Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nakumbuka katika kikao Cha mkutano Mkuu wa CCM, iliofanyika jijini Dodoma mwaka 2012, Jakaya Kikwete, akiwa ni Mwenyekiti wa CCM wa Taifa na wakati huo huo akiwa ni Rais wa Tanzania wa awamu ya 4...
3 Reactions
15 Replies
709 Views
Afrika tunaionea Marekani hakuna kiongozi wa Africa kalaani kitendo cha Mgombea Trump kushambuliwa Risasi na kuitaka Marekani iheshimu democracy Huwa mstari wa mbele kulaani hivyo vitu...
1 Reactions
0 Replies
101 Views
Ndugu zangu habarini za hapa jamvini....! Musoma yetu niliwamisi sana hapa jamvini. Ni takribani miaka 4 sikuwa active humu, mara ya mwisho ilikuwa 2021! Ni mengi tumepitia hii nchi toka...
4 Reactions
9 Replies
277 Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kazi kubwa anayoifanya Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan ndiyo namna sahihi ya...
3 Reactions
12 Replies
672 Views
vinginevyo kwa mazingira na hali ya siasa ilivyo hivi sasa, bado vyama hivyo havitakua na msaada wala mchango wowote katika kusaidia kuchochea au kuhamasisha mabadiliko au mageuzi yoyote katika...
1 Reactions
25 Replies
488 Views
Pongezi zangu kwenye kichwa cha Uzi huu ndio Salamu zangu za Sabato ya Leo kwa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia Kwa mara ya kwanza CCM tunaingia kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa tukiwa Wamoja...
0 Reactions
2 Replies
130 Views
Walitaka kuiga Arab Spring ambako nchi nyingi za kiarabu zilipinduliwa kwa mpigo inaanza hii inakuja hii nk Maandamano ya presidents must go yalipangwa yafanyike kwa mpigo Kenya, Uganda na...
0 Reactions
0 Replies
287 Views
Mataifa ya Ulaya na Marekani hayawezi kuja na msimamo wenye kauli ya kuitaka Israel kuacha mashambulizi wala mataifa ya Waarabu hayawezi kukiambia kikundi cha Hamas kuja na kauli ya kutaka wafanye...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Imeniuma sana na kunisikitisha kumuona Mh Amos Gabriel Makalla, Mbunge wa Mvomero na Naibu Waziri wa Maji kuona anaishi katika nyumba isiyokuwa na milango, madirisha wala plasta haijapigwa...
1 Reactions
149 Replies
28K Views
Kuna wimbi kubwa sana la matapeli likitumia majina ya watu maarufu km Mohamed Dewji(MO), Tulia Ackson, Jokate Mwegelo n.k. Hawa watu ni matapeli na wana mtandao mkubwa, unakuta kwenye comments...
0 Reactions
4 Replies
292 Views
Hadi sasa inaelekea Kuna mvutano mkubwa Kati ya serikali na CHADEMA, kuhusu maandamano ya amani, yaliyopangwa na CHADEMA tarehe 23 mwezi huu, kama serikali itakuwa haijatoa taarifa yoyote kuhusu...
8 Reactions
44 Replies
1K Views
Yaweza kuwa ni maandalizi makubwa, mikakati au ushawishi alionao Bony Yai ila ukweli ni kwamba amewashtua sana wabunge wa Kanda ya Pwani waliopo Bungeni. Idadi ya watu alioandamana nao...
12 Reactions
54 Replies
2K Views
Nimeisikia taarifa iliyotolewa na msemaji wa Jeshi la Polisi, afande ACP Misime, ambayo alidai kuwa maandamano ya CHADEMAni ni haramu, Kwa hivyo wameyapiga marufuku. Lakini katika taarifa hiyo ya...
8 Reactions
20 Replies
934 Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imepanga kutoa uamuzi Jumatatu ya Septemba 23, 2024 wa dhamana ya aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai. Uamuzi huo...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Yes it is here...the neo-nazis of the 21st Century are here! Who would have thought my beloved country, Tanzania, the land of Kilimanjaro and Serengeti, would be the recipient of the Gold medal...
9 Reactions
97 Replies
10K Views
Wanabodi, Haki ya kuandamana, kukusanyika, kuhudhuria mikutano, kushiriki kwenye shughuli za kisiasa, kiuchumi na kijamii, ni miongoni mwa haki za msingi za binaadamu zilizot olewa na katiba...
15 Reactions
113 Replies
12K Views
Dr Balali, Najua umeomba kuwa watu wasikuhesabu kuwa na hatia mpaka ihakikishwe kuwa umefanya makosa. Najua pia kuwa unasisitiza kuelezea mpango wa mafisadi katika serikali wa kutaka kukutoa...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
20 September 2024 Chama cha siasa cha CHADEMA kilicho na ushawishi mkubwa leo kwa ajili ya hamu ya watanzania kufahamu mengi wamekusanyika kuongezewa maarifa ...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Mtawala wa forum hii na wote kwa ujumla napenda kuwapa mada hii iwe kama ni ushahidi mojawapo wa sakata la BoT. Hili suala la watoto wa vigogo kuajiriwa Bot si la uongo kwani 1. Rogers Sumaye...
1 Reactions
730 Replies
118K Views
Wakati nikiendelea kufanya utafiti wa gharama za magari hayo na uwezo wake, nimeanza kuona dalili ya hasara kubwa ambalo Taifa inalipata, kwa ajili ya maslahi ya kisiasa. Haya magari yanaweza...
1 Reactions
72 Replies
8K Views
Back
Top Bottom