Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Boniface Jacob tayari amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Ni jioni ya leo Alhamisi, Septemba 19, 2024 na anasubiri hakimu aingie mahakamani kwa ajili ya...
13 Reactions
102 Replies
7K Views
Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki. Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa...
16 Reactions
71 Replies
3K Views
Mimi ni Mwana CCM lakini wakati mwingine naona hadi aibu nikiwa na Watu wenye akili around! Kwanza Hongera sana Comrade Balozi Dr.Emmanuel Nchimbi kwa press uliyofanya hivi karibuni! Nimekubali...
14 Reactions
26 Replies
3K Views
Kupitia Mtandao wa X, Askofu Mwamakula amesema Kuna taarifa kuwa aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob amenyakuliwa na defenda akiwa kikaoni Sinza, Dar es Salaam na haijulikani kapelekwa wapi...
19 Reactions
167 Replies
9K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Mbowe amesema ili Demokrasia ionekane kuwa na maana inapaswa kutambua Haki na hilo linawezekana kukiwa na Utashi wa Kisiasa ambao hasa unatakiwa kutoka kwa...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Naona kuna vita vikali sana ndani ya Chama Cha Mapunduzi (CCM). Hii inanikumbusha kipindi cha Hayati Dr. Magufuli. Kuna muda alipingwa sana na watu ambao kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida atajua...
11 Reactions
89 Replies
3K Views
Barabara kutoka pale bypass ya East Africa ni ya zamani sana, ni nyembamba, imejaa mashimo, viraka, ukiipata ni sawa tu na njia ya kwenda Kiteto. Barabara hiyo inatumiwa na watalii hasa wazungu...
13 Reactions
19 Replies
661 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alitakiwa kuhudhuria kikao cha UN (UNGA) Lakini amemtuma Waziri Mkuu wa JMT MH. Kassim Majaliwa kumuwakilisha. My take: Tayari Raisi...
30 Reactions
156 Replies
6K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mheshimiwa William Lukuvi Amekoshwa na uchapa kazi wa Rais Samia katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM pamoja na kasi ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya...
2 Reactions
26 Replies
680 Views
Chama Cha ACT wazalendo kimewataka Watekaji wanaomshikilia kiongozi wa Chadema mh Deusdetit Soka wamuachie Mara Moja Katibu mkuu wa ACT wazalendo mh Ado Shaibu amesema wanaodhani watamtendea...
3 Reactions
8 Replies
457 Views
Tundu lissu au Mbowe wakitoa speech au wakitoa andiko hata kama wameisema Serikali au Rais au idara ya Usalama huwa kunakuwa na sehemu ya kutokea kisheria, hii iko vizuri . Tatizo ni baadhi ya...
4 Reactions
14 Replies
560 Views
Ninao ushahidi usioacha shaka kutetea kauli ya Mch Peter Msigwa kwamba Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anatumia chama hicho kama saccos binafsi tena ya familia. Na kwamba anatumia Mbowe...
3 Reactions
20 Replies
954 Views
1 Kwamba anaiba pesa za chama kwa kutumia Mbowe Foundation 2. Amegeuza chama kuwa SACCOS yake 3. Chadema digital inamilikiwa na Mbowe kwa manufaa yake My take: hilo nililitegemea and that is...
34 Reactions
296 Replies
11K Views
Baada ya Rais Magufuli kusema majina ya watumishi walioghushi vyeti yaanikwe; sasa yamewekwa hadharani. Orodha ya Majina ya wenye vyeti feki hii hapa: Pia soma Watumishi 450 washinda rufaa ya...
20 Reactions
667 Replies
139K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakishuhudia uwekaji saini wa...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
JUNE 20, 2013 Mbunge wa kasulu mjini kupitia tiketi ya Chama cha NCCR Mh. Moses Machalli Habari zilizoifikia Maisha Times muda huu kutoka Dodoma zinaripoti kwamba Mbunge wa Kasulu mjini...
0 Reactions
145 Replies
15K Views
Ndg wanajamii, nina habari za uhakika mkuu wa wilaya wa Dodoma ametekwa na msafara wake na wanafunzi wa chuo cha elimu, wakimtaka waziri mkuu Pinda aje na kuondoka na makamu mkuu wa chuo fedha na...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Jacob Nchimbi (Aliyewahi kuwa dereva wa NKM Bara) amepigwa sana leo kwa shutma za kuonekana kama ni mpelelezi anaewapeleleza Prf. Lipumba na timu yake. Jacob alikwenda Ofisi Kuu leo akavamiwa na...
0 Reactions
95 Replies
11K Views
Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza...
32 Reactions
251 Replies
64K Views
Duuh, jamaa ana uchungu,katema cheche hatari. Ana hasira na yuko tayari kwa lolote.... Katibu mwenezi BAVICHA Taifa Twaha Mwaipaya amesema hakuna Jeshi la Polisi litaloweza kutuzuia vijana...
1 Reactions
2 Replies
354 Views
Back
Top Bottom