Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Rais Mstaafu Mzee Kikwete ameshiriki Siku ya Maji huko New York nchini Marekani Dr Kikwete ni Mwenyekiti wa Global Water Partnership Barani Africa ===== Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya...
0 Reactions
0 Replies
215 Views
Leo amesikika Rais Samia akisema kuwa aliruhusu mikutano ya vyama vya siasa. Hiyo sentensi moja tu inamaanisha Rais Samia hajui katiba inasema nini juu ya mikutano ya vyama vya siasa? Mikutano ya...
18 Reactions
47 Replies
2K Views
Freeman A. Mbowe: "Namshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema, kwa zawadi ya Uhai wetu. Wako wengi waliokuwa hai miongoni mwetu, mara ya mwisho nilipozungumza na Taifa, mwezi Januari mwaka huu...
53 Reactions
277 Replies
25K Views
Chanzo cha picha, Ikulu ya Tanzania Maelezo ya picha,Rais Samia Suluhu HassanMaelezo kuhusu taarifa Wachambuzi wa siasa wameonesha kushangazwa kwa kiasi fulani na ukosoaji wa Rais Samia Suluhu...
0 Reactions
1 Replies
274 Views
Kwani, watu wa mitandaoni siyo watanzania? Rais Samia amejiongoza vibaya! Nani anamdanganya Rais wetu Samia? Kama Rais wetu hajadanganywa, kwanini ameamua kujiongoza mwenyewe vibaya katika hili...
55 Reactions
144 Replies
8K Views
Salaam, Karibu kila mahali, wanasiasa wa upinzani africa, walipopata nafasi ya kuingia madarakani, walivurunda kuliko waliokua wanawalaumu na kuwaponda. Kiukweli ccm imechokwa sana na...
3 Reactions
8 Replies
239 Views
Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu Source: WASAFI media My take; Chadema wawe Waelewa Mlale Unono 😃😃🌹🌹
7 Reactions
67 Replies
3K Views
Amani ni tunu ya Taifa. Amani ilindwe kwa gharama yoyote kwani gharama ya kutokuwepo amani ni kubwa sana. Taifa changa la Tanzania likiwa kwenye mwendo bora wa kuinuka kimaendeleo limeanza...
2 Reactions
10 Replies
220 Views
Tuliaminishwa humu na genge la watu kwamba ati Magufuli ni dikteta, mara sijui ati anavunja Demokrasia! Tukaambiwa ati tunapaswa kulikomboa taifa dhidi ya udikteta..... Kila mtu akawa anafoka na...
4 Reactions
7 Replies
257 Views
Mimi ni muunini wa kinachoitwa SYSTEM AU STATE AU KITENGO. Ninaamini nchi hii kama zilivyo nyingine nyingi zina MFUMO AU SYSTEM na kazi yake ni moja tu kulinda maslahi ya nchi dhidi ya majaribio...
37 Reactions
407 Replies
71K Views
Kama ni kweli Serikali imetumia usalama kugushi makaratasi ya uchaguzi, kupanga matokeo ya uchaguzi Tanzania nzima na kufilisi wapinzani wafanyabiashara na hata kuwajeruhi au kushiriki kwa namna...
7 Reactions
34 Replies
5K Views
Kuna mazuri na mabaya ya Magufuli Mazuri Anapenda utekelezaji wa haraka. Tanzania ilifika wakati utekelezaji wa kila kitu unachukua muda mwingi sana Anapenda miradi mikubwa. Bila miradi mikubwa...
20 Reactions
96 Replies
10K Views
Ruto kampa live Samia kuhusu maandamano Niongezee hili la imani Mwanzo 9:6 BHND Share Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
8 Reactions
30 Replies
2K Views
Wanabodi, Leo 30/12/2022 tunapoanza safari ya kuuaga mwaka 2022 hapo kesho na keshokutwa kuukaribisha mwaka mpya wa 2023 hivyo naomba nianze makala yangu hii ya "Kwa Maslahi ya Taifa" kwa...
24 Reactions
123 Replies
5K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimetoa rasmi tamko mara baada ya baadhi ya viongozi wake kukamatwa na Jeshi La Polisi wakati wakiwa wanaandamana. Tamko la CHADEMA linakuja saa chache...
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) lililoandaliwa na Baraza la Wanawake (Bawacha) wa chama hicho...
29 Reactions
267 Replies
11K Views
Wakiongozwa na Marekani, wafahili wanaweza kukata ama kupunguza mikopo na misaada kwa Tanzania kutokana na ujinga unaoendelea hivi sasa.Hivyo, ili kuwaridhisha wafadhili, hayo makesi ya mchongo...
0 Reactions
6 Replies
346 Views
Hii ni Habari njema Kutoka BCIC Mbezi beach kwa Mtumishi wa Mungu wa mbinguni askofu Gwajima Wawekezaji washauri Kutoka Israel Leo walikuwa BCIC Mbezi beach kwa ajili ya ufafanuzi Juu ya mradi...
3 Reactions
11 Replies
459 Views
Huu ndiyo ukweli Wala haihitaji 🚀 science kujijua hili jambo. Kuna kazi anaziratibu? Mamlaka inamtegemea? Watanzania si wajinga. Uzi tayari.
3 Reactions
23 Replies
749 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi kabla ya kufunga Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa lililofanyika katika uwanja wa Majimaji...
0 Reactions
0 Replies
276 Views
Back
Top Bottom