Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), Eliezer Feleshi, amesema haoni mantiki yoyote au uhalali wa Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC), kumshitaki Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Alisema hayo janai wakati...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Gazeti la Mwananchi limeweka wazi kwamba upanga wa dhahabu aliokabidhiwa Mwema kama ishara ya kuwa mwenyekiti wa jeshi kwa kipindi cha mwaka ameshindwa kuukabidhi kwa mwenyekiti mpya na...
12 Reactions
342 Replies
42K Views
Kamishna wa Ustawi wa Jamii Tanzania Dkt. Nandera E. Mhando atoa neno kwa Maafisa Ustawi, Moshi Kilimanjaro.
0 Reactions
1 Replies
196 Views
Ni vema Chadema mkapunguza Maneno Maneno na sifa za Kijinga Mnaposema Waandamanaji wenu wamejaa kwenye Hotel zote za DSM mnataka kuwaletea usumbufu wa Bure Wageni wa hizo hotel Ni vema...
4 Reactions
8 Replies
401 Views
Wanabodi Waswahili wana vijineno neno vyao, ukivisikia unaweza kuviona ni kama vineno vya Utani!. Moja ya vineno hivyo ni "Penye Uzia Penyeza Rupia!" na "hakuna mkate mgumu mbele ya chai"...
13 Reactions
56 Replies
3K Views
Sasa karibu kila kijiji kina zahanani na kwenye kata kuna kituo cha afya. Nadhani lengo la CCM ni kupata kura ili waendelee kutawala na si kutatua changamoto za wananchi ndani ya jamii. Sasa...
5 Reactions
36 Replies
707 Views
Baada ya kupata taarifa kupitia msamaria mwema kwamba Rais @SuluhuSamia anawinda roho yangu kupitia vikosi kazi vya utekaji, nilifanya kikao na wakili wangu. Wakili ameshauri niandike barua na...
26 Reactions
133 Replies
5K Views
Kwa kifupi Nchi za Magharibi zinatusaidia kuanzia miradi ya Afya ikiwemo kupambana na magonjwa kama Ukimwi, Kifua kikuu, utapia mlo na mingine mingi. Zinatusaidia Kuokoa uhai wa Mama wajawazito na...
22 Reactions
211 Replies
4K Views
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Saidi Yakubu amefanya mazungumzo na Waziri wa Elimu ya Juu wa Comoro Mhe. Bacar Mvoulana juu ya kuongeza ushirikiano katika Sekta ya Elimu. Balozi Yakubu...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
European ambassador in Tanzania shown the door ISSUE 1484 DATED 02/11/2018 The head of the European Union (EU) delegation in Dar es Salaam, Roeland van de Geer, has been asked by the government...
40 Reactions
638 Replies
101K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura mara baada ya mazungumzo yao...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Mambo mengine bana, yanahitaji ungwana, hekima na busara tu kufikia muafaka na maisha mengine yanaendelea.. Angeitikia wito wa polisi kiungwana tu bila ubishi, na angetoa maelezo mahususi kama...
6 Reactions
86 Replies
3K Views
Katika jaribio la "wasiojulikana" kutaka kumchukua raia huko Kariakoo, wananchi wamegomea watu hao kufanya hayo. Raia wamesikika kuwa "sasa hivi watu wanatekwa, wanauawa" Kauli hizi za wananchi...
6 Reactions
43 Replies
1K Views
Tangu kuanza kwa hii mifumo ya uongozi ya Urais, hivi pameshawahi kutokea Rais Dikteta mwanamke?
9 Reactions
37 Replies
2K Views
GEN-Z WANANYOOSHA KENYA, WASIOJULIKANA WANA-RUN TANZANIA DESEMBA 9, 1961, Tanganyika ilipopata uhuru, Watanganyika wote walisherehekea kuwa huru. Baba wa Ali Kibao, babu wa Deusdedith Soka na...
0 Reactions
1 Replies
226 Views
Hakika siku ya leo tarehe 29/03/2018,Mimi Joseph Yona mtanzania maskini na familia yangu ya PAVEA niliyetekwa na chadema tarehe 06/01/2014 katika ardhi yangu ya Tanzania na kuharibiwa direction...
28 Reactions
232 Replies
22K Views
Rais alihutubia Taifa Jana.. Ilikua ni hotuba ya kuponya na kutibu maumivu ya fikra na kuleta ahueni na matumaini mapya mioyoni mwa waTanzania. Ni hotuba nzito na ya kimamlaka, ya kiongozi mkuu...
2 Reactions
29 Replies
878 Views
Pamoja na vibaraka wa Wazungu kina Chadema kujaza seva mitandaoni walijaribu kuonesha eti hotuba ya Rais Samia haikuwa nzuri kisa amewachana wao na waliowatuma ukweli ni kwamba Imetikisa Africa na...
8 Reactions
193 Replies
4K Views
Msikilize hapa: https://www.youtube.com/watch?v=HdbNNTiNp_Q&pp=ygUNZ29kYmxlc3MgbGVtYQ%3D%3D
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuna msemo wa Waswahili wanakwambia bora Ukosee njia lakini usikosee Kuoa ila binafsi naona hakuna kosa kubwa katika hii dunia kama kukosea katika kuchagua kiongozi bora ambaye atakuja kutatua...
0 Reactions
5 Replies
221 Views
Back
Top Bottom