1K Views
Siku ya jana Tume Huru Ya Uchaguzi ilikamilisha uboreshaji wa Daftari lake la kudumu lkatika mikoa ya Dodoma na Singida, ambapo uboreshaji katika maeneo hayo ulianza tarehe 25 Septemba 2024 na...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Kitchen cabinet au "Baraza la jikoni" la rais ni kundi dogo lisilo rasmi la washauri wanaoaminika ambao hutoa ushauri na mwongozo kuhusu masuala mbalimbali, mara nyingi nje ya mifumo rasmi ya...
0 Reactions
2 Replies
569 Views
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera anatakiwa awe Mkoani kwake Mbeya. Lakini yeye miezi kadhaa yupo Mkoa wa Jirani huko Ruvuma akifanya mikakati ya Ubunge wa 2025 Hata wananchi walishamsahau wala...
15 Reactions
37 Replies
4K Views
Back
Top Bottom