Nipo sehemu flani hivi executive. Nimekaa na mpenzi wangu tuna enjoy mlo wa mchana.
Kilichonishtua ni ustaadhi wa kiarabu kaja na vitoto vyake viwili. Haviongei kiarabu. Vinashindana na vitoto...
Nakuita kwa jina la Jamhuri ya Muungano wetu mheshimiwa Raisi.
Waache hawa Chadema na Wananchi wengine waandamane.
-Wape ulinzi,
-Hakuna kitakacho haribika
-utaithibitishia dunia kuhusu zile 4R...
Hili kila Mtanzania anapaswa kulijua na kulikemea kwa nguvu zote.
Chadema ilipotaka Vyombo vya Uchunguzi vya Kimataifa kwenye jambo hili, ilijua wazi kwamba Polisi wa Tanzania hawana uwezo wa...
Kuna mbinu nyingi tu za kuandamana hasa katika nchi ambazo demokrasia ya kuandamana ni ndogo;
1. Maandamano ya wananchi mtandaoni and kwenye vyombo vya habari
2. Maandamano ya wananchi mtaani...
Rais Samia ameendelea kuingia kwenye nyoyo za Watanzania hususani Wana Iringa baada ya kutoa Fedha za kuanza Ujenzi wa Barabara ya Iringa-National Park ambayo ilikuwa ni Kilio kikubwa Cha wana...
Ukiwa kama Mtabiri wetu hapa Jf kutokea Kilingeni Msata Dr Mshana Jr naomba maoni Yako
Ikumbukwe Mwalimu Nyerere ndiye baba wa kiimani( ubatizo) wa ndugu yetu Mwenyekiti wa kudumu Wa Chadema mh...
Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) Wakili Onesmo Olengurumwa akizungumza na televisheni ya mtandao ya Sauti Digital.
"Sisi tulidhani na tulishauri sana...
TANAPA mnashindwa kuwa service conscious, mnashindwa kuwa time conscious na mnashindwa kufanya maamuzi sahihi linapotokea tatizo, wageni wamekaa siku nzima getini eti kisa mifumo wa malipo...
Dunia inaenda kasi sana !
kihistoria dunia ina pande mbili kinzani yaani mrengo wa kulia na mrengo wa kushoto kisiasa,kiutamaduni,kiuchumi n.k
Mwaka huu tunashuhudia mpamnano mkali kati ya pande...
Nauliza tu baada ya kumsikia RC Makonda akisema Mungu hana Demokrasia. Mwanzo 1:26 - Tufanye mtu kwa mfano wetu.
Je, ni kweli?
Nawatakia Dominica njema 🌹
=====
RC Makonda atahadharisha...
Habari hii ni kwa mujibu wa John Mrema kupitia mtandao wa X.
Baada ya siku 14 za kuzungushwa kwenye vituo mbalimbali vya polisi akiwa amefungwa kitambaa usoni ,hatimaye Leo Khamis Omary Khamis...
USTAWI WA JAMII KUWA IDARA KAMILI INAYOJITEGEMEA
Serikali imesema ipo katika hatua za mwisho kuanzisha Idara ya Ustawi wa Jamii inayojitegemea chini ya Wizara yenye dhamana ya masuala ya Ustawi...
Ni wazi Chadema kama chama cha upinzani kina wajibu wa kuikosoa Serikali iliyopo madarakani ili wananchi waone kuwa hii sio serikali sahihi ili kwenye uchaguzi wananchi wakikatae chama tawala na...
Matokeo yanayotarajiwa ya maandamano ya CHADEMA yanategemea muktadha wa kisiasa nchini Tanzania na jinsi serikali itakavyoshughulikia hali hiyo. Hapa kuna baadhi ya matokeo yanayoweza kutokea kwa...
Sijajua ni nani alimshauri Shujaa Magufuli kuvunja Club Pendwa ya Billicanas awali ikiitwa Mbowe Hotels
Kile kilikuwa Chuo Cha Wabara kujichotea maarifa ya mjini
Nasema haya Kwa sababu kuna...
Wanasema kutoa ni moyo na kama wanadamu tunatakiwa kusaidiana wakati wa majanga.
Kesho chadema wanaingia kufanya maandamano bila ya kuwa na kibali licha ya katazo ya jeshi la polisi hapa kuna kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.