Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Salaam wanaJF. Kauli ya Kada wa Chadema, Mdude Nyangali kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatafuta roho yake ni kauli nzito mno isiyotakiwa kupuuzwa hata kidogo na vyombo vya ulinzi na usalama...
1 Reactions
17 Replies
949 Views
Baadhi ya Watanzania wamejitokeza nje ya Ubalozi wa Tanzania Nchini #Marekani na kufanya maandamano wakiwasilisha madai mbalimbali. Baadhi ya madai yao waliyoandika kwenye mabango yao ni...
14 Reactions
159 Replies
11K Views
Sikiliza Radio Maria muda huu Padre Titus Amigu anaponda viongozi wetu kwa kutowajibika ipasavyo katika kuwalinda wananchi. Anasema viongozi wetu wanawafahamu watekaji na wauaji hao.
36 Reactions
164 Replies
6K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Rais Samia alitaka kupendwa. Rais Samia alitaka kukubalika. Rais Samia alitaka kuoenakana yeye siyo kama yule. Baada ya kuapishwa kufuatia maombolezo ya kifo cha Bw. Yule...
66 Reactions
143 Replies
7K Views
Jamani hii nimeipata kwenye chanzo kimoja cha uhakika mno; kwamba wale samaki wa magufuli walikuwa wanakwama kuuzika kutokana na hujuma za Raisi wa Tanzania JM Kikwete dhidi ya Dk Magufuli...
5 Reactions
218 Replies
33K Views
My Take Wapinzani wa Tanzania ni uchwara na hawajitambui . 👇👇 "Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imetekeleza miradi mingi ya maendeleo hasa kwenye Jimbo letu la Ubungo...
2 Reactions
18 Replies
549 Views
Askofu Dr Malasusa: Mh Naibu Waziri mkuu Dr Biteko mh Rais amefanya jambo sahihi kukuagiza umuwakilishe wewe ni mtu mnyenyekevu sana, nikuombe ninyi kama Serikali mkae na Wanasiasa Ili haya mambo...
2 Reactions
10 Replies
763 Views
Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi...
13 Reactions
135 Replies
4K Views
Jaji Warioba amesema Siku Hizi Vijana Wanasifu kuliko kuhoji Warioba amesema alipokuwa Kiongozi alikuwa akialikwa Chuo kikuu Cha DSM ilibidi kujipanga hasa maana kulikuwa na Wakufunzi Vijana...
5 Reactions
22 Replies
561 Views
Vyama 13 vya siasa nchini vimejitokeza mbele ya wanahabari leo, Jumanne Septemba 13.2024 kwa ajili ya kupinga maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA yanayotarajiwa kufanyika Septemba 23 mwaka...
0 Reactions
29 Replies
1K Views
Kuna watu waliingia madarakani na 4R, kama mlikuwa hamjui, dhumuni kubwa la 4R lilikuwa ni kukosoa na kuonesha utawala wa JPM’ulikuwa mbovu; katika maisha , huwezi kuonekana upo bora kwa kuonesha...
5 Reactions
12 Replies
484 Views
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani ambaye kimsingi ni moja ya viongozi wanaoheshimika sana duniani anaitangazia dunia kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda anadhulumu haki ya mtu...
12 Reactions
35 Replies
6K Views
Je wew ni mwananchi usiye penda Tanzania iliyotulia? Je, una washwa washwa na amani? Huenda ukawa ni makulukutabu. Sasa habari njema ni kwamba, rais SSH ambaye ni amiri jeshi mkuu amejiandaa...
3 Reactions
21 Replies
622 Views
Naomba kuuliza kama hukumu ya binti wa Yombo ilishatolewa au bado, maana ni kimya sana hadi sasa.
1 Reactions
22 Replies
731 Views
Wala sihitaji kuandika thread ndefu juu ya hili, kwa sababu linapaswa kuwa wazi sana kwa mtu yeyote mwenye akili. Kuna tofauti kubwa sana kati ya serikali ya Raisi Magufuli na serikali ya Raisi...
24 Reactions
45 Replies
2K Views
Tuko kwenye vikao vya Kamati Kuu vya Chama Dar es salaan. Nimesikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais mara tano. Nashukuru Mungu nilirudi nyumbani nikawakuta wazazi wangu wakiwa hai na walifurahi sana...
12 Reactions
91 Replies
5K Views
Watu wengi sana waliompinga hayati magufuli walianza mkubali baada ya kuanza kuona mafanikio, hizi zinaweza kuwa ni sababu za kutokubali kwake 1. Alikuwa akili kubwa/ IQ kubwa kuliko Asilimia...
6 Reactions
25 Replies
741 Views
Nimemsikia akijaribu kuelezea kuhusu Rais ajaye,katika mazungumzo anataka kutuonyesha kwamba yeye ndiye anayetakiwa kutupatia Rais wetu mpya tunayetegemea kumpata mwisho wa mwaka huu,Kikwete...
4 Reactions
31 Replies
4K Views
Wakati wa mgogoro mkubwa wa CHADEMA hasa kati ya Zitto na Mbowe niliwahi kuandika humu kuhusu Mbowe kuwa ni 'mtoto wa mjini' sishangai Zitto kushindwa.... Freema Mbowe ni Mtoto wa mjini, true...
258 Reactions
608 Replies
80K Views
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua rasmi ujenzi wa bomba la gesi asilia toka Mtwara hadi Dar es salaam leo Novemba 8, 2012 maeneno ya Kinyerezi njijini Dar es salaam. Nyuma yake ni Makamu wa...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom