Usinichoke na ukinichoka nipotezee
Je wajua watanzania wakiwa kwenye vyombo vya usafiri UPOTEZA ufahamu wote na ndio maana ikitokea ajari WANAKUFA WENGI?
Ushahidi ni huu hapa
Alivyotekwa Mzee...
Friday, September 20, 2024

In the first seven months of 2024, the international tourism landscape witnessed an impressive surge in visitor arrivals in several countries, showcasing not only a...
Ukifikiria sana haya mauaji na utekaji watu usio na jibu na kisha chama kimoja cha siasa kuiandama serikali kama ndio inahusika unaweza kujiuliza maswahi mengi bila kupata majibu.
Tunavyojua wale...
Unapozungumzia Wizara ya Afya unakuwa umegusa moja kwa moja Afya za watanzania hivyo unahitaji mtu makini .
Katika hii wizara tunategemea kutakuwa taaluma zaidi kuliko maigizo na siasa .
Ummy...
Kikatiba the National Audit Office imelindwa sana ili isiingiliwe kabisa na mamlaka ya juu ya nchi. Lakini kwa mujibu wa Prof. Assad, ofisi hiyo iliingiliwa. Sasa mwaka huu na mwaka kesho tuna...
Ndugu zangu Watanzania,
Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana...
Kamanda Muliro amesema Wananchi wamefurahia kuimarishwa kwa Ulinzi na wamekuwa wakipiga simu za pongezi
Muliro amesema Ulinzi huu hautokani na Chadema Kutangaza Maandamano bali ni katika...
Ndugu Magufuli kama kweli anataka nchi iendelee na iwe ya viwanda na lazima tuwe tunazalisha kwa mwaka minimum megawatt 5,000 kama kweli tuko serious na sio hizi ngonjera za uchumi wa viwanda na...
Wakati CHADEMA wanaelekea kwenye Ofisi ya Mkurugenzi kudai barua za viapo, polisi walivuruga na kuanza kupiga mabomu zikiambatana na risasi za moto kwa wapenzi na wanachama wa CDM eneo la...
Yaani kwanini Jeshi la Polisi ??
Kijana Johnson Josephat ambaye shughuli yake inaelezwa ni kuuza vyuma chakavu mkazi wa mtaa wa Mulieti amefariki dunia katika mtaa wa Eso ambapo ameifanya kwa...
Wasalaam ndugu zangu,
Kufuatia hali ya waandamaji na maoni ya baadhi ya watanzania kwenye mitandao ya kijamii, nimegundua CHADEMA hawana nguvu wala watu wengi kutoka na kukosa ushawishi. Chama...
Maandamano yaliyofanyika leo Tundu Lissu hakuonekana hadharani akiongoza wala kushiriki maandamano. , kuna dalili za mabadiliko ya kipekee katika uongozi wa chama na nguvu za kisiasa ndani ya...
Ndugu zangu watanzania,
Haya ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Askofu Dkt Benson Bagonza
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya...
Mwanachama wa Chadema mh Malisa GJ amesema Katibu mkuu wao mh John Mnyika yuko salama hapo Kanisa Katoliki Msimbazi Center jijini DSM
Malisa amesema Mnyika anaendelea na Maombi yake ya Novena...
Well, well, well…..kama nilivyotarajia, maandamano ya jana yalibuma.
Hakukuwa na jipya. Kujua kwamba maandamano yangebuma ilikuwa ni sawa na kutabiri kuwa wiki ijayo, kuanzia Jumatatu hadi...
Kukosekana historia ya kupigania taifa leo, imeiacha nchi katika mgawanyiko mkubwa.
Hakuna kitu cha kutuunganisha watanzania kihistoria. Pengine vita ya Kagera ingeweza kutumika kujenga uzalendo...
Ukweli ni kwamba japo maandamano yalizuiwa kwa nguvu zote na Polisi, taswira ya rais Samia imeendelea kuathirika mbele ya watanzania na jumuiya ya kimataifa.
Katika hotuba ya rais Samia ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Ni lazima ifike wakati tukubaliane na ukweli mchungu ya kuwa CCM ndio Moyo wa Taifa letu,ndio Mapafu ya Taifa ,ndio damu ya Taifa na ndio OKSIJENI ya Taifa letu. Hakuna...
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi ameeleza kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilikuwa sahihi kutumia njia ya maandamano kufikisha ujumbe pamoja...
Katika kuendelea kuchochea Uwajibikaji na Utawala Bora JamiiForums mwaka huu 2024 imekuja na kitu cha tofauti kwa kutambua mchango wa Taasisi za Kiserikali pamoja na Viongozi wanaokuwa mstari wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.