Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakati huu wa dhahama za kutekwa, kuteswa na hata kuuawa na kundi la wahalifu la watu ambao mpaka sasa hawajajulikana ni kipindi Muhimu sana cha kuonje Upendo, huruma na kujali kutoka kwa viongozi...
7 Reactions
43 Replies
1K Views
Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dotto Biteko ndani ya Jimbo la Muhambwe la Mbunge Dkt. Florence George Samizi. Atazungumza na wananchi wa Kibondo Mjini na kukagua miradi
0 Reactions
0 Replies
188 Views
Mwandishi wa Jambo TV amejikuta kwenye wakati mgumu alipokuwa akimuhoji Katibu Mkuu wa Chama cha DP Abdul Mluya, muda mfupi baada ya Mluya ambaye pia ni Mwenyekiti wa umoja wa vyama 13 vilivyotoa...
0 Reactions
1 Replies
558 Views
Nina swali kwa wadau wa JF. Ukisoma Ibara ya 125 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuna mahakama Maalum ya Kikatiba ilianzishwa, ila mahakama hiyo haijawahi kufanya kazi au kusikiliza...
2 Reactions
16 Replies
502 Views
Vita ya uchaguzi ni kubwa sana ndani na nje ya CCM . Upo uwezekano wenye nguvu na wanaotaka madaraka wanatumia mbinu nyingi kupata uungwaji mkono. Hasira ya Mhe. Rais siyo ndogo na si yakipuuzwa...
1 Reactions
3 Replies
763 Views
Rais ameonyesha imani kubwa kwa vyombo vya dola. Ameonyesha wanafanya kazi nzuri na kuwapa motisha wakujielimisha zaidi. Je, wananchi wanaimani na vyombo vya dola kama ilivyo kwake Rais? Soma...
1 Reactions
4 Replies
330 Views
Wanaoteka wana shida na pesa kwa sababu hata wao wanamahitaji. Ninachokiona sasa ni kuwepo uwezekano wa wahuni wachache kuanza kukamata wafanyabiashara na RAIA wa kigeni kisha kuwalazimisha wawape...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Hapo vip! Kipindi hichi imekuwa ni kipindi hatari sana kuliko nyakati zote. Kipindi hichi jambazi anakamatwa asubuhi, jioni yupo kitaa. Hapa Ngulelo Arusha, majambazi wamekuwa ni kero, wanavunja...
8 Reactions
67 Replies
6K Views
Kwa namna ambavyo umekuwa ukiendesha siada zako, kwa namna fulani tuliona kunautamaduni fulani unaelekea kujengwa ndani ya nchi na hasa ukiangalia aliyekuwa at the frontline kuujenga ni Katibu...
2 Reactions
12 Replies
665 Views
Anahitaji ushauri wa kisaikolojia. Mpaka leo bado analia akikumbuka alivyoondolewa ofisini. Akiulizwa tu hilo jambo analia sana. Ananung'unika, anasononeka, anahuzunika, anaghadhibika...
39 Reactions
182 Replies
8K Views
Chadema ya leo inakosa weledi na hii ni kwa sababu ya kumtosa Slaa...Huyu ni rafiki ,baba na kiongozi wangu. Huwezi kuomba uchunguzi huru ilihali una hitimisho la uhalifu yaani mawazo yako sio huru.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wizara ya mambo ya ndani imepiga marufuku upigaji ramli ili kukabiliana na mauaji ya albino nchini. Source:TBC Taifa cc: MziziMkavu
1 Reactions
70 Replies
9K Views
Hayo ni maneno ya Serikali!!
1 Reactions
145 Replies
13K Views
Siasa za upinzani nchini ni zao la ubepari ambao ulikataliwa na watanzania. Tunaamini kuwa ruhusa ya kuwepo kwa vyama vya upinzani ilikuja baada ya Nyerere kukubali kwa shingo upande huku jamii...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Hii ni hatua muhimu ya kuonesha misuli ya Tanzania dhidi ya wote wasio itakia mema Tanzania. Huwezi ukasapoti Ugaidi waziwazi halafu ukaachwa tu. Naamini Biden amemuondoa Balozi huyu wa USA...
15 Reactions
144 Replies
14K Views
Hapa chini nawaletea kipande cha maelezo ya Zitto katika moja ya threads maarufu zilizowahi kutokea humu jamvini ambapo bavicha walikuwa wakishambuliana. #Ninasikitika sana kuona wanachama wa...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Akizindua maonesho ya biashara ya Miaka 60 ya Muungano, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman amesema wananchi wanatakiwa kuendelea kutambua umuhimu na tija za Muungano, ambapo...
0 Reactions
7 Replies
522 Views
Rais kanikatisha tamaa Sana. Kwenye hotuba yake ya leo hajatoa suluhisho la kudumu kuhusu utekaji. Yeye kajikita kwenye kuwatisha mabalozi na chama Cha CHADEMA kwamba anawafuatilia kila kikao...
4 Reactions
4 Replies
388 Views
Wakuu, Kumekuwa na member wengi ambao wanaona na kusema kwamba haya ya utekaji, torture na mauwaji, mh Rais hafahamu chochote na wakaenda mbali zaidi na kusema kuwa kuna hujuma dhidi yake...
7 Reactions
25 Replies
913 Views
Kielelezo cha kufeli kwa Mtanzania au kufeli wa Serikali ya Tanzania ni kwenye Wizara mbili 1. Wizara ya Ardhi 2. Wizara ya Tamisemi. Kila nikienda majiji makubwa kuanzia Dar es Salaam, Mbeya...
5 Reactions
65 Replies
1K Views
Back
Top Bottom