Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasihi Watanzania kuwakataa wale wote wanaotaka kuligawa Taifa kwa sababu za kisiasa au tofauti za kiitikadi kwa ajili ya maslahi...
0 Reactions
1 Replies
268 Views
Nina huzuni na kushangazwa na hali ilivyo sasa. Wale waliouwawa, waliotekwa, na waliopotezwa ni watanganyika. Wale wanaoandamana ni watanganyika, na polisi wote ni watanganyika pia. Wale...
32 Reactions
121 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Huyu ndiye Rais wetu,Rais Makini,hodari,shupavu,imara, madhubutu na mwenye maono Makubwa.Rais Mwenye utulivu na misimamo madhubuti.Rais Mwenye akili na upeo wa kiuongozi...
8 Reactions
27 Replies
1K Views
Rais Samia Januari 2023 wakati akizungumza na viongozi wa vyama vya kisiasa, katika kikao kilichofanyika katika Ikulu ya Dar es Salaam, Rais Samia Suluhu Hassan alitoa tamko la kuruhusu shughuli...
0 Reactions
0 Replies
168 Views
My Take Hongera sana Rais Samia Kwa kukuza Kiswahili na kufungua fursa Kwa Watanzania 👇👇 --- Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inatarajia kufungua vituo 100 vya kufundisha lugha ya...
7 Reactions
83 Replies
1K Views
Maandamano yaliyofanyika jana, yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yameonyesha wazi changamoto kubwa ambazo chama hicho kinakabiliana nazo katika kuhamasisha wananchi na...
0 Reactions
2 Replies
272 Views
Nabii wa Mungu, Godbless Lema amesimulia namna alivyokamatwa. Anadai alikamatwa kabla hata hajashuka kwenye ndege siku ya Jumapili na kupelekwa kituo cha Polisi Terminal 1. Alipoulizwa sababu ya...
24 Reactions
68 Replies
4K Views
"OCD wa Tanga mjini nimemwambia Taarifa yetu ya Mikutano ya Hadhara tuliyowapa ina mikutano kuanzia Tar 10 hadi 24 Sep. Nikamwambia sisi tutaendelea na mikutano yetu 21 na 22 kwa kuwa HAIJAZUIWA...
19 Reactions
99 Replies
4K Views
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili...
53 Reactions
134 Replies
6K Views
Tangu aapishwe Rais Samia amekuwa akihudhuria kila mualiko anaoupata kutoka nchi za nje na Jumuiya za Kimataifa. Lakini ajabu safari hii amemtuma Kassim Majaliwa kumuwakilisha na badala yake yuko...
8 Reactions
52 Replies
2K Views
Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
9 Reactions
24 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.anaendelea kuonyesha upendo wake kwa viongozi wa Dini na namna alivyokaribu na watu...
3 Reactions
57 Replies
2K Views
Baada ya kuona tunaitwa kuwekeza kwa UBIA kwenye VIVUKO; nikaingia kwenye TOVUTI yao kuona hawa jamaa wanafanya nini katika Huduma ya VIVUKO Home | TEMESA Sehemu ya Uendeshaji na Usalama wa...
0 Reactions
2 Replies
196 Views
Naangalia hapa Al Jazeera news naona wanatumia Muda mwingi kuelezea habari za maandamano ya Chadema yaliyofeli Kilichonikera ni kutumia picha za kampeni za Tundu Lisu za mwaka 2020 kana kwamba...
7 Reactions
21 Replies
896 Views
Hii ni sehemu muhimu ya majadiliano kwenye siasa za Tanzania. Katika muktadha huu, kuna umuhimu wa kuzingatia mazungumzo kati ya serikali na vyama vya upinzani, kama CHADEMA, ili kupunguza mvutano...
4 Reactions
27 Replies
764 Views
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kuna watu wanauliza Wafuasi wa Mbowe(Wanachadema) walikuwa wapi wakati kiongozi wao anakamatwa na Askari pale kwenye Magomeni. Wapo wapi anaowapigania? Wapo...
12 Reactions
81 Replies
2K Views
Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika...
16 Reactions
59 Replies
3K Views
Siku ile uliyokusanya viongozi wote wa chama wa Pwani na Dar es Salaam, ulitakiwa kutangaza maandamano palepale muingie barabarani jioni ileile. Ila ukang'ang'ana kuwa ni lazima kuomba kibali...
23 Reactions
83 Replies
4K Views
Bongo ina maajabu yake. Sijwahi kuona nchi yoyote duniani baadhi ya raia wake wanashadadia au wanafurahia police kupiga, kunyanyasa, kutaabisha au kusumbua raia wake wengine katika karne hii...
37 Reactions
126 Replies
5K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Kongamano la Siku ya Wanawake Duniani lilioandaliwa na Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) katika Ukumbi wa Kuringe...
23 Reactions
173 Replies
12K Views
Back
Top Bottom