Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kupigania ukombozi wa nchi ni harakati zote zenye lengo la kuitoa nchi katika mifumo ya dhuluma katika kipindi chochote. Huku kupo sawia na kupigania uhuru kwa kina Mandela, Nyerere, Samora...
4 Reactions
13 Replies
495 Views
Viongozi wetu wanatuambia sasa mashine 3 kati ya 9 za bwawa la umeme la Nyerere zinazalisha umeme na inavyoonekana mashine 1 hadi 2 zinazalisha umeme wa ziada ambapo ni 235MW kila moja. Taarifa...
7 Reactions
10 Replies
310 Views
Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi, ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), anajulikana kwa kuwa kiongozi mwenye maono (visionary leader) na anayejali misingi ya demokrasia. Kumsifia kama...
3 Reactions
17 Replies
568 Views
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetaka uchunguzi wa kina ufanyike kubaini wahusika wa mauaji ya kada wa Chadema, Ally Kibao siku moja baada ya kuchukuliwa na watu wasiojulikana...
0 Reactions
5 Replies
765 Views
Balozi wa Norway Nchini Tone Tinnes, akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani yanayofanyika Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam amesema “Utafiti na masomo yanaonyesha kwamba hali ya...
0 Reactions
0 Replies
262 Views
Ndugu zangu Watanzania, Soma ujumbe huu wa Mheshimiwa Balozi Hamis Kagasheki useme alimaanisha nini.soma kwa kutulia na ujibu baada ya kutafakari na kuelewa na siyo ukimbie mbiombio kujibu tu...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Kiukweli nahisi Maandamano ya mioyoni miongoni mwa Wananchi yamepamba moto Mungu wa mbinguni utufanyie Wepesi tujapopita Kati ya bonde la uvuli huu wa utekaji Kiukweli kama Taifa tumuombe sana...
0 Reactions
9 Replies
206 Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswagwa (Mb) (wa tatu kushoto) akizungumza na wajumbe wa kamati wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa...
0 Reactions
3 Replies
262 Views
Happy birthday Freeman Mbowe 🌹🌹🌹 Mungu akulinde hasa katika zama hizi ngumu za Teka Teka Sabato Njema 😀
6 Reactions
7 Replies
431 Views
Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam. --- UPDATE MAY 11, 2021--...
88 Reactions
560 Replies
52K Views
Naendelea kusisitiza tu hoja zangu Kwamba Cdm ya Mbowe bado haimanishi kile inachisema Walilalmika JPm kutaka kujiongezea muda wa uongozi huku Mbowe akibadilisha kipengele Cha ukomo na...
1 Reactions
0 Replies
127 Views
Nimekuwa nikifuatilia mgogoro wa RPC Mponjoli na ndugu Msukuma nikakumbuka Miaka Miwili iliyopita nliishi Jijini Mbeya na nikafanikiwa kukaa mpaka Tukuyu kikazi kwa Mwaka Mzima. Mponjoli ni...
7 Reactions
302 Replies
37K Views
Ndugu zangu Watanzania, Katika mambo ambayo CCM huwa makini nayo na kutofanya mzaha au majaribio au kukosea basi ni katika suala zima la kusuka safu nzima ya uongozi wake ndani ya chama.inafanya...
4 Reactions
18 Replies
650 Views
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kaster Ngonyani kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema "Ndio ni kweli, taarifa za tukio hilo...
14 Reactions
143 Replies
8K Views
Ni kauli ya hekima kabisa kutoka kwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe Hii nchi kila kitu tumegeuza siasa hadi wadudu wachafu chawa nao kwa Tanzania ni siasa Bure kabisa 🐼 Jumaa Mubarak 😀
2 Reactions
28 Replies
723 Views
Mheshimiwa rais wa nchi amevipa majina vituo vya train ya sgr kama kichwa cha habari kinavyojieleza. --- Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa majina ya vituo vya stesheni za treni ya...
3 Reactions
108 Replies
5K Views
Kwa siku za karibuni kumekuwako na chuki kubwa hapa nchini hasa kutokana na matendo ya utekaji, mateso, kukamata watu hovyo pasipo kufuata sheria na hatimaye mauaji. Vitendo hivi vimekasirisha...
3 Reactions
9 Replies
224 Views
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga, Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa. Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali...
33 Reactions
126 Replies
3K Views
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari anadaiwa kuvuliwa ubunge kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kushindwa kuhudhuria mikutano mitatu ya bunge, jambo ambalo ni kinyume na sheria na taratibu za...
33 Reactions
832 Replies
121K Views
Mkurugenzi wa Ubia nchi Bwana David Kafulila ameiambia ARIDHIO ya TBC kuwa sasa ni rasmi mtu au kikundi chochote chenye uwezo na nia ya kununua na kuendesha vichwa vya treni pamoja na...
19 Reactions
155 Replies
4K Views
Back
Top Bottom