Unajisikiaje kwa roho lako hili la kinyama.
Kama ni kanisani unajifanya kimbelembele.
Kama ni msikitini unajifanya kimbelembele.
Muda wote Mungu, Mungu mara maadili kumbe jitu uaji mikono yako...
Nakumbuka enzi hizo Uchina wakati wa cultural revolution miaka ya 60s mpaka 70s liliibuka genge la mtu nne likiongozwa na mke wa Mao Zedong aitwae Jiang Qing.
Genge hili lilijitwalia madaraka ya...
Tuhuma za Kizushi ambazo Mchungaji Msigwa anazielekeza kwa mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe zinawapa maumivu makali sana Wafuasi wa Chadema
Mbowe amekimbilia mahakamani na Mchungaji Msigwa...
Ujumbe wake aliousambaza Dunia nzima huu hapa
Hii Nchi sasa inaelekea Shimoni.
Nyongeza: Tito Magoti aliwahi kutekwa kwenye utawala wa kidikteta wa Awamu ya 5, Manusura yake yalitokana na...
Muda mfupi ujao kabla ya uchaguzi mkuu ACT-WAZALENDO kuzindua TV na radio yao hii ni hatua nzuri kwa chama cha upinzani na itawasaidia kufikisha ujumbe mjini na vijijini hongereni sana.
Pia...
Je, nini dhima ya Mhe Dkt Mwigulu Nchemba Waziri wa Fedha na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa Ubia nchini PPP kuwakusanya Viongozi hawa waandamizi wa Taifa hili?
Ndugu Mnyika.
Nakusalimu
Juzi uliitisha press conference na kuwatangazia wananchi juu ya kutekwa kwa msaidizi wako mzee Kibao.
Sasa kwa kuwa binadamu huwa haishi peke yake bali ana majirani zake...
Kuna mtu anayeweza kuelewa kwa nini viongozi wa kisiasa wa taifa hasa Rais huwa wanakula kiapo/ wanaapishwa baada ya kuteuliwa au kuchaguliwa?
Pia msingi wa kutumia vitabu vya dini katika kula...
Wanabodi,
Naangalia huu mkutano wa Rais Magufuli na wafanyabiashara, kiukweli nimeguswa sana na uchapakazi wa rais Magufuli.
Namtafakari jinsi huyu jamaa anavyochapa kazi hadi sijui analala saa...
Trump amesema akishinda uRais atamteua Bilionea Musk kuwa Mratibu wa Biashara na Uwekezaji wa PPP kama Dr Kafulila wa Tanzania
Kwako Lucas 😂
Nawatakia Dominica Njema 🌹🌹
Wakuu,
Nauliza hivi: Je, viongozi wetu, watendaji na wakuu wa hitifaki za viongozi wanajua kuwa wananchi nao wana mipango, mahitaji na malengo yao yanayotegemea na kubanwa na MUDA (WAKATI)?? Je...
Ukiona kwenye maisha hupati changamoto jua huna faida au huna athari katika jamii.
Leo CHADEMA mumeishika serikali ya CCM pabaya, mumekaribia ukingoni kuitoa madarakani, mumevishika nyeti...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Licha ya Wimbi la kutekwa kwa Wanachama wa Chama hicho Nchi Nzima, ambako sasa imedhihirika kunafanywa na vyombo vya dola vya Tanzania, ambavyo vimetumwa...
Wakuu,
Nauliza hivi: Je, viongozi wetu, watendaji na wakuu wa hitifaki za viongozi wanajua kuwa wananchi nao wana mipango, mahitaji na malengo yao yanayotegemea na kubanwa na MUDA (WAKATI)?? Je...
Wakati Tundu Lissu akiwa anaamini mwenyekiti wake Bw Freeman Aikael Mbowe analamba asali toka Kijiji Cha Nyuki kilichopo huko Singida,
Tayari Kuna taarifa za chini chini kuwa asali pia...
Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.
Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na...
Duuuh siasa mchezo wa ajabu sana
Namsikiliza mh msigwa hapa star TV
Anaulizwa ulisema uwezi hama chadema imekuwaje
Chadema sio dini
Anakwambia hakuna bonadamu asiebadilkaaaa
Hata Paulo...
Makamu wa Raisi Dkt. Philip Mipango
Makamu wa Raisi Dkt. Philip Mipango akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika kilele cha Maadhimisho ya Jubilei ya...
Zipo seti kuu mbili za dhima za Vyombo vya Habari nyakati za uchaguzi, ya kwanza inatokana na msimamo wa Kitaaluma ikiunganishwa na Wajibu wao kwa jamii, ya pili ni wajibu wa Kisheria wa Vyombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.