Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Machache lakini mazito Soka na wenzake wanasadikiwa kukamatwa na jeshi la polisi. Soka aliitwa kufuatilia pikipiki yake iliyopo polisi (ni vigumu raia kujua taarifa za kitabu cha RB cha polisi)...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Simba wa Kizimkazi mh Tundu Antipas Lisu amepeleka kilio chake kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia juu ya kutekwa na kupotea kwa kijana Deus Soka Makamu Mwenyekiti huyo wa CHADEMA...
14 Reactions
57 Replies
4K Views
Godbless Lema amesema kuwa hana taarifa zozote kuhusu Soka, lakini hisia zake zinaonyesha kuwa Soka hayuko hai. Alisema: "Sina taarifa zozote lakini hisia zangu zina nambia Deus Soka hayuko hai...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Wanaharakati wa haki za binadamu na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakipaza sauti kupitia X kijana wao Deusdedith Soka kuchukuliwa na wanaosemekana na polisi na mpaka sasa hajulikani alipo. Vijana...
17 Reactions
151 Replies
8K Views
Jeshi la Polisi Tanzania limeeleza kuwa linafanyia uchunguzi madai ya kutekwa kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Mwanza, Amani Manengelo (30). Inadaiwa kuwa Manengelo...
0 Reactions
9 Replies
582 Views
Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi, Mwanza. Ameandika Martin Maranja Masese Amani Manengelo ni kiongozi wa...
8 Reactions
58 Replies
2K Views
Hamis Lisu, mmoja wa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ikungi, mkoani Singida, ameamua kutogombea ubunge wa jimbo la Singida Magharibi. Uamuzi huo umetokana na kile alichosema kuwa...
1 Reactions
1 Replies
207 Views
Siku kiongozi KUTOKA hapa Tz akaenda UAS kusaini mkataba wowote wenye Maslai kati ya Tz na Us inabidi awe makini sana maana viongozi wa USA na wapo makini sana na watanguliza utaifa mbele
0 Reactions
2 Replies
134 Views
Badala ya kupiga madongo na kuweka uchawa tubadilike kwa manufaa ya nchi
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Hii ndio Taarifa ya ghafla iliyotufikia hivi Punde No Reform No Election ======== Mengineyo: Inatarajiwa ITV kuvunja rekodi ya Watazamaji Tangu kuanzishwa kwake. UPDATES ======= Tayari Tuko...
7 Reactions
74 Replies
2K Views
Wakuu, Baada ya Rais Samia jana kuonekana akiwa anakula vitumbua, msanii Steve Nyerere amezindua Challenge mitandaoni ya kuitwa "Vitumbua Challenge" kama mnavyoona pichani Muda mfupi baadae na...
4 Reactions
73 Replies
3K Views
Wakuu Baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, kudai kuwa chama hicho kimezuiwa kufanya mkutano wake uliopangwa kufanyika jioni ya leo, Februari 27, 2025, katika hoteli ya Sea...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
  • Redirect
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Maboresho ya mradi wa gati mbili mpya katika Bandari ya Tanga, leo tarehe 01 Machi, 2025. MAELEZO YA MHESHIMIWA...
0 Reactions
Replies
Views
Ni jambo la busara kuwawezesha akina Mama katika uteuzi wa viti maalum Bungeni. Wanapokuwa Bungeni wanapata uzoefu jinsi ya kuongoza na kuishi na jamii kwa ujumla. Pamoja na mazuri yote...
1 Reactions
2 Replies
104 Views
Tanzania yaunga mkono jitihada za CTBTO kupiga marufuku majaribio ya Nyuklia Mapambano dhidi ya matumizi ya Nyuklia duniani kote yanaendelea, huku Tanzania ikiwa miongoni mwa nchi 178 zilizosaini...
0 Reactions
4 Replies
108 Views
  • Redirect
DAR ES SALAAM: JUMUIYA ya Wanawake Viongozi wa Vyama vya Siasa Tanzania (T-WCP/ULINGO) imetaka kuwepo na ukomo wa miaka 10 kwa wabunge wa viti maalumu na baada ya hapo waende kugombea kwenye...
0 Reactions
Replies
Views
Tukio la jana, ili tuelewe kwamba ana moyo wa kukubaliana na matokeo, nilitegemea dj angekuwepo kuhamasisha. au amekaa pale asubiri wakose hela ya kuendeshea chama kama alivyosema?
2 Reactions
38 Replies
1K Views
Akiwa katika Kata ya Chanzulu Baada ya mkutano wa wananchi Mhe DC Shaka Hamdu Shaka apokea mahaba toka kwa Wananchi anaowaongoza. Wananchi wa vijiji vya Chanzuru na Muungano wameshindwa...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Jana nilikuwa Tanga na ile Ziara ya Raisi Samia Tanga ina sio chini ya V8 300, Bado hujazungumzia Nisan Patroo, bado Toyoto landcruser hardtop na magari mengine. Hapo jirani tu Hospitali ya Bombo...
5 Reactions
17 Replies
644 Views
  • Redirect
Juzi ilizinduliwa uchangiaji wa TONE TONE na hivyo tunaiomba CHADEMA irudie taratibu wa uchangiaji huu mara kwa mara ili wanaopenda kuchangia wachangie. Chama kielekeze wazi taratibu za njia...
0 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…