Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mchungaji Msigwa ameonekana bado anaitamani sana Chadema Huko Ukurasani X mchungaji Msigwa amebubujikwa machozi akisema " Ukivumilia unaonekana huna pa kwenda Na Ukienda unaonekana huna...
2 Reactions
10 Replies
510 Views
Inahitaji tamko moja tu kwa Raisi Samia kukomesha uteaji na uuaji wa raisa wa Tanzania. Anachotakiwa kufanya ni kutoa tamko hili kama Amiri Jeshi Mkuu; "Kwa kipindi hiki tukitafuta suluhisho la...
12 Reactions
36 Replies
1K Views
Katika muktadha wa hali ya usalama nchini, kuna wasiwasi mkubwa kuhusu vitendo vya ukandamizaji vinavyohusishwa na TISS (Idara ya Usalama wa Taifa). Baada ya mabadiliko ya Sheria, mamlaka ya TISS...
1 Reactions
11 Replies
675 Views
Hadi Sasa si CCM wala Vyama vya Upinzani vilivyounga mkono kusudio la Chadema la kufanya maandamano kupinga Utekaji Unadhani ni kwanini? Ahsanteni Sana 😂
2 Reactions
21 Replies
482 Views
Naomba wizara hizi turekebishane. Kuna mambo ya kifilauni yantendeka ndani ya wizara. Nasikia baadhi ya mabalozi wanateuliwa ili kulea na kusomesha watoto wa waliowateua huko nje ya nchi. hii...
0 Reactions
5 Replies
335 Views
Serikali ipo njiani Kuanza ujenzi wa Njombe International Airport katika eneo la Chauginge . Njia ya kurukia ndege inasemekana itakua na urefu wa KM 3.5 .
4 Reactions
30 Replies
21K Views
Tanzania ni nchi yenye potential kubwa ya deposit ya makaa ya mawe kwenye mikoa ua Mbeya, Ruvuma, njombe na Mtwara na maeneo ya kanda ya ziwa. Makaa ya mawe ni chanzo cha kuaminika cha uzalishaji...
9 Reactions
50 Replies
993 Views
Wilaya ya Mbulu ilianzishwa mwaka 1905 wakati huo mfumo wa utawala ukiwa wa majimbo na wilaya. Mbulu ilikuwa mojawapo ya wilaya 2 ktk iliyokuwa jimbo la kaskazini iliyokuwa na wilaya za Arusha na...
6 Reactions
18 Replies
817 Views
Kuna taarita ambayo sio nzuri. Kuna ajali imetokea Barabara kuu ya Mwanga kwenda Same. Taarifa zaidi kukufikia mapema ===== Askofu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...
5 Reactions
88 Replies
9K Views
Kwanza niwape hongera wale wachache waliojitokeza kuzuia gari la watekaji jijini Mwanza na kuwaheshimisha wasukuma wote na Kanda ya Ziwa kwa ujumla. Kila mmoja ana fikra tofauti juu ya...
6 Reactions
31 Replies
798 Views
Viongozi mlioko kwenye nafasi zenu yanapotokea mauaji ya namna hii kuna ujumbe mnatumiwa ambao kuuelewa inabidi ku na hekima sana na si kua na akili kama za kwenu. Kuna mauaji mengi zaidi haya...
0 Reactions
4 Replies
514 Views
Sifa za Kiongozi Bora: Zitakusaidia Katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu ___________________ 1. Kiongozi bora ni mjuzi, siyo mjuaji. Mjuzi ni muelewa. Mjuaji ni mbabaishaji...
0 Reactions
1 Replies
166 Views
1. Acacia Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda...
14 Reactions
58 Replies
3K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu...
10 Reactions
73 Replies
6K Views
NDUGU MOHAMMED ALI KAWAIDA (MCC) KUONGOZA KIKAO CHA BARAZA KUU LA UVCCM TAIFA,17 SEPTEMBA 2024 📍UVCCM TAIFA 17 Septemba,2024 Mwenyekiti wa UVCCM Taifa ndugu Mohammed Ali Kawaida (MCC)...
1 Reactions
1 Replies
287 Views
Kama ilivyo kawaida, inapofika miezi ya 9, 10 na 11 Shida ya maji huwa kubwa katika jiji la Dar es salaam. Cha ajabu jili jambo lipo kwa miaka nenda rudi, lakini Serikali hii dhaifu ya CCM...
0 Reactions
0 Replies
222 Views
Haya tena kile chuma cha pua kwenye ubora wake kitakuwepo ITV kumwaga shule. Wengine wanakiita Simba. Wengine hawachoki kukifanyia fitna. Ama kwa hakika wengine kwetu huyu: Ndiye yule...
19 Reactions
163 Replies
5K Views
Wanabodi, Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time. Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri...
18 Reactions
40 Replies
2K Views
Kutoka Geita. Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa. Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM...
24 Reactions
57 Replies
2K Views
Mimi ni kada wa chama cha mapinduzi kwa zaidi ya miaka 18 sasa lakini kwa yanayoendelea sasa nimejikuta kukichukia sana chama changu. Yanayonikera 1. Ukosefu wa ajira 2. Hali mbaya ya kiuchumi 3...
1 Reactions
2 Replies
170 Views
Back
Top Bottom