Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba...
37 Reactions
258 Replies
7K Views
Baada ya takafuri nzito, kwa kiasi fulani maandanano yetu kupitia maoni yetu hapa JamiiForums yameanza kufanikiwa. Tunaona viongozi walio na akaunti verified JF wanajitokeza kuandika masuala ya...
3 Reactions
10 Replies
433 Views
Heshima sana wana jamvi, Tanganyika ni nchi ya maajabu au ukipenda unaweza kusema nchi ya watu wajinga. Leo police 🚔 wameandamana kuzuia maandamano ya Chadema. Lengo kuu la maandamano lilikuwa...
7 Reactions
12 Replies
586 Views
DUNIA inashuhudia kufunguliwa kwa siasa za vyama vingi na shughuli zake katika ardhi ya Tanzania, si kwa kauli bali vitendo hasa baada ya wiki nzima kuwa na mvutano juu ya Chama cha Demokrasia na...
0 Reactions
2 Replies
443 Views
Ni haki na inahitajika wapewe ulinzi wa hakika, kwani ni moja ya misingi kidemokrasia, maandamano hahajafanyika hivyo uovu wa maandamano haujaonekana. Watakapofanya maandamano yao kwa kusababisha...
4 Reactions
5 Replies
398 Views
Marekani ndio mdhamini mkuu wa operesheni chinja chinja inayofanywa na Israel ukanda wa Gaza. Ndio balozi wake anatufundisha jinsi ya kuongoza taifa letu? Dunia haiishiwi maajabu
11 Reactions
82 Replies
1K Views
Kenya Kila mtu ni mwanasiasa, anajua Katiba na anaweza kuchambua Financial Bills na kumpinga Rais na Serikali yake muda wowote tena kwa hoja thabiti. Nenda Jacaranda kwenye Bunge la Mtaani la...
11 Reactions
60 Replies
1K Views
Heshima yako Dr, Heshima yako ya kutukuka ilianzia kwenye Bunge la katiba, uongozi wako na usimamizi wako wa Bunge hilo ulikubeba katika hiyo nafasi uliyonayo. Ninaiona ikikujengea heshima zaidi...
0 Reactions
0 Replies
274 Views
Chanzo cha matatizo yote ni katiba mbovu tuliyonayo haya mengine kwa sasa yanategemea sana busara za kiongozi mkuu wa nchi. Ukiandaa maandamano ndani yake kukawa na Samia Must GO ndani ya kuomba...
2 Reactions
3 Replies
421 Views
Nimefika hapa Magomeni, sioni watu wala kikundi cha watu, mkowapi ndugu zangu waandamanaji niungane nanyi?
10 Reactions
40 Replies
1K Views
Ikumbukwe majuzi tu CHADEMA wamefanya maandamano ya amani, zaidi ya mikoa 10 nchini. Na wakaenda kupeleka petitions zao maeneo malimbali ikiwa ni pamoja na UN-Tanzania, na wala hapakua na Tatizo...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Service ya magari ya maji ya kuwasha, ununuzi wa vilipuzi, risasi, posho za maaskari na maafisa wa jeshi la polisi ambao wamepatakaa barabarani leo ni kubwa sana. Hata kama hujui hesabu lazima...
2 Reactions
3 Replies
179 Views
Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa! Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na...
16 Reactions
103 Replies
4K Views
Ujomile musani!. Nilichokiona na kusoma mtandaoni kimepelekea kupeana taarifa jinsi gani jeshi la polisi linajiandaa hasa kwa Jumatatu ya tarehe 23. Nikiwa njia panda ya Himo hapa moshi naona...
12 Reactions
100 Replies
7K Views
Kumtoa Rais Samia madarakani na kuiacha CCM madarakani ni kazi bure. Mambo mengi yanayoendelea ni matokeo ya mifumo iliyoweka na CCM na awamu zote haya mambo huwepo japo yanapishana kiwango Na...
8 Reactions
37 Replies
799 Views
Wale wenye mikosi sugu na kushindwa kila kitu tukutane Kawe Bure kabisa, Yesu atatenda miujiza kupita Kawaida kupitia mtumishi wake
3 Reactions
43 Replies
922 Views
Mbowe anaongea na waandishi wa Habari Magomeni muda huu Polisi watokea na kumkamata waandishi wa Habari wakiwemo akina Kikeke na Wengine wamtetea Police wameshaondoka naye kwenda kituoni Jambo...
5 Reactions
67 Replies
3K Views
Nimesikia CBE wamekuja na Template ya kuwa na Public Private Partnership kujenga Mabweni na Kujinasibu kwamba wamekuja na kitu bora na hadi kupeana zawadi ya kufanikisha hicho kitu..., Sasa...
2 Reactions
14 Replies
438 Views
Akifanikisha haya maandamano itabidi tumpatie mitano 5. Ajitokeze na awe mstari wa mbele katika maandamano, yeye na wapendwa wake. Kama hatoweza basi atukabidhi chama chetu, usukani afanye...
1 Reactions
3 Replies
226 Views
Back
Top Bottom