Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu zangu Watanzania, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Antonio Guterres Ameimiminia sifa na pongezi kubwa sana Tanzania chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais wetu...
2 Reactions
83 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Wakili wa Chadema, Hekima Mwasipu amesema Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amekamatwa na polisi asubuhi ya leo Jumatatu, Septemba 23, 2024. "Lissu amekamatwa nyumbani...
1 Reactions
2 Replies
980 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia uimara ,weledi ,uzalendo ,utayari, ushupavu, umadhubuti,umakini na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na...
6 Reactions
95 Replies
2K Views
WAKATI mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akitangaza uwepo wa Maandamano ya Chama hicho Siku ya jumatatu September 23 ,Jeshi la Polisi Nchini limeweka mkazo...
1 Reactions
81 Replies
4K Views
Nchi ikifika level kama ya kenya jinsi Jeshi la Nchi ikiwemo Polisi, usalama na Jeshi lao la ulinzi lilionesha utimamu na ustahamilivu wa hali ya juu sana. Yaani Majeshi yote ya Kenya yalionekana...
6 Reactions
36 Replies
830 Views
MBUNGE ESTHER MALLEKO AONGOZA WANAWAKE 300 KUJIUNGA UWT WILAYA YA MOSHI Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Esther Edwin Malleko amefanya Mkutano katika Kata ya Kahe Mashariki, Moshi...
1 Reactions
0 Replies
168 Views
Mpaka sasa, CHADEMA wameshinda maandamano. Nashauri ahirisheni maandamano kwa leo, kaeni kama siku mbili hivi, tangazeni maandamano mengine ili tu kuwapa pressure watesi wenu
14 Reactions
21 Replies
1K Views
Vichwa vya watanzania bado vinabidi viitiwe mkoloni maana bado akili zimelala. Eti wanamsubiri mbowe na lissu kwenye maandamano, kwahiyo wakikamatwa au wasipokuja ndohatuandamani au? Haya...
7 Reactions
27 Replies
870 Views
Yaani unatoka nyumbani kwako kabisaa, ukiwa na afya njema. Wengine maskini ya Mungu hata nauli ya kutoka sehemu moja kwenda nyingine hawana, wamelipiwa tu na wafadhili wa maandamano kwasababu ya...
9 Reactions
57 Replies
957 Views
Nimepata habari muda huu huu kwamba ajali mbaya imetokea Wilani Njombe , na katika ajali hiyo Mh.Salome Mbatia amefariki. Mtoa taarifa hakuweza kunieleza zaidi maana alikuwa na wasi wasi ila...
0 Reactions
330 Replies
67K Views
Mpaka sasa umoja, amani na utulivu wa wananchi katika kila kona na pembe ya nchi, ni imara na kuna usalama wa kutosha na wa uhakika sana. Hii ni ishara kwamba vyombo vingine vya ulinzi na usalama...
8 Reactions
78 Replies
1K Views
Viongozi wa CHADEMA waliitisha maandamano wakati walijua hawana uwezo wa kufanya maandamano siku zote kuongea ni rahisi sana kuliko kutekeleza. Moja ya mbinu ya maandamano ni kuwa mafichoni...
2 Reactions
11 Replies
492 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema asubuhi hii (leo, Jumatatu Septemba 23, 2024) amefuatwa na maafisa wa Jeshi la Polisi nyumbani kwake, na kuelezwa kuwa anahitajika kuripoti kwa RCO...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Watanzania hawaitaki Act Wazalendo ya Zitto. Vibaraka wakubwa wa CCM
1 Reactions
2 Replies
146 Views
Waungwana wa JF, husikeni na mada ya hapo juu. Nikiri wazi kuwa katika kufuatilia kwangu siasa za Tanzania kupitia redio, magazeti, runinga na mitandao ya kijamii, sijawahi kuona au kusikia...
12 Reactions
28 Replies
1K Views
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake. Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata...
88 Reactions
300 Replies
19K Views
Siku ya kilele ya Utamaduni Ruvuma ni tukio linalokusudia kuenzi, kuhamasisha, na kulinda utajiri wa mila na desturi za mkoa huo na Tanzania kwa ujumla. Mkoa wa Ruvuma, ambao umekuwa ukijivunia...
1 Reactions
13 Replies
467 Views
Uwe mwangalifu, siafu wamesambaa kila kona, usimuamini jirani aliyekaa karibu na wewe. Jamaa wako kila uchochoro, wako kila mahali. Ile nchi ambayo walitaka iingie kazini sasa iko ndani kabisa ya...
16 Reactions
80 Replies
3K Views
Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka. https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
46 Reactions
309 Replies
11K Views
Back
Top Bottom