Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Yanayoendelea sasa hivi hapa nchini yamenifikirisha sana na kunikumbusha wakati wa ZCO ACP ya Abdallah Zombe. Baada ya uchunguzi wa Tume ya Jaji ikagundulika kuwa wale waliouwawa na polisi eti...
0 Reactions
3 Replies
364 Views
Mambo vipi wadau? Kwa jinsi hali ilivyo ya mambo na matukio tunayoendelea kushuhudia hivi katika jamii ni dhahiri kuwa serikali inapaswa kuchukua hatua na tahadhari kubwa kuelekea Uchaguzi wa...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
Ukiangalia historia ya Marais nchini utagundua kuwa Marais dhaifu hutengeneza mazingira ya kuwabebesha lawama wateule wao. Kikubwa zaidi, viongozi dhaifu wana hulka ya unafiki. Mwanasiasa mnafiki...
43 Reactions
113 Replies
7K Views
06 September 2024 SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WAANDAMIZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI 2024 https://m.youtube.com/watch?v=jsMEnkMCoc4 WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka maafisa waandamizi...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Kama kweli tunataka kutokomeza Utekaji na mauaji Kwenye Nchi hii ni vema tukaanika kila kitu bila kufichaficha. Mafwele ametangulizwa mbele lakini kikosi chake kina wakina nani wengine? Je RPC...
19 Reactions
66 Replies
6K Views
Tulia Ackon hajawahi kusimama upande wa umma hata siku moja Japo chombo anachokiongoza kinawakilisha sauti ya umma. Amekua akizuia hoja zote zinazowakiliaha sauti ya umma. Yeye ndiye kapunguza...
3 Reactions
18 Replies
537 Views
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema CCM siyo mama yangu na kama ikikiuka misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhama, hii kauli inaweza kutamkwa na mtu muadilifu, muungwana na anauechukizwa na maovu...
8 Reactions
39 Replies
713 Views
Kwa kuwa hakuna demokrasia wala haki ndani ya CHADEMA, wanachama wao wameniomba niwasaidie kuchapisha barua yao kwenye ukurasa wangu huu nami nikiamini kuwa CHADEMA inapaswa kuishi yale...
2 Reactions
20 Replies
601 Views
Wametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee Kibao, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa. Mlichobakiza ni kulalama huko X na JamiiForums. Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
6 Reactions
51 Replies
1K Views
Polisi walitumia nguvu kubwa mpaka ya akiba kuzuia kongamano la vijana wa CHADEMA kule Mbeya kwa kuwatenda unyama na kuwatweza vibaya viongozi wa kitaifa wa CHADEMA. Kabla hakujapoa, Ngorongoro...
4 Reactions
11 Replies
617 Views
Sijajua nini nini kinaendelea katika taifa letu hususani kuhusu hali ya siasa za upinzani nchini. Nilitegemea baada ya tukio lilotokea juzi basi hasira za umma zingewaka na kuitikia hituba ya...
0 Reactions
1 Replies
184 Views
Mwaka 2020 wakati wa Kampeni za uchaguzi Mkuu, nilikuwa nawaambia viongozi wangu kuwa ni lazima CCM watatuibia kura kwa mtindo Mpya kabisa. Sababu ya kusema hivyo ilikuwa ni jinsi CCM...
0 Reactions
3 Replies
303 Views
Bila shaka awali ilionekana chama hiki ni kama chama cha siasa sawa na vyama vingine, Lakini kadiri muda unavyosonga kinaanza kudhihirisha sababu za uwepo wake Nadhani madhumuni, misingi na...
1 Reactions
56 Replies
932 Views
Hivi Samia ni nani hasa asikosolewe? Kwa lipi hasa? Mtu mwenyewe hata uwezo wa kuongoza hana, hana sifa za urais kile kiti kinampwaya walikosolewa kina Magu, mkapa na Jk seuze yeye? Kwani...
14 Reactions
27 Replies
1K Views
Aisee mambo ya Gen Z wa Kenya yamenikumbusha mbali. Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪 Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa...
8 Reactions
51 Replies
1K Views
Ndugu wanajukwaa, Sio mara Moja au mbili maandamano kuonesha matokeo chanya huko duniani kiasi Cha kubadili kabisa hali na mfumo mzima wa maisha lakini pia yameonesha ni chaguo la mwisho la...
0 Reactions
15 Replies
817 Views
Wakuu Salaam, Mtakuwa mmekutana na vijembe kvya Bashe na Mpina, tena naye kaanza kutumia vichambo kibasaaa, na Millard eti kaweka kaweka kichwa cha kimbea, soma hapa - Hussein Bashe: Luhaga...
1 Reactions
8 Replies
591 Views
Habari waungwana! Je ni kwanini nchi yetu haimpi nafasi mgombea binafsi kugombea na kushika nafasi mbali mbali za kisiasa ikiwemo ubunge na Urais. kwani kwa maoni yangu hii ya kua lazima uwe...
2 Reactions
17 Replies
524 Views
Hizi tuhuma haziwezi kumweka huyu mwimbaji matatani? Nyimbo zake zinaruhusiwa nchini?
5 Reactions
16 Replies
461 Views
Kupitia Bunge la 12 linaloendelea Jijini Dodoma, Serikali imepeleka Bungeni Muswada unaopendeleza Mabadiliko ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa. Pamoja na Mambo mengine, Sheria inapendekezwa...
4 Reactions
36 Replies
9K Views
Back
Top Bottom