Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Polisi wamemaliza kufanya upekuzi nyumbani kwa Meya wa zamani wa Ubungo ambaye pia ni Kada wa CHADEMA, Boniface Jacob ambaye amekamatwa na Polisi jioni leo akiwa maeneo ya Sinza na kupelekwa...
0 Reactions
0 Replies
393 Views
Hata iweje wapinzani wanabaki kuwa wapinzani tu.hawana zuri bali ni watumia fursa tu.Ni mafisi wanaosubiri mfupa. Hawana sera na hawataki kujielekeza kwenye hoja ya kuikwamua nchi kutoka kwenye...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
Punguza matembezi na all time muwe na wau wasiopungua 10 at any time. Simu zenu ziwe katika mode ya picha kuchukua picha za watekaji. Be in a strategic position to avoid being seen easily while...
3 Reactions
14 Replies
749 Views
Niweke ukweli ili hata wenye tuakili tudogo wajue sio tu Tanzania hapa Africa nzima hakuna nchi yenye uchumi stable wa kuweza kupambana na kutingishana na magharibi. Bila hata vita za silaha...
0 Reactions
10 Replies
535 Views
Kwa Sasa ni kama CHADEMA wapo pekee yao. 1. Wanapambana na polisi 2. Wanapambana na TISS 3. Wanapambana na Rais 4. Wanapambana na Vyama 13 vya upinzani. 5. Wanapambana na Viongozi Fulani wa dini...
11 Reactions
16 Replies
524 Views
Za Asubuhi. Siku Moja Mzee wangu aliniambia huyu Samia yeye kwenye akili yake anawaza Urais wake tu. Yani yupo tayari afanye lolote kulinda Urais wake sio Nchi. Nikawaza kweli. Issue ya Spika...
32 Reactions
41 Replies
2K Views
Wasalaam, Inafahamika wazi nchi hii hakuna vyama vya upinzani zaidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA). Vyama vingine vyote vinavyojiita vya upinzani ni matawi ya CCM na...
6 Reactions
26 Replies
659 Views
Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao wangekuwa msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni...
60 Reactions
212 Replies
8K Views
Msimamo wa Chadema kushusha moto wa Samia Must Go (SMG) uko pale pale kwa mujibu wa maelezo yao mitandaoni. Kwamba serikali iondoshwe kirahisi hivyo kama ilivyokuwa Arab Spring. Well, ni haki yao...
11 Reactions
49 Replies
2K Views
"RAIS SAMIA HANA DENI HUDUMA YA MAJI UBUNGO" - LUKUVI Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi ametembelea Mradi wa Maji Mshikamano uliopo Kata ya Mbezi...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Nimetafakari kauli ya rais, nimebaki na maswali mengi. Majukumu ya jeshi la polisi ni yapi? Wao si ndio wana msemaji wao? Au hapa alimaanishanisha nini? Kwamba wananchi wafanye nini hayo yote...
0 Reactions
0 Replies
141 Views
RAIS SAMIA“Niliwahi kusema na hapa nataka nirudie tena kwa msisitizo, Ukimya wangu sio ujinga, na wala kuzungumza sana kwa wale wanaozungumza sana sio uelevu hata kidogo, kuzungumza sana ni udebe...
11 Reactions
110 Replies
3K Views
Watu wanasema kama rais Samia anaweza kuonesha ukali kwa viongozi wa vyama vya upinzani na watu wenye mawazo kinzani na yeye kumbe anaweza kuwa mkali kwa wazembe na mafisadi waliopo nchini ambao...
2 Reactions
6 Replies
233 Views
ILEJE: Hoja 38 za tangu 2009 bado hazijajibiwa RC Mgumba ageuka mbogo kwa Baraza la Madiwani. SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Omary Mgumba amegeuka mbogo kwenye Baraza la Madiwani la Halmashauri...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nasisitiza tena Watoto wa Tanzania someni Sayansi na Teknolojia Haya mambo ya Siasa na Uchawa mtakuja kuyajutia baadae Tusisubiri Wahindi wapate Tuzo Harvard university ndio tushangilie sisi...
4 Reactions
33 Replies
751 Views
Kama ilivyotokea kwenye maandamano ya UKUTA vijana wa Mbowe wakafyata mkia. Pia maandamano ya samia must go hayatafanyika sababu wananchi hawaiungi mkono CHADEMA. Pia wananchi wanaona hayawahusu...
0 Reactions
8 Replies
544 Views
Habari wanaJukwaa Wakati huu kumekuwepo na uzalishaji mkubwa wa uzushi unaoelekezwa zaidi kwenye chama tishio cha upinzani Tanzania , yaani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Na uzushi...
3 Reactions
3 Replies
464 Views
Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki...
1 Reactions
237 Replies
4K Views
Hata kama wana sababu 1,000 za kuandamana wasitishe tu. Huu siyo wakati mwafaka wa kuandamana. Maandamano yapo kwenye JF na Twitter tu, ila mitaani watu wana mishe zao. Narudisha ushauri wangu wa...
1 Reactions
6 Replies
312 Views
Maandamano ya Jumatano, Januari 2024, yataanza Saa 3:00 asubuhi. Yatahusisha njia mbili kuanzia Mbezi Mwisho (Stand) na Buguruni, na yataishia Ofisi za UN, barabara ya Sam Nujoma, Dar es Salaam...
13 Reactions
132 Replies
24K Views
Back
Top Bottom