Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi...
Salamu,
Napata wakati mgumu sana nikiwaza juu ya kuuawa kwa Rtd Officer, Ally Mohammed Kibao, natafakari sana na sijaweza kuwa sawa kuhusu kifo cha huyu mtu muhimu sana kwa Taifa.
Nawaza ya...
Kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwa nyakati hizi hatuna viongozi au...
Baba Askofu Dr Shoo wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini baada ya kumaliza vipindi viwili vya Uongozi wa kikatiba mkutano Mkuu wa Kanisa hilo umemuongezea miaka mingine 6 ikiwa ni Muhula maalumu
Askofu...
My Take: Hii Kauli inatuma ujumbe Fulani ,wajuzi watujuze.
Moja ya tukio lililovuta hisia za washiriki wa kilele cha Kongamano la tano la Ekaristi Takatifu la Kanisa Katoliki ni hili la wanasiasa...
Kumbe kuna nyakati Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema huwa anamfagilia Shujaa Magufuli.
Lema anasema Rais na Katibu Mkuu wa CCM wamesema hali Siyo Shwari Kwa sababu ya...
Jana nilipowasikia wanachama wa chadema wakiimba Samia muuaji must go! mwili wangu ulisisimka.
Watanzania wote na dunia kwa ujumla tunajua na tunashuhudia ni kwa namna gani rais wetu SSH...
Baba mdogo wa Ally Mohamed Kibao amesema kwa mujibu wa Dini yao Mtu akifa kinachofuatia ni mazishi yake
Hivyo wao Kesho mchana watamzika Mpendwa wao Ally Mohamed Kibao
Mengine wanamwachia Allah...
Mamlaka tueleze kama kuna utaratibu unaruhusu kuendesha gari hisiyo na namba tunapata hofu tunapokutana nazo
Kumekuwepo na gari ambazo zimekuwa zikiendeshwa barabarani bila kuwa na ‘pleti namba’...
Mara ya kwanza kumshuhudia Makamu mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Antipas Lisu akiwa Kanisani Katoliki ilikuwa ni Jimboni Kwake Singida baada ya Ule mkasa wa Kupigwa risasi
Leo tena nimemshuhudia...
Katika kipindi hiki kifupi kama miezi mitatu hadi sita, upepo wa kisiasa hausomeki. Matukio tunayoyaona mengine si tu siyo ya Kitanzania lakini yanakinzana na hata mila, utamaduni, umoja wetu...
CCM inaamini Kwamba binadamu Wote ni Sawa
CCM inaamini Kwamba Kila MTU anastahili Haki ya kuheshimiwa na kutambuliwa UTU wake
Rushwa ni Adui wa Haki, Usitoe wala Usipokee Rushwa
Nawatakia...
Nimejaribu kutafakari kauli hii ya mchungaji msigwa nikajiuliza maswali yafwatayo:
1.kibajaji na komba wanawezaje kuongea na kupigiwa makofi na maprofesional?
2.kwa nini sheria za bunge ni kwa...
Jirani zetu Kenya ambao wamebadilisha vyama vya kuongoza serikali zaidi ya mara 2 wanaonekana kupiga hatua kubwa tu ya kimaendeleo.Bajeti ya Kenya iliyopitishwa inaonyesha kushusha ushuru na kodi...
Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba,Ambaye ni waziri wetu wa Fedha ametumia usafiri wa Treni ya Mwendo kasi kutoka Dar kuelekea Dodoma.ambapo Mheshimiwa Waziri...
Ndugu Masheikh
Nimewajibika kuandika barua hii kuwaomba kwa unyenyekevu mkubwa ACHENI KUTETEA dhulma dhidi ya watanzania wenzenu ktk madhila yanayowakumba.
NIANZE NA SULE
Wakati wa sakata la...
Haya ni maandamano kwa minajili ya kutetea haki ya kuishi.
Polisi na vyombo vya dola wametuhumiwa kushiriki utekaji na mauaji ya raia
Serikali imeonesha uzembe mkubwa kulinda maisha ya watanzania...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema ameamini Ekaristi takarifu inaponya na inaleta undungu, kufuatia kitendo cha Padri Dkt. Charles Kitima kuwakutanisha pamoja Katibu Mkuu wa...
Ushauri wangu kwa chama tawala,
Ili kuimarisha umoja zaidi, kupunguza mianya ya rushwa, kuongeza udhibiti katika chama na kuwezesha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi kwa ufanisi na ubora zaidi ni...
GTs,
Nadhani kila mmoja ni shuhuda wa yanaoendelea kuhusu nchi yetu. Kuna mambo kadhaa mengi ambayo kila mtanzania anayalalamikia, moja wapo ufisadi, kutokuwajibika, watu kutekwa na wanaojiita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.