Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nyuki wa Mama mpo? Kama mnavyomuona kwenye picha Waziri wa Ulinzi akiwa beneti na Mama wakiangalia kwa makini hicho walichoambiwa ni cha kutazama katika ufunguzi wa zoezi la medani katika...
66 Reactions
221 Replies
10K Views
Utawala wa Daniel arap Moi nchini Kenya, ambao ulidumu kuanzia mwaka 1978 hadi 2002, unakumbukwa kwa matatizo mengi, ikiwa ni pamoja na utekaji wa raia, ukandamizaji wa viongozi wa kisiasa, na...
4 Reactions
2 Replies
571 Views
MHE. WANU HAFIDH AMEIR ACHANGIA MILIONI 10 YA UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU UWT WILAYA YA RUFIJI Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Unguja Kusini tarehe 30 Julai, 2024 alifungua Baraza la UWT Wilaya ya...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Ndio Taarifa ya sasa kutoka BBC Marekani imeingilia Kati kuitaka Israel ipunguze kipigo Tuzidi kuwaombea ndugu zetu Waarabu
10 Reactions
98 Replies
3K Views
Katika muktadha wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii, ni muhimu kuelewa jukumu la mashirika mbalimbali yanayoshughulika na huduma za umma. REA (Wakala wa Nishati Vijijini) imejikita katika...
1 Reactions
2 Replies
183 Views
Katika mashauri yaliyosikilizwa katika Mahakama ya ajira ya London, Uingereza, imeibuka taarifa kwamba kampuni ya mawasiliano ya Tigo ilihusika katika kutoa taarifa za simu za mwanasiasa maarufu...
50 Reactions
352 Replies
23K Views
'Ukimchukua kiongozi wa kata wa CHADEMA, ni sawasawa na kiongozi wa CCM wa ngazi ya kuanzia mkoa au kidogo ni Taifa'' - Gavana Kaduma, Katibu wa CHADEMA kanda ya kusiniKwa urefu zaidi unaweza...
4 Reactions
12 Replies
346 Views
Bila shaka nyote mnafahamu kuwa Dkt. Samia yupo ziarani mkoani Arusha kuanzia leo. Swali muhimu la kujiuliza: Je, atafika Ngorongoro kuwatuliza Wamasai? Pia soma Kuelekea 2025 - Rais Samia Aagiza...
1 Reactions
19 Replies
730 Views
Katika mazingira ya Tanzania ambapo kulishatokea matukio ya kigaidi, kama shambulio la bomu kwenye ubalozi wa Marekani mwaka 1998 na matukio ya vurugu za Kibiti, vyombo vya usalama vya serikali...
9 Reactions
81 Replies
3K Views
Kuwa wa kwanza Kufahamu kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu, Amekuwa miongoni mwa Wanakijiji cha Mahambe huko Ikungi waliojitokeza Kuboresha Taarifa zao kwenye Daftari la mpiga kura.
8 Reactions
42 Replies
2K Views
Wazalendo,na wanaharakati marufuku kumjibu au kubishana na Suphian Juma sio levo zenu tena Wanaukumbi,nashangaa mnavyopoteza muda kujibizana na Suphian Juma ambaye sio levo zenu nikimaanisha huyo...
3 Reactions
5 Replies
455 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la Jumapili ya leo. Huu ni muendelezo wa sisi Watanzania kujitathmini uwezo wetu wa uongozi kwenye corporate level, jee Watanzania tuna...
20 Reactions
60 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya...
6 Reactions
145 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amemshukuru Rais Samia Kwa kukataa ushauri wa kubadili ratiba Ili aende Marekani ambapo jana angehutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Dr Nchimbi amesema huo ni...
5 Reactions
35 Replies
1K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndg. Rabia Abdalla Hamid, amekutana na Wanadiaspora na wanachama wa CCM nchini Uingereza tarehe 28 Septemba, 2024...
0 Reactions
0 Replies
181 Views
Wana imani na Mwigulu Nchemba
19 Reactions
116 Replies
12K Views
Ndugu zangu Watanzania, Huu ni Zaidi ya Upendo ndugu zanguni Watanzania.Haijawahi kutokea hapa Nchini pengine hata ndani ya Bara zima la Afrika kwa Mwanasiasa kupendwa ,kukubalika,kuungwa...
2 Reactions
61 Replies
2K Views
Bandugu, msomi mwenye degree 15 Prof. Tibaijuka amekuja na hoja ya mgombea binafsi katika chaguzi zetu. Prof amejenga hoja kwamba kulazimisha watu kujiunga na vyama vya siasa ni udikteta wa...
3 Reactions
14 Replies
761 Views
Habari wanajukwaa, Binafsi nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Raisi wa TLS na Mwanasheria mbobezi kwa jina maarufu la Adv. Boniface Mwabukusi. Kihistoria Mwambukusi inasemekana aliwahi kuwa...
11 Reactions
45 Replies
2K Views
Nitangulize pole zangu kwa Familia ya Elizabeth na Waingereza wote kwa msiba. ...vilevile nimpongeze Mfalme wa Waingereza. ....kwa taarifa zinazotiririka kuhusu kifo cha Malikia, kumekuwa na...
2 Reactions
45 Replies
2K Views
Back
Top Bottom