Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mfanyabiashara Maarufu aliyeongoza kampeni za Mbunge wa Arusha Mwaka 2010 Godbless Lema anayefahamika kwa jina la Mboya amenusurika kifo baada ya kuchomewa Nyumba yake usiku wa kuamkia Leo...
2 Reactions
42 Replies
6K Views
Rais Kikwete ndiye rais aliyekuwa akisikiliza kelele za wapinzani. Walikuwa wakisema anawaita ikulu kwa ajili ya mashauriano na kutafuta suluhu. Rais Magufuli alipoingia madarakani, alitangaza...
2 Reactions
6 Replies
284 Views
Watoa taarifa wakizungumza na Mongabay wameripoti visa vya ujangili kwa miongo kadhaa nchini Tanzania vinavyohusishwa na kampuni ya uwindaji wa kifahari inayohudumia matajiri na familia ya kifalme...
2 Reactions
9 Replies
966 Views
"Ni matumaini yangu kama Mheshimiwa Rais (Dkt. Samia Suluhu Hassan) alivyosema kazi zipo nyingi za kufanya za kushirikiana kukijenga chama (CCM), nitashirikiana na wengine kuzunguka Tanzania nzima...
6 Reactions
29 Replies
947 Views
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde ametangaza kukamatwa kwa madini ya dhahabu kilo 15.78 bandarini yalipokuwa yakitoroshwa. Ameyasema hayo leo tarehe 11 Septemba, 2024 Jijini Dar es Salaam...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Hayati Rais Mwinyi, tofauti na viongozi wote wa CCM wa sasa hivi, ndiye pekee ambaye alikuwa tayari kukiri kukosea inapodhihirika alifanya makosa. Hiyo ni tabia ya mtu muungwana, mtu anayeamini...
9 Reactions
12 Replies
761 Views
Wana JF Kumekua na maoni, mitazamo, mapendekezo na wito kutoka kwa watu mbalimbali mashuhuri, taasisi na vyama vya kisiasa kumtaka waziri mwenye dhamana ya mambo ya ndani ajiuzulu nafasi yake...
2 Reactions
9 Replies
340 Views
Nakubalina na Mzee Butiku,kuna kikundi Cha wahuni na Watekaji ambao inawezekana Bado wako Serikalini na ambao waliasisiwa awamu Ile iliyopita Sasa wanajaribu kuichafia Serikali ya Rais Samia...
3 Reactions
13 Replies
449 Views
Nilikuwa nawaza hapa kwamba CCM ndio chanzo cha matatizo yote haya, lakini hapana wananchi wanaoikalia Tanzania ndio chanzo cha mfumo mbovu wa siasa zilizopo nchini. Mohamed Kawaida, Tulia Akson...
6 Reactions
40 Replies
869 Views
Serikali imeendelea kutoa mikopo kwa wachimbaji wadogo wa madini nchini. Katika kipindi cha julai 2023 hadi machi 2024 jumla ya shilingi bilioni 187 zilikopeshwa kwa wachimbaji ukilinganishwa na...
1 Reactions
6 Replies
300 Views
Mimi nazungumzia 1. Maadili 2. Elimu 3. Umri Zamani sana ilikuwa huwezi suluhisha ugomvi wa baba na mama. Hata kama unamjua mkosaji. Huwezi sema kitu. Unawafuata wazee unawaambia wakaongee na...
20 Reactions
56 Replies
2K Views
Vikao vya CHADEMA vimesema 'This Must Come to an End', lazima jambo hili lifike mwisho, na kwa sababu wao wamekataa kulifikisha mwisho, sisi tutawalazimisha walifikishe mwisho. Ili tufanikiwe...
2 Reactions
4 Replies
404 Views
Aliyekuwa Kiongozi na Mbunge wa Chadema baadaye akahamia CCM Peter Msigwa, amemuomba Msajili wa Vyama vya Siasa kuchunguza vyama vya Siasa hasa CHADEMA sababu wanafanya vitu nje ya katiba ya...
5 Reactions
71 Replies
4K Views
Ndugu zangu Watanzania, itambukwa kuwa kumekuwa na utekaji, utesaji na mauaji kwa ndugu zetu Watanzania hapa Nchini. Kutokana na kushamiri kwa vitendo hivyo viovu, binafsi napendekeza siku ya...
1 Reactions
0 Replies
152 Views
Nampongeza sana kiongozi wa CHADEMA Freeman Mbowe kuonesha ukomavu wa kisiasa kuhimili misukosuko kila inapojitokeza amekuwa na utulivu sana mwenye hekima hasa kunapotokea chama kinapitia hali...
6 Reactions
24 Replies
948 Views
Hii kamatakamata ya watu so called wa Taasisi inaleta loopholes za hata majambazi na watu wengine kujifanya nao wana mandate ya kukamata watu hivyo kupelekea maisha yetu mtaani kuwa ya hatari...
3 Reactions
10 Replies
440 Views
Kutokana na hali inayoendelea kwasasa kutekwa, kupigwa, kupotelea kusiko julikana pamoja na kuuwawa imefanya kupoteza upnzani kwa vyama vya siasa na watu wote wenye chachu ya kugombea wameingiwa...
6 Reactions
10 Replies
301 Views
Amenishtua sana. Sijui anajiamini nini huyu.
15 Reactions
49 Replies
2K Views
Fikiria ahadi kama hii ambayo inahusu usalama wa maisha ya Raia yaliyo potea na hakuna lililo fanyika bali ahadi hewa! Nani atakuwa na imani tena na kiongozi huyo? Wananchi kama WAAJIRI wanapaswa...
0 Reactions
2 Replies
172 Views
Back
Top Bottom