Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu Mtwenya Silas alizaliwa mnamo mwaka 1998 wilaya ya Busega kata ya Shigala mkoa wa Simiyu. Ndugu walipewa Habari za kifo cha ndugu yao aliyepatikana akiwa amechinjwa wilayani Kahama, bado...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
29 December 2023 Kilimanjaro International Airport Tanzania BABA WA JOSHUA AOMBA SERIKALI YA TANZANIA IONGEE NA NCHI RAFIKI ZA KUNDI LA HAMAS BABA MZAZI WA JOSHUA MOLLEL AMWAGA MACHOZI, AREJEA...
7 Reactions
251 Replies
14K Views
Katika kipindi hiki ambapo vitendo vya utekaji, watu kupotea na kuuawa vimekuwa vikishamiri nchini Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan ameibuka kama kiongozi mwenye jukumu kubwa la kufariji...
2 Reactions
10 Replies
467 Views
Sio mbali sana. Ni miaka mitatu kurudi nyuma bei za vifurushi vya intaneti ilikuwa ya kawaida sana. Kwa 1000 mtu angeweza kupata kifurushi cha GB1 kwa wiki. Leo hii, GB1 ni 3000. Hebu fikiria kwa...
1 Reactions
7 Replies
818 Views
Uropokaji una gharama zake. Tulishudia miaka siyo mingi jinsi Musiba uropokaji wake ulivyomgharimu TZS 9 billion kwa kumukashifu Bernard Membe. Wanasheria wa Paul Makonda wanajipanga...
11 Reactions
170 Replies
8K Views
"Ombi la Dharura kwa Joshua Loitu Mollel - Tafadhali Tusaidieni na Tuombe Joshua Loitu Mollel, mwanafunzi mdogo kutoka Morogoro, Tanzania, aliianzisha safari yake kwenda Israel tarehe 18/9/2023...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Afrika wakiwekeza zaidi katika sayansi na teknolojia kwa vijana, wanaweza kuwa sehemu muhimu ya kustawisha uchumi kama ilivyo China. Ametoa kauli...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
HUYU NDO EDWARD MORINGE SOKOINE SHUJAA WA WANYONGEMZALENDO WA TANGANYIKA,ADUI WA WAHUJUMU UCHUMI NA WATENDAJI WAZEMBE1/8/1938 -12/4/1984 "Ole wao wale wanaotumia nafasi zao za umma na...
7 Reactions
198 Replies
80K Views
Ni dhahiri ni kweli MOVEMENT SAMIA ndio taasisi inayojibu mapigo mengi zaidi toka Upinzani kuliko UVCCM kwa Sasa japo huu ni ukweli mchungu. Rais Samia Relax hawa vijana. Wananguvu na uwezo...
0 Reactions
15 Replies
486 Views
Uchumi wa Tanzania ni zaidi ya Shilingi Trilioni 221 wakati deni lake ni Trilioni 99 ikiwa ni chini ya asilimia 50%. Hivyo basi wale wanaosemaga Tanzania Ina madeni sana basi wajitafakari...
4 Reactions
52 Replies
1K Views
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu ...
7 Reactions
81 Replies
5K Views
Ni moja katika ya ma profesa wachache wenye kujua kuzungumza na kujua kuchezea lugha ya Kiswahili. Huwa namsifu. Ni profesa ambaye unaweza ukampa kazi awaelezee watu faida za kufuga Nzi ni nyingi...
9 Reactions
23 Replies
950 Views
Habari zenu wanaJF wenzangu, Nchini Tanzania, na Afrika kwa ujumla kumekuwa na dhana potofu ya kufikiri kwamba kila mtu mkubwa (kimamlaka) anapokuwa amekufa, basi anakuwa ameuwawa aidha na baadhi...
7 Reactions
78 Replies
2K Views
Na hili Wasanii wa Tanzania wanapaswa kulifahamu, Hii ni kwa sababu ukiambatana na asiyependwa kuwa Tayari kuvurumishiwa mawe na Wananchi. Yaliyompata Zuchu huko Mbeya ni Ushahidi wa hoja yangu...
23 Reactions
92 Replies
4K Views
Serikali iingilie kati yaani tunaomba TAKUKURU (PCCB) maafisa utumishi kwani wamekuwa wakiomba rushwa ili watekeleze majukumu yao. Mfano nesi aliombwa atoe kitu kidogo ili alipwe mapunjo na...
1 Reactions
12 Replies
485 Views
Mimi ni mwanaCCM kindakindaki ila nimekerwa na alichofanya huyu mkurugenzi wa wilaya ya Karatu kuwahusisha watoto kwenye harakati zake za kisiasa. Watoto wanatakiwa wafundishwe ukweli kuwa kodi...
5 Reactions
6 Replies
747 Views
Salaaam Wakurungwa, Katika harakati zangu za mtu mweusi nimejikuta nikiishi mitaa isiyopungua mitano katika mikoa tofauti tofauti. Harakati zangu zimenifanya kila nikihamia mtaa niwatafute...
0 Reactions
3 Replies
262 Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Serikali kuwasilisha kiapo cha ziada katika kiapo cha awali cha kupinga dhamana ya aliyewahi kuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo, Boniface...
7 Reactions
58 Replies
4K Views
Aprili 14 mwaka huu waandishi wanne nguli—Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu walizindua kitabu chao walichokipa jina la 'I am the State: A President's Whisper from...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom