Mwanachama wa CHADEMA James Mbowe, amelaumu serikali kwa kuunda mazingira yanayowafanya wananchi kudharau mchakato wa uchaguzi. Akizungumza na Jambo Tv, Mbowe ameeleza kwamba wananchi wengi...
Kifo ni kifo na kila mtu atakufa na ukifa hufi tena ila kwa yule ambae bado. Hata hivyo tofauti ipo kwenye umekufaje, umefia wapi na ulizikwaje.
Kazi yetu wote ni kupambana ili watu wafe kwa...
Kuweka Msimamo Dhidi ya Utekaji Ndani ya Vyama vya Siasa
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na malalamiko mazito kuhusu vitendo vya utekaji vinavyohusishwa na baadhi ya viongozi ndani ya chama...
Ndugu zangu Watanzania,
Baada ya hapo jana Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kutema cheche na kutoa hotuba nzito ya karne na kihistoria na...
Hivi karibuni kumekuwa na hamasa kubwa miongoni mwa vijana wa Gen Z katika kuibua changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo maisha magumu,uhaba wa ajira,ukiukwaji wa haki za kibinadamu,utekaji...
Kiukweli katika siku mojawapo ambayo nilijisikia mnyonge ni jana aiseee nilijihisi nimepigwa shot ya umeme baada ya kukaa chini na kusikiliza hotuba ya Rais Samia kiukweli Rais samia anapotoshwa...
CHADEMA mnatakiwa kueleweka kwa wapiga kura wako Tanzania sio balozi au jumuiya ya kimataifa au vyombo vya habari vya kimataifa mnatakiwa kueleweka zaidi kwa wapiga kura walioko Tanzania sio...
Waandamanaji wa CHADEMA katika Mikoa Yote huwaga ni wale wale
Yaani maandamano hata yawe Tarime akina Boniyai wanakodi Fuso kwenda Mara kuandamana
Kuhofia maandamano ya CHADEMA ni kuwapa Sifa na...
Viongozi wa dini ndio walezi wa kiroho na maadili wa Watanzania.
Siku za hivi karibuni waneanza kunyooshea vidole polisi kuwa hawawezi kazi kupambans na watekaji na kujifanya kusikitishwa...
Kuita mauaji ni Jambo la kawaida ni kauli inayopaswa kutoka Kwa Mtu asiyejali, sadist anayefuraia kifo cha mwenzake.
Nikushauri mamangu, wengine tulikuamini Sana na mpaka Leo huwa najiuliza Samia...
Wananchi wanahaha kufikiria maendeleo mpaka wanaona waunde vya vya upinzani. Baadhi yao vyama vikishaundwa wanavitumia vibaya na kuviua kwa mikono yao.
Chama cha Demokrasia na maendeleo ni moja...
Unanisukuma nakuangalia ila ujue nikifika ukutani sitokuwa na sehemu ya kwenda.
Umeshanifikisha ukutani kwa "ugobo wako" narudia tena kukurai niache bwana kwani mimi ni mtu mwema lakini bado...
Baba wa ubatizo wa watoto wa Mzee Aikael Mbowe au Nyerere kumtuma Mzee Aikael Mbowe kwenda kutoa posa ya ndoa ya mtoto wake Makongoro Nyerere Mkuu wa Mkoa Rukwa wa Sasa) kwa niaba yake...
Friends and Enemies,
Rais Samia,Usiwaruhusu wakufanye uwe mjinga kama jamaa yule kwenye suala hili la demokrasia,
Au pia usiwaruhusu wao wakufundishe namna gani ya kuifanya hii demokrasia ili...
Jua maisha ni mlima eeh,maisha ni mlima,
Kuna kupanda na kushuka eeh,
Kupanda na kushuka, kuteleza siyo kuanguka eeh,
Hiyo hapo juu ni chorus ya wimbo kutoka kwa kinywa cha spika wenu wa bunge...
JK alitumia akili kubwa kumteua Shujaa Magufuli Kuwa Mgombea Urais wa CCM 2015 Kwa sababu nguvu ya Chadema Kwa kushirikiana na UKAWA ilikuwa kubwa sana
Lowassa na Membe wasingeweza kuzuia anguko...
Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale...
Kwamba kumbe nini kilitumainiwa?
Kwamba Chadema kama ilivyo kwa wananchi wengine wamekuwa wanachukizwa mno na tekaji tekaji hizi?
Kwamba Chadema kama ilivyo Kwa wananchi wengine wanaona ni...
Tumeshuhudia Hamisho mbalimbali za Wanasiasa ikiwemo ule wa Kaborou kutoka Chadema kwenda CCM miaka ile
Lakini Uhamisho wa mchungaji Msigwa una makeke mengi mno
Bado Naamini mchungaji ni Chadema...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Samia Suluhu Hasssan,ameongea kwa uchungu sana,kwa maumivu makali sana na kwa hisia kali sana zilizogusa mioyo ya watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.