Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
CCM imejijenga kuwa chama cha kisiasa chenye historia ndefu na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Watu wengi nchini wanaona kuwa CCM imeleta amani, umoja, na...
5 Reactions
106 Replies
2K Views
Ndugu zangu watanzania, Sauti ya wengi ni Sauti ya Mungu. Maneno huumba. kwa kuwa mwakani ni Mwaka wa uchaguzi ,na kwa kuwa kuna wabunge wengine walishatangaza kustaafu siasa na kwa kuwa kuna...
7 Reactions
222 Replies
4K Views
Kipindi nakua mji ulikuwa mwisho ubungo, pale lilipo jengo la Tanesco ndio ulikuwa mzani wa kupima malori ambao sasa uko mkoa wa Pwani, Dar inakuwa kuelekea kaskazini,npaka wa Dar na kibaha...
24 Reactions
172 Replies
18K Views
Katika interview ambazo zilikuwa na maswali marahisi kwa mtu neutral lakini maswali magumu kwa mwanasiasa ni interview ya juzi Clouds kati ya Mnyika na wanahabari wa chombo hiki. Lakini kati ya...
58 Reactions
126 Replies
8K Views
Nikiwa kama mtanzania mpenda amani ,naomba vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi yetu vihakikishe kuwa siku ya hayo maandamano uchwara ya chadema ,viongozi wote wa chama haswa Mzee Mbowe,Mnyika...
2 Reactions
24 Replies
892 Views
My Take Watoa mapovu Ruksa ila huo ndio ukweli wenyewe 👇👇 https://www.instagram.com/p/C_0VQRhKRWS/?igsh=Zjc1MzZuMDBrNGRv
3 Reactions
23 Replies
431 Views
Kama wewe ni mzalendo kwanini ukatae msaada wa uchunguzi kutoka Scotland Yard Je unafurahia utekaji kwasababu tu si ndugu yako kapotea au chama chako? Hata kama vyombo kweli vinafanya uchunguzi...
1 Reactions
5 Replies
293 Views
Tangu kazi ya kuteka na kuua raia ianze katika nchi hii, sijawahi kusikia kada wa CCM kapotezwa na kukutwa ameuawa. Ijapokuwa mauaji kwa njia ya kuteka yalikuwepo tangu awamu ya kwanza lakini...
2 Reactions
15 Replies
541 Views
habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!! Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa...
11 Reactions
118 Replies
10K Views
Jana nilitoa wito wa kuzitumia siku tatu za ibada za wiki(Ijumaa, Jumamosi na Jumapili) kwa ajili ya kukemea matendo maovu yanayofanywa Nchini na hasa mauaji ya watu. Kipindi kile cha...
1 Reactions
1 Replies
213 Views
Hello! It's like a joke lakini ndio ukweli wenyewe. Nchi hii wizi mbaya ni ule wa kuchukua mahindi mabichi shambani, kuiba kuku, kuiba simu , kuiba karanga , korosho, pipi na vitu vingine. Ila...
2 Reactions
9 Replies
342 Views
Kamati ya Kudumu ya Bunge Maji na Mazingira ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Jackson Kiswaga imetoa pongezi kwa Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso na Menejimenti ta Wizara ya maji pamoja na...
0 Reactions
1 Replies
193 Views
Stand ya Kibo Complex Tegeta imekuwa kubwa na kuna Wakati unakuta mabasi Zaidi ya 10 yanapakia Abiria hasa safari za Usiku Tanga, Moshi na Arusha Ni vema kikajengwa kituo kidogo Cha Polisi...
3 Reactions
8 Replies
401 Views
1. Kwa kunukuu maneno ya Joseph O. Mbilinyi (SUGU) na kwa kuwa simu zake zote zilipotea katika purukushani yake na polisi - Mbeya, nitasimulia kidogo. 2. SUGU na John Mnyika walipigwa sana...
12 Reactions
86 Replies
3K Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo. Viongozi wetu wawajibike kwa makosa yao. Jumatano, Septemba 11, 2024 By Wakili Paschal Mayalla Kitu chenye thamani kubwa...
11 Reactions
25 Replies
847 Views
Mjadala: Jinsi ya Kuwafanya Wahitimu wa Vyuo Vikuu Vyetu Kuwa na Uwezo wa Kukopesheka na Mabenki ili Kufanya Biashara au Ujasiriamali Tunapozungumzia kuhusu maendeleo ya kiuchumi na nafasi ya...
1 Reactions
5 Replies
360 Views
Hivi wakuu wa wilaya hupokea mshahara kiasi gani kwa mwezi
1 Reactions
15 Replies
12K Views
JK aliwahi kutuasa- akili za kuambiwa changanya na za kwako
1 Reactions
29 Replies
522 Views
Huyu mzee anajitahidi sana kutetea Serikali. Isimwache hivi hivi imwangalie kwa jicho la tatu anaweza kuwa msaada hapo mbeleni. Anajitahidi sana kuitetea Serikali. Ni kumpa tu Elimu angalau sasa...
2 Reactions
6 Replies
325 Views
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akiwa na Mzee Pancras Ndejembi na Mama Ndejembi ambao Marehemu alikuwa Mjukuu wao. Mh Lowassa alikwenda nyumbani kwa Mwanasiasa huyo...
1 Reactions
43 Replies
14K Views
Back
Top Bottom