Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwa jinsi nilivyoona siasa za hii nchi yaani chama kama CCM hakitotoka madarakani. Sababu moja wapo ni upinzani dhaifu nikisema hivyo nadhani mnanielewa. Kila siku wapinzani wanalalamika...
6 Reactions
126 Replies
2K Views
Ni muhimu sana wakafanya tafiti za kutosha na kuibua sera, mipango mikakati, na uelekeo mahususi utakao washawishi wananchi wengi zaidi na kukonga nyoyo zao, na hapo ndipo watakua na maana...
0 Reactions
0 Replies
152 Views
Kufuatia kauli ya Freeman Mbowe kiongozi wa Upinzani nchini .chini ya Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA ya kututaka wwanachi tuandamane kikanda. Kushinikiza mambo mbalimbali...
6 Reactions
17 Replies
574 Views
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali". Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya...
9 Reactions
120 Replies
6K Views
Wakuu, mnamuelewa kweli Masauni? Sativa baada ya kufika tu hospitali alihojiwa kwa masaa matatu kabla sijakosea akieleza yote, polisi wakiwepo pamoja wanaandishi wa habari halafu anakuja...
12 Reactions
47 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Mbowe amesema wanatarajia kupokea taarifa ya Uchunguzi kuhusu kifo cha aliyekuwa Mshauri wa chama hicho, Ali M. Kibao aliyeripotiwa kuuawa na watu...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Licha ya Lissu kuomba radhi kwa kile kinachoonekana ni kukubali maridhiano na serikali ya Raisi Samia, ukweli ni kwamba, Lissu amekubali akiwa ni sehemu ya uongozi wa CHADEMA uliofika hayo...
3 Reactions
17 Replies
686 Views
Mkuranga: Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga wamepitisha Azimio la Kuomba Serikali kuipandisha hadhi Wilaya hiyo kuwa Manispaa Kwa kile walichodai kwamba Wilaya Yao imetimiza...
4 Reactions
43 Replies
3K Views
Naam, sisi malimbukeni wa sheria huwa tunauliza maswali ya kilimbukeni. Kikwete akihamia CHADEMA na kugombea urais, sheria inaruhusu?
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Kuna tetesi za kuaminika kwamba kompyuta ya mapajani (Laptop) ya mkuu wa kaya imepotea katika mazingira ya kutatanisha. Salva karibu for comments................
0 Reactions
147 Replies
20K Views
Ndugu zang ccm imepoteza mvuto tangu CHAMA hiki kilipovamiwa na wanfanya biashara wakubwa miaka ya 1990s, kinyume na malengo ya kuasisiwa kwake, si CHAMA CHA wafanya kazi na wakulima, ni CHAMA...
0 Reactions
3 Replies
371 Views
Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata...
4 Reactions
84 Replies
21K Views
Mwenyekiti wangu Mhe.Freeman Mbowe, sometimes unakua muungwana sana hata kwenye mambo yasiyohitaji uungwana. Huyu Masauni ungemuacha apewe haki yake ya kikatiba. Hatuwezi kuruhusu mtu aliyesema...
26 Reactions
77 Replies
5K Views
Serikali ni vema kujua kuwa wananchi wengi ni masikini sana na wenye shida nyingi kimaisha. Pia idadi kubwa ya watu hawana elimu na hawana uwezo wa kuchanganua utapeli na ukweli. Sasa sio vema...
2 Reactions
5 Replies
460 Views
by Israel Arogbonlo September 11, 2024 [Source: NIGERIAN TRIBUNE ONLINE] In this article, TRIBUNE ONLINE highlights top six leading debtors to the World Bank’s International Development...
2 Reactions
3 Replies
350 Views
Katibu Mkuu wa CCM leo tarehe 13 Septemba 2024 aliitisha kukao cha dharura na waandishi (selected) wa habari kuelezea msimamo wa CCM kuelekea maandamano ya amani ya Wananchi kupitia CHADEMA...
20 Reactions
42 Replies
3K Views
Picha linazidi kunoga Dr Nchimbi amemshangaa mwanaharakati Huru aliyedai Polisi wamuhoji Katibu mkuu wa Chadema Mh Mnyika kuhusu mauwaji ya Ally Mohamed Kibao Nchimbi amesema Mnyika hata akiona...
12 Reactions
32 Replies
2K Views
Natoa tu angalizo Kwa jambazi yoyote Hakunaga Mwanajeshi anatoa Siri hata ikimlazimu kufa Sana sana anaweza kuwadanganya tu Jumaa Mubarak 🐼
2 Reactions
19 Replies
478 Views
Aliyekuwa Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ambaye rais Magufuli alisema ni mtumishi wa umma upande wa Usalama wa Taifa, na mzee Azim Dewji ambaye aliwahi kushiriki...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari zenu, Jina hili huenda si geni sana pia linaweza kuwa sio enyeji kwenye masikio ya wafuatilaji wa siasa za Tanzania, hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii kumekua na taarifa kuwa kada...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom