Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nimeona matamasha na marathons nyingi zikifanyika kwenye majimbo na mikoa walipotokea viongozi wakubwa wa nchi hii. Mfano ni Tamasha la Kizimkazi lililomalizika hivi majuzi na lilifanyika...
5 Reactions
47 Replies
1K Views
Tunatakiwa kujiuliza kwanini nchi inapotaka kufanya maandamano ya amani na ku express hisia za wananchi, CCM huwa inahaha kuhakikisha hilo jambo halitokei, kuna nini? Shida ni nini? Je ni mkate...
7 Reactions
8 Replies
385 Views
huu ni mwanzo mzuri kwa katibu mkuu wa CCM Dr. Emanuel Nchimbi baada ya maelezo yake yaliojaa hisia kali za uchungu, huruma ya kibinadamu na kukasirishwa na vitendo vya utekaji hususani dhidi ya...
8 Reactions
124 Replies
5K Views
HUYU NI MBOWE YUPI? Huyu MBOWE wa CHADEMA hii ya baada ya kutoka Ikulu kuongea na MAMA kwa siri; sio yule Mbowe wa CHADEMA ya Bunge Maalum la Katiba. Huyu ni MBOWE mwingine kabisa na wa tofauti...
0 Reactions
5 Replies
325 Views
CHADEMA wanazionea gere Yanga na Simba ambazo katika maisha ya watanzania ni kama usiku na mchana
0 Reactions
16 Replies
447 Views
Wengi hatufurahishwi na kinachoendelea nchini kwasasa. Utekaji na mauaji kwa watu wasio na madhara kwa serikali ni uonevu na kujiabisha kama nchi. Hili lazima lidhibitiwe Huenda yanayosemwa ni...
0 Reactions
8 Replies
609 Views
Tunapoelekea uchaguzi wa 2025 nakuomba mama Samia na Serikali yako itunge sheria na kubadili katiba ya kuruhusu mgombea binafsi ili vijana tusio na maokoto tupate nafasi ya kugombea udiwani...
5 Reactions
18 Replies
531 Views
My take; Nilitaka kushangaa, wajeruman na ubaguzi wao watoe idadi kubwa hivyo ya ajira kwa wakenya!!!?
3 Reactions
0 Replies
170 Views
My Take Ingekuwa ni 🇹🇿 wangeibuka wale wajamaa mbuzi na wenye chuki Kwa Rais na kueneza propaganda kwamba SSH ameuza Urithi wao. Inaonekana tatizo sio ubinafsishaji Bali tatizo ni ubinafsishaji...
13 Reactions
123 Replies
4K Views
Yule Rais wa Watu Rais wa Kitaa ametoa wito kwa watu wote wenye mapenzi mema kuungana kukemea hali ya kutisha inayoshamiri na kuharibu Taswira ya Nchi yetu. Msanii huyo wa Nyimbo za mziki wa...
2 Reactions
6 Replies
428 Views
Ndugu zangu Watanzania, Sikatai na wala sipingi moja kwa moja kuwa changamoto hazipo hapa Nchini. Lakini ni ukweli ulio wa wazi kuwa sote tunaona na kushuhudia namna Rais wetu mpendwa na Jemedari...
9 Reactions
167 Replies
3K Views
Mamia ya Wakatoliki Wamiminika Uwanja wa Uhuru Kongamano la Ekaristi Takatifu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewaasa Watanzania kuishi kwa kuvumiliana, kuheshimiana na...
3 Reactions
13 Replies
839 Views
Hii Nchi bhana inafurahisha sana Mh Godbless Lema alikuwa Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani Ngoja niishie hapo 😀
2 Reactions
9 Replies
539 Views
Kuelekea maandamano ya CHADEMA ni Bora tukajiuliza yatamnufaisha nani Zaidi Hapo jirani Raila yuko Paris na Ruto hapigi tena kelele Kwamba Rais anasafiri sana 😂 Damu za Gen Z zimewapa Ulaji...
4 Reactions
11 Replies
403 Views
Kati ya mzee JOSEPH BUTIKU na Dr. EMMANUEL NCHIMBI nani ana busara? (Hatima ya mkoa mkoa wa RUVUMA na viongozi wake Kwa waliosahau, Dr. Nchimbi ndiye alikuwa mbunge wa Jimbo la Songea mjini...
0 Reactions
0 Replies
332 Views
DKT SAMIA MITANO TENA NA MIMI BADO NAUHITAJI UBUNGE WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi kuendelea kuitaka nafasi ya Jimbo la Ruangwa, anakowakilisha hadi sasa aidha na kusema Rais Dkt...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Siku viongozi wastaafu wataacha kuteuliwa kwenye nafasi mbalimba itawasaidia sana kujiandaa kustaafu kwa angaliu kuwa na kipato chakuwawezesha kuishi uraiani kwa miaka mitano Viongozi wengi...
2 Reactions
5 Replies
288 Views
Leo nina hasira zote na kizazi hiki kichovu kinachopenda kulelewa na kudhani bila ya kuwezeshwa hakiwezi chochote Hivi unajua, imefikia mahala, kijana anafikia miaka 40 hana familia? Hajao? Hiyo...
2 Reactions
37 Replies
761 Views
Siongezi wala sipunguzi. Sikilizeni kabla mods hawa delete huu uzi. Sheikh Ponda Issa Ponda ameibuka na kuonyesha kukerwa na vitendo vya mauaji na utekaji vinavyoendelea nchini. Katika maelezo...
12 Reactions
25 Replies
1K Views
Back
Top Bottom