Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
UTEUZI Rais Samia Suluhu amemteua Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA). Uteuzi huo ni kuanzia Juni 30...
14 Reactions
106 Replies
13K Views
1. YANGA NA SIMBA - Ni burudani iliyogeuka kuwa sumu, inapewa umakini mkubwa sana kuzidi mambo ya kitaifa, ndio maana ligi ikisimama huwa ni ngumu kuzima skendo nzito, Watu wanajua kikosi kizima...
26 Reactions
108 Replies
2K Views
Endelea kupumzika kwa Amani Kamanda Mohamedi Mtoi , classmate wa vidudu (chekechea) and Secondary. Ile kama kweli ilikua Ajali ya kawaida basi Mungu anajua...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
The guy is good. MwananchiNews nimesoma kwenye habari yenu kuwa mmenipigia sikupokea. Fahamuni tu kuwa wakati mnapiga nilikuwa naendesha mafunzo ya Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Magharibi...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Kawaida, chama cha siasa kilichopo madarakani kwa kuchaguliwa ki-demokrasia, hakipaswi kuondolewa madarakani kwa nguvu. Uhalali wa kuiondoa serikali madarakani unapaswa uwe kupitia sanduku la kura...
9 Reactions
71 Replies
2K Views
Godlisten Malisa amemwaga tuhuma kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania na kejeli kwa baba askofu mkuu Alex Malasusa. Mimi ambaye siyo mlutheri bali Mkatoliki ninayeelewa matamko yaliyowahi...
5 Reactions
81 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Mbeya Shitambala na Diwani wake wa Kata ya Ilungu iliyokumbwa na mmomonyoko wa ardhi wameiomba Serikali kuwapelekea Huduma za Kijamii. Shitambala amesema Serikali...
0 Reactions
1 Replies
131 Views
MWENYEKITI KAWAIDA(MCC) AONGOZA KIKAO CHA KAWAIDA CHA KAMATI YA UTEKELEZAJI MAKAO MAKUU YA UVCCM DODOMA 📍UVCCM TAIFA 16 Septemba,2024 Mwenyekiti wa UVCCM Taifa ndugu Mohammed Ali Kawaida (MCC)...
1 Reactions
2 Replies
262 Views
Tatizo la Tanzania ya sasa hakuna uwajibikaji watu wanakufa na kutekwa lakini viongozi wote wapo kazini kama vile hakuna baya limetokea. Hii inasibitisha viongozi wa siku hizi ni magenge ya...
5 Reactions
13 Replies
592 Views
Moto utawaka kesho wenye uwezo wa kuwa karibu na TV zenu au redio zenu mkaae mkao wa kazi.
6 Reactions
37 Replies
1K Views
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dodoma umewaonya wanasiasa wenye nia ovu ya kukichafua chama hicho na viongozi wao na badala yake kuwataka wajikitike kwenye sera za kujenga vyama vyao na...
1 Reactions
4 Replies
451 Views
Maono ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John P. Magufuli katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya Kitaifa kama Ujenzi wa Bwawa la Nyerere, Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), Ujenzi wa...
3 Reactions
10 Replies
860 Views
Jamani sina mengi sana nimemkumbuka Rais wangu Ally Hassan Mwinyi, Mungu amjalie pepo ya filidausi, kweli sisi sote ni mashahidi wake na amani iwe juu yake mpaka siku ya kufufuliwa kwake
4 Reactions
60 Replies
1K Views
CWT ni laana!! Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A? Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!
40 Reactions
129 Replies
14K Views
Wakili Mwabukusi amesema ni Heri Wanasiasa wakamuacha Shujaa Magufuli apumzike Njia sahihi ya kumuenzi Shujaa Magufuli ni Kulinda Rasilimali za Nchi Siyo Kushinda Kaburini Kwake na mashada ya...
31 Reactions
88 Replies
4K Views
Friends, ladies and gentlemen.. Uelekeo wa kisiasa na mienendo ya siasa za mh.Lugaga Mpina mbunge wa jimbo la kisesa, inatiashaka na imebeba ujumbe mzito sana wa kisiasa nyuma ya pazia hasa...
5 Reactions
22 Replies
940 Views
Tundu Lissu has apologise to the nation and international community, for being too naive https://m.youtube.com/watch?v=9djeud3m8Ic And Tundu Lissu went further by saying he and many tanzanians...
18 Reactions
91 Replies
4K Views
Sio punde tutaona badala ya Polisi kutafuta wauaji wataanza kuwafuata viongozi wa Chadema majumbani kwao na kuwateka ili tu wasiende kwenye maandamano. Kwasababu wanajua hilo ni wakati wa kuweka...
0 Reactions
2 Replies
178 Views
Baadhi ya sehemu kuna makisio, mfano sina data ya kujua idadi kamili ya mashirika, vyuo, n.k. Turekebishane nilipokosea, weka nyongeza majaji wa mahakama - ??? wakuu wa mikoa - 26 makatibu...
7 Reactions
77 Replies
3K Views
Wakati wimbi la utekaji likiwa limeshika kasi Tanganyika, hali ni tofauti kwa jirani yake, Zanzibar. Zanzibar kumetulia . Zanzibar hakuna utekaji. Nini siri ya Zanzibar kuendelea kuwa katika...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Back
Top Bottom