Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Watanzania Salaam! Hanari za watu:- Kutekwa, Kujeruhiwa, Kuuawa, na Kupotezwa Zimekuwa za kawaida lakini madhara yake kwa familia za wahanga ni makubwa sana. Ikumbukwr kuwa wahanga hao wana...
0 Reactions
5 Replies
376 Views
Taasisi yoyote inapotaka kufanya uovu wowote, kwanza hutengeneza mazingira ya kuwezesha uhalifu kuweza kufanikiwa. Serikali ya CCM, muda mwingi imekuwa ikiandaa mazingira ya kisheria ya kufanya...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Nimefuatilia mahojiano mbalimbali kwa miaka ya hivi karibuni ya vyombo vya ndani ya nchi na nje ya nchi. Nilichobaini Taifa lina wanasiasa wasiofika ishirini ambao wanaweza kutofautisha mahojiano...
8 Reactions
45 Replies
1K Views
Ukiwa mgeni Tanzania unaweza ukahisi nchi inakaliwa na wagonjwa au watu walioathiriwa sana na utumwa. Vivi hivyo kwenye kesi nyingi za utekaji , watanzania wanaamini Mungu atawalipa watekaji ...
4 Reactions
6 Replies
284 Views
Wanabodi, Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi. Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za...
38 Reactions
81 Replies
6K Views
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utajibu wewe msomaji. Naomba kuanza kwa Declaration of Interest. Kwa...
24 Reactions
76 Replies
5K Views
Kwaza ieleweke utekaji uko almost Dunia nzima. Ila tunazidiana njia na mazingira ya utekaji. Kwa Tanzania mazingira ya utekaji ni mepesi sana ni kiasi tu cha watekaji kusema sisi ni Police basi...
2 Reactions
4 Replies
437 Views
Alipouwawa Professor Jwani Mwaikusa (sidhani kama nimepatia jina) na aliposhambuliwa Dr Ulimboka, na alipotekwa Mo Dewji, Jeshi la Polisi lilikuja mbele ya media na "Wahalifu" ambao sijui Hadi...
4 Reactions
6 Replies
620 Views
Huu ni mtizamo binafsi na hisia za kifalsafa juu ya vitendo vya utekaji na mauaji nchini. Kwa hulka ya mwanadamu pindi anapopata nguvu fulani iwe ya kibiashara, kisiasa, kidini, kimichezo n.k...
4 Reactions
5 Replies
439 Views
Wanabodi, Karibu, Nipashe ya leo Kufuatia Watanzania wengi kuwa ni waumini wa dini kuu mbili, Ukristo na Uislamu, hivyo sii wengi wanaijua "karma" ni nini, kwasababu "karma" ni neno la lugha ya...
11 Reactions
35 Replies
5K Views
Baba : Mwanangu muabudu Mwenyezi Mungu na uzitii mamlaka juu yako ,serikali ,mahakama na bunge. Anyigulile (Mimi) :Nimekusikia baba yangu kipenzi ,nitayaishi mawaidha yako. Baba : Mwanangu litii...
1 Reactions
31 Replies
521 Views
Mwanachama mpya CCM akitokea Upinzani, Mchungaji Peter Msigwa, amesema wakati alipokuwa CHADEMA hakuwa na ufahamu kwamba Mchakato wa Katiba Mpya ulikuwa unakwamishwa na baadhi ya Viongozi wa...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Together TunawakilishaHome Waliorusha Mawe kwenye mkutano wa Lissu wakamatwa Jeshi la Polisi mkoani kilimanjaro limewakata watuhumiwa 12 wanaodaiwa kufanya vurugu za kushambulia kwa mawe...
14 Reactions
115 Replies
12K Views
Kimsingi suala la utekaji limeendelea kuwa suala linalotamkwa kila mahala. nimemsikia Waziri wa Mambo ya Ndani Masauni, nimemsikia Rais wa TLS bwana Mwakubusi na pengine maeneo kadhaa. Kama ni...
1 Reactions
7 Replies
396 Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze lililopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani ameshiriki kupokea...
-1 Reactions
1 Replies
231 Views
Rais Jakaya Kikwete amesikika mara kadhaa akisema kuwa "mgombea urais kupitia ccm 2025 atakuwa mama Samia labda mambo yaharibike sana hapo katikati". Sasa swali langu ni je, mpaka sasa, bado...
2 Reactions
8 Replies
889 Views
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime (Elias Ntirihungwa) ambaye ndiye Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Tarime Mjini amewafuta Ukuu wa Shule (Sekondari) na Walimu wakuu (Primary) wote ambao Mhe...
25 Reactions
58 Replies
9K Views
Kwa namna matukio ya ubakaji, ulawiti, utekaji, kupotezwa na mauaji yanavyoongezeka inatia shaka sana kwamba yanafanywa na kundi moja. Kwa kifupi hatuko salama, sababu kubwa ni kwamba ni either...
1 Reactions
12 Replies
578 Views
Haiishi tu "drama" kuwa ni MAIGIZO.... Liko kundi la watu lisilotaka kujifunza vyema maana za ndani ya lugha kwa kuishia juu juu tu. DRAMA ni neno la kiingereza... Ni nini asili yake ...
0 Reactions
6 Replies
305 Views
nina uhakika na hilo kwa baraka na Neema za Mungu. sitanii, sina mazoea na sina mzaha hata kidogo kwenye malengo na matarajio yangu muhimu ya msingi katika kutekeleza kusudi la Mungu ndani ya...
6 Reactions
57 Replies
1K Views
Back
Top Bottom