Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Umiliki wa Makampuni ya Madini Botswana Kampuni 1.Debswana Diamond LTD WAMILIKI Serikali ya Botswana (50%) De Beers (50%...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Redirect
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Sheria Tanganyika (TLS) Mkoa wa Kagera, Seth Jacob Niyikiza, amefariki dunia nyumbani kwake mjini Bukoba, ambapo mwili wake ulipatikana ukiwa umeketi kitini ndani ya...
0 Reactions
Replies
Views
Ni vema tukapata Ufafanuzi wa " Shule iliyonyooka" Ili na sisi Jimbo la Kawe na pale Iringa Mjini tusije kuchagua Mbunge wa Elimu ya " hapa na pale" Kwa Sasa Kawe tunaye Dr Gwajima PhD na Iringa...
6 Reactions
69 Replies
3K Views
Mh. Rais pole na majukumu yako ya kila siku na kubwa ni katika kuwaletea maendeleo watanzania. Natambua kuwa kwa nyakati tofauti tofauti ukipata nafasi huwa unapitia mitandao ya kijamii na kuona...
0 Reactions
0 Replies
76 Views
Moja wapo ya ahadi ya mwana TANU ni "Nitasema ukweli Daima,fitina kwangu mwiko" na Leo Nitasema ukweli kama mwanaCCM unafiki sitaki. Bwana Heche ameonesha kubeza posho ya 400000 walizokuwa...
3 Reactions
30 Replies
385 Views
Uzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa. Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni. Mioaka...
8 Reactions
70 Replies
1K Views
UTANGULIZI: Nimewaita hapa leo kuzungumzia kashfa kubwa (major scandal) inayozunguka kile kilichopewa jina la uwekezaji wa kimataifa katika Bandari ya Zanzibar ambacho sasa kinawatafuna wananchi...
0 Reactions
1 Replies
269 Views
Hii ndio Taarifa yao iliyozagaa kote duniani iliyonifanya niulize kulikoni? Kama kuna anayejua kitakachojiri atueleweshe.
11 Reactions
32 Replies
1K Views
Ofisi ya mkurugenzi halmshauri ya wilaya ya Nachingwea februari 26,2025 imekabidhi mifuko ya saruji ipatayo 91 kwa Zuhura Mshana aliyepoteza watoto wawili na wajukuu wawili katika ajali ya moto...
2 Reactions
8 Replies
249 Views
Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona . Jambo la...
36 Reactions
176 Replies
10K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, amedai kuwa chama hicho kimezuiwa kufanya mkutano wake uliopangwa kufanyika leo, Februari 27, 2025, katika hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam...
7 Reactions
76 Replies
2K Views
SERIKALI MNAJUKUMU LA KUWASAIDIA HAO VIJANA WA NETO NA WATANZANIA WOTE NA SIO KUWALETEA UKOROFI. TUSIWE KAMA WATU WASIO NA AKILI TUSIOJALI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Vijana Wasomi wote...
13 Reactions
24 Replies
641 Views
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanza kwa mchakato wa kuchunguza na kugawa au kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi ambapo itapokea mapendekezo kuanzia tarehe 27 Februari, 2025...
0 Reactions
108 Replies
3K Views
Nadhani mwanasheria Mkuu wa serikali ayaangalie mapungufu katika ofisi ya wakili Mkuu wa serikali. Kama mwendesha mashtaka wa serikali (Dpp)anaweza kuendesha mashtaka mpaka mahakama ya wilaya au...
0 Reactions
4 Replies
175 Views
Yaani ukiwasililiza Machadema wanavyoropoka na kupayuka huko kuhusu kile wanaita Rasilimali za Nchi unaweza dhani labda sisi hapa Tanzania tunapata hasara au hatupati kitu kuliko Nchi zingine za...
0 Reactions
2 Replies
100 Views
Makamu Mwenyekiti CHADEMA, John Heche alikuwa na haya kuhusu Kada ya Ualimu "Hakuna mtu anayeweza kuja akaniambia kwamba hatuwezi kuajiri walimu. Jana nimeona walimu wanapewa vitenge, wao...
10 Reactions
61 Replies
1K Views
Ukiwaajiri kwa wingi utajipunguzia idadi ya chawa kwa sababu hawatakubali kula punje wakati wana uhakika wa unga(ugali). Na ukisema uwaajiri wachache kundi linalobaki linaunda NETO,UYAM n.k ili...
2 Reactions
8 Replies
257 Views
Mimi si msomaji mzuri sana wa Maandiko Matakatifu , lakini ninafahamu kidogo kwamba ndani ya Biblia kuna kisa kilichomhusu Yesu na Petro , inaelezwa kwamba Petro alijaribu kupita Juu ya Maji kama...
10 Reactions
85 Replies
8K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza kupitia East Africa Radio leo Feb 27, amesema; "Katika mazingira yaliyopo hatutashiriki na uchaguzi hautafanyika, tumeamua kuhakikisha kwamba...
7 Reactions
39 Replies
1K Views
  • Redirect
Huu ni uonevu wa wazi kabisa unaofanywa na watu wanaojitapa na kuwadanganya Watanzania kuwa mwaka jana wamerekebisha Sheria za Uchaguzi na Demokrasia. Huu ni uthibitisho kuwa Tanzania hakuna...
6 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom