Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Umemtuhumu mwenyekiti wa nini? Wewe kama nani? Ukiwa wapi? Kwa Mamlaka ipi? Sabato Njema 😄🌹
9 Reactions
48 Replies
2K Views
Mwalimu Nyerere aliwahi sema "Uchumi tunao, lakini tumeukalia' ithibati ya maneno ya Baba wa taifa ilikuwa sahihi kabisa, kwa kuzingatia baraka ya rasilimali asili na rasilimali watu katika bara...
9 Reactions
36 Replies
920 Views
Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna...
14 Reactions
219 Replies
9K Views
Ile Sheria haikuwa nzuri lakini ilitoa Fursa ya Jamii kujua Fulani yuko wapi Wako waliokaa Kizuizini miaka na hapakuwepo kelele zozote Sijajua kama ile Sheria ilifutwa ama la ngoja niulizie...
0 Reactions
0 Replies
132 Views
Nitumie fursa hii kuishukru serikali yetu kwa huu mfumo wa ESS kwakweli nasema kutoka moyoni mwangu. God bless this 6th regime
3 Reactions
1 Replies
394 Views
Katibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito Keep waiting…. Britanicca
20 Reactions
110 Replies
19K Views
Ndugu zangu Watanzania, Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini. Ambapo amesema ya...
7 Reactions
142 Replies
4K Views
Huyu bwana kajizolea sifa lukuki kwa wakenya na wapenda sheria wote duniani. Imefikia mpaka Watanzania wanamfananisha na Mwanasheria machachari Tundu Lissu.. Sijawahi kumshuhudia Lissu akiwa...
13 Reactions
153 Replies
19K Views
Mutu ya Watu Onesmo Lyanga, IGP ajaye. Salamu Wakuu, Kwa jinsi ninavyomjua afande, lazima Kesi ya Lissu ianze upya sababu huyu afande haangalii nyani usoni sehemu yenye uharifu. Man of black...
12 Reactions
43 Replies
7K Views
Wewe Mbowe umembagua sana Rais wetu, umemuita yeye ni mzanzibar na kashfa kibao za kisiasa dhidi ya Rais. Mhe Rais amebaki na 4R tu, mmemtibua sana kwenye majukwaa kwa kauli zenu za kibaguzi...
0 Reactions
14 Replies
435 Views
Wazee kama hawa akina Lukuvi na Kabudi wameshafanya kazi za kutukuka kwenye taifa letu. Walitakiwa wawe wameshazalisha vijana wenye uwezo, mawazo na maono kama wao. Lakini kama hawajazalisha...
5 Reactions
26 Replies
738 Views
Rais wa China bwana Xi JinPing amesema Nchi yake Iko tayari Kuijenga Tanzania Kuwa mfano na kielekezo Cha Ushirikiano wenye manufaa na wa Kimkakati baina ya China na Afrika Kupitia miradi ya...
15 Reactions
300 Replies
6K Views
Anonymous (3218)
Mzazi wangu ni mmoja wa Wazee ambao wamestaafu utumishi katika Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), mzee wangu na wenzake wengi waliostaafu Mwaka 2004, 2005 na 2006 hawajalipwa stahiki...
12 Reactions
73 Replies
4K Views
Askofu Msomi, Almachius Vicent Rweyongeza wa Jimbo la Kagera ameonekana kwenye moja ya Video akitoa hotuba kuiasa serikali namna ya kutuna na kudumisha amani ya Nchi. Ktk ku address mambo muhimu...
2 Reactions
11 Replies
521 Views
Wakati Viongozi wetu wamekwenda huko kutafuta wawekezaji na kutembeza bakuli, nadhani cha kujifunza kutoka kwao ni nini kimewafanya wafanikiwe na kufika huko. Kama tuna cha kujifunza kutoka kwa so...
4 Reactions
40 Replies
917 Views
juu ya yote, tumuombee dua Msigwa. hayupo vizuri ameunja record record za dunia. haiziwekani kakaa na Mbowe miaka 20, ghafla dakika 1 imekuwa adui. Hakuna mtu duniani sample hio hakuna .tangu...
3 Reactions
4 Replies
232 Views
Tunapigwa kwenye mikataba kwa sababu IQ zetu bado ndogo. Huwezi mzidi ujanja mwenye IQ kubwa kuliko wewe lazima akulambe tu. Juzi mchina Xi katukusanya kama kumbi kumbi huko mitaa ya Beijing...
6 Reactions
44 Replies
717 Views
Moderator, tafadhali kwa heshima na taadhima, naomba Uzi huu ujitegemee, usiunganishwe. Nataka rafiki yangu Mch. Peter Msigwa au washauri wake wa karibu wauone kirahisi pengine naweza kumsaidia...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Kama unaelewa mambo ya protocol utaelewa ninachosema Juu ya Mtu kuaminiwa na Mamlaka ya Juu kabisa Mbowe akiwa wilayani Hai alimkabidhi mchungaji Kiongozi Mchango wa Tsh 150 million kutoka kwa...
1 Reactions
0 Replies
220 Views
Back
Top Bottom