Baada ya katuni ya samaki tuliyoijadili jana, leo manzania mwenye kipaji cha hali ya juu ametuletea tafakuri nyingine. Karibuni tuchangie mawazo.
Nionavyo mimi, mtu ambaye amejifungia ndani...
Siku zinakwenda namkumbuka Tupac Amar Shakur 2Pac msanii mwenye sauti yenye nguvu katika muziki wa hip hop,Alijitokeza sana kuhamasisha vijana na jamii kuhusu masuala ya kijamii na kisiasa,Nyimbo...
Kuna madai yaliyo tolewa huko London mahakamani kwamba Tigo muliwapa watu fulani data za kumfuatilia Tundu Lissu. Mbona mmekaa fofofo hadi sasa hamseki kitu? Mpaka sasa hamja kanusha kwamba ni ya...
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Said Othman Yakubu amekutana na Rais wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kisiwa cha Anjouan na ujumbe wake na kuwahimiza kuzidisha uagizaji wa bidhaa toka...
Nimeshangaa sana. Yaani mkuu wa upelelezi unapeleka kiapo Mahakamani ili mtuhumiwa asipate dhamana?
Primary objective ya jeshi la polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zao.
Sasa kama kuna...
Notorious BIG aliwahi sema maneno yenye maana ifuatayo juu ya kifo cha 2pac “Sure we had our hardships, but I would never wish death upon no one. There's no coming back from that.” RIP Biggie and...
Ni kosa kwa raia kushirikiana na nchi hasimu katika masuala yanayoharibu taswira ya nchi yake kimataifa na kuathiri uchumi au usalama wake. Raia ana jukumu la kulinda maslahi ya taifa lake, na...
Serikali imekwamisha tena uamuzi wa hatima ya dhamana ya meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu ‘Boni Yai’ baada ya kuibua maombi mengine mapya kuwa wanataka kuwasilisha kiapo cha ziada...
Waziri wa Usalama Prof Kindiki amesema Maandamano ya Gen Z ni Uhaini na wapambe 5 wa Makamu wa Rais mh Gachagua wanahusika
Source Citizen TV
Sijajua Maandamano ya Chadema yatatafsiriwaje...
Pindi anapojitokeza lissu kutoa tamko flani utawaona watu wengi wanajitokeza kujifanya wapo pamoja nae, lakini Lissu anapowaita wamuunge mkono kwenye jambo mfano ni 23/9/2024.
Kila mmoja bila...
Ingekuwa Tanzania sijajua ingekuwaje ila hapo Kenya ni wazi Taasisi za Dini hasa Wagalatia hawapendi kulipa Kodi
Mitume wameugomea muswada wa serikali unaopendekeza Sheria Mpya ya Taasisi za Dini...
Kama Mtanzania na mwanadamu wa kawaida, bila kujali wewe umeegemea upande gani kisiasa, nina hakika ulipata muda wa kutafakari na kujiuliza maswali kadhaa kuhusu sakala hili la maandano...
Siku moja baada ya Jeshi la Polisi kuzima maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yaliyopangwa kufanyika jijini Dar es Salaam Septemba 23, 2024, baadhi ya askari wameonekana...
Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata...
Washabiki, wafuasi na vibaraka wa Mwendake, akili zao ni za hovyo kupindukia na huwa wako teyari kufanya lolote kwa yeyeote ataesema jambo baya kuhusu Mwendazake hata kama kweli huo ubaya...
Siku ya jana wilaya ya Tunduru mkoa wa Ruvuma kuna mgonjwa alitolewa kwenye kituo cha afya ili akatibiwe. Kwakua gari la wagonjwa hakuna ilibidi abebwe kwenye tenga na kwenda kutibiwa.
Hali hii...
Huyu hapa ni Mwamba Kabisa wa Siasa Barani Africa, Freeman Mbowe, Akiwa amezingirwa na Polisi wa Tanzania wenye silaha za kivita Waliotumwa kumkamata kwa Makosa ya Kupinga Utekaji na Mauaji...
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Mwenyekiti wa Chadema ni miongoni mwa watu waliofika Mahakamani leo kufuatilia dhamana ya Meya wa zamani wa Ubungo na Kinondoni, aliyeko kizuizini baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.