Katika kumlilia Askofu Dr Chediel Sendoro wa Dayosisi ya Mwanga aliyefariki Kwa ajali ya gari Askofu Dr Bagonza amesema amepoteza Rafiki na Mshauri
Nimepoteza Rafiki ambaye aliweza kunieleza...
Wakati joto la uchaguzi likiendelea kufukuta Tanzania, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amedokeza kuwa kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini kuna kila dalili kuwa uchaguzi ujao...
Huwa tunakosa focus , mabango mengi kila bango lina ujumbe wako ,sasa watawala wafanyie kazi kipi ?
Katiba mbovu ndio chanzo cha kila kitu hasa upande wa madaraka ya Rais na muundo wa tume ya...
Watu wakiwa kwenye madaraka, wanajisahau kabisa kuwa nao ni binadamu tu kama wengine na yote yanayowapata binadamu wengine (magonjwa, vifo, n.k), na wao yanaweza kuwapata wakati wowote wakiwa...
Nimeisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri jana.
Nikiri sijawahi kumwona na kumsikia Rais Samia akiongea kwa namna ile.
Hotuba yake ilibeba ujumbe mzito ulioelekezwa kwenye anuani tatu, hivyo...
Ndugu yetu Luhaga mpina nimeona akizungumzia Suala la Sukari!!
Asilolijua na msilolijua ni kuwa suala la Sukari lina mizizi kutoka jumba jeupe
Kijana wetu pendwa anayetrend sasahivi na Mzaziwe...
Akiongea na BBC Swahili hivi karibuni, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu hatimaye amezizungumzia tetesi na tuhuma zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba CHADEMA wana hulka ya...
Sijawahi na nasema kweli kabisa ni ngumu sana kukuta mwananchi wa kawaida anamsifia au kumpenda mama Samia.
Nimezunguka sana nilidhani labda ni Dsm tu mikoa yote ya Tanzania Bara Samia hakubaliki...
Nakubaliana na Amiri Jeshi Mkuu, kuhusu umuhimu wa kutafakari matukio kama ya risasi kwa Donald Trump, aliyekuwa Rais wa Marekani. Ikiwa tukio kama hilo lingetokea Afrika, jinsi ambavyo ubalozi na...
Tumeona uwezo mdogo wa ku-engage katika siasa za malumbano ya hoja kati ya wanasiasa wetu. Nafikiri rais Samia mara nyingi hujisahau kuwa yeye pia ni kiongozi wa chama cha siasa kama walivyo...
Rais Samia amini kwa dhati nilikupenda na niliamini kweli umekuja kutufuta machozi baada ya miaka 6 ya hofu na mateso mengi. Ulianza vizuri kufanya upatanisho baada ya mtangulizi wako kuichafua...
Hotuba ya jana tarehe 17 Septemba 2024 imenipa simanzi sana. Lakini nimeokota neno moja linalotumiwa kule Kizimkazi. Neno hilo ni MHULUKUTABU na lilitolewa ufafanuzi kuwa ni mtu ambaye akiona kuna...
Tuache kuamishana ujinga ukweli ni kwamba Tanzania haiwezi kuendelea kamwe.
Watu wajinga wajinga wenye tuakilli tudogo wanatwaa madaraka akishaanza kulindwa siku mbili tatu na polisi na wanajeshi...
Hizi kauli za wanasiasa aise zinakera zinachafua moyo na zinachukiza
Katibu Mkuu wa Democratic party anaulizwa anazungumziaje kupigwa Risasi kwa Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu...
Huenda tunajua au hatujui ila 2025 mgombea yoyote mwenye mienendo ya Kimagufuli uchaguzi hautakuwa upande wake.
Mgombea atakayekuwa katikati ya Magufuli na Kikwete kiuongozi huyo atakuwa na...
Hakuna aliye juu ya sheria, maana yake ni kuwa si "Kiongozi","Mtawala" na wala si "Mtawaliwa" au "Mwananchi" wa kawaida aliye juu ya sheria. Kwa maana kwamba hata pale kiongozi akisigina katiba...
Katibu Mkuu alizungumza vizuri kwa maslahi ya chama na umma. Aliamini vyombo vya ulinzi vina makosa, ama kwa kuhusika moja kwa moja kama wanavyoshutumiwa au kwa kutotekeleza wajibu. Mwenyekiti...
Wakuu habari,
Sio wote JF wenda wanaguswa na yanayoendelea ndani ya nchi hii (zingatia wapo machawa wa ccm)
Taifa sasa linajaa laana za watu kutwekwa, kuuawa (machozi ya damu).
Nani yupo nyuma...
Baba yangu alikuwa mwaliimu, alistafu mwaka 2014 baba yangu mdogo wa hiari alifuata akastaafu 2015.
Kimbembe ni kwamba tangu walipostaafu miaka ile mpaka tunapoongea muda huu hawajapata hata...
MITHALI 11:6. HAKI HUOKOA WENYE HAKI. FITNA ZA KISIASA ITAWANASWA WENYE HILA. HAKI NDIO USALAMA WA NCHI NA SIO VINGINEVYO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mithali 11:6
Haki yao wenye haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.