Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Israel kuna waislamu wengi Gaza na Nazareth kwao Yesu nk lakini waislamu wa Hamas Gaza ndio pekee wakorofi kwa Israel Waislamu wengi wanaishi Israel sehemu tatu Ukanda wa magharibi wa Israel...
1 Reactions
13 Replies
598 Views
Hii nchi ina maajabu makubwa kwenye ujjinga, na unafiki, ambao yumkini haupo Taifa lolote Duniani. Leo nilikuwa kwa ndugu yangu kijijini, wakati nikiwa napata dinner, na wenyeji wangu wakiangalia...
36 Reactions
75 Replies
3K Views
Huyu Salim Kikeke na Redio yao hii Crown Media wako juu sana na wanakuja kwa kasi kubwa kwani interview zao zimeenda mbali. Sikiliza huu mjadala mpaka mwisho.
20 Reactions
80 Replies
3K Views
Lengo Pamoja na mambo mengine, lengo kuu la serikali za mitaa ni kuwezesha wananchi kujiamlia mambo yao yanayowahusu ikiwa ni pamoja na maendeleo yao. Mambo yanayokanganya Jina la uchaguzi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Tanganyika ilimilikiwa rasmi na Ujerumani tangu mwaka 1885 baada ya mkutano wa kugawana Afrika uliofanyika mjini Berlin nchini Ujerumani. Baada ya hapo Watanganyika walianza kutawaliwa rasmi na...
10 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimesikitika sana ,kuumia sana,kuhuzunika sana na kusononeshwa sana na taarifa za uongo,uzushi, uchonganishi na ufitini zilizoletwa humu jukwaani na mwana jukwaa...
17 Reactions
157 Replies
4K Views
Leo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko...
15 Reactions
91 Replies
3K Views
Kauli hii imechukuliwa kama ushahidi, pia kuna tetesi kauli ya UVCCM mkoa wa Kagera ni dalili tosha kwa yanaoendelea, polisi ni kama wanauziwa mbuzi. Pia kauli ya Tulia Ackson aliyoitoa Mbeya ni...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Matukio ya kutisha na ya kishetani, kama yale ya utekaji wa watu na kuwapoteza, watoto wadogo kuuawa, kutawaliwa na watu wenye mioyo ya ukatili wa kupindukia, uovu kupewa heshima dhidi ya wema, ni...
17 Reactions
29 Replies
1K Views
1. Hongera Theopista kwa kuwa muwazii, usiyumbishwe. 2. Haiwezekani penye ukweli mtu akulazimishe cha kusema. 3. Mahakama punde itaweka wazi yote.
9 Reactions
95 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Kigamboni na Waziri mtarajiwa ameunguruma huko Arusha kama...
3 Reactions
7 Replies
548 Views
Salaam, Shalom! Swali hili nimekuwa nikujiuliza kitambo sasa kuwa, Ulipoasisiwa mfumo wa Vyama vingi July 1, mwaka 1992, CCM iliyokuwa chama pekee katika mfumo wa chama kimoja, ilipata usajili...
3 Reactions
66 Replies
3K Views
Mimi sijui ama mawazo yangu yako sawa au mimi ndo mshamba! Ni kwanini Mheshmiwa Raisi asiwe anachagua mawaziri kusimamima sekta ambazo wana experience nazo? Mfano waziri wa ulinzi anaweza kua...
12 Reactions
41 Replies
2K Views
Vyanzo vyangu vya kuaminika toka coridos of power vimenitonya mwanachama mtokwa machozi ya furaha pale anapotajwa kiongozi mkuu amepata teuzi huko CCM. Na ndio maana siku hizi ameacha kuweka...
23 Reactions
143 Replies
3K Views
Polisi wametoa taarifa leo walizoita za uhakika kwamba wamepata taarifa Viongozi wa CHADEMA wamefanya kikao kwa njia ya zoom na kuhamasisha Wafuasi wetu kwenda Ofisi mbalimbali za Serikali na...
9 Reactions
20 Replies
1K Views
List ya wengi wanaotekwa na kupotezwa ni wale raia wanao support au wanachama wa vyama pinzani na ccm. Hii inamaanisha nini? Pia soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa...
4 Reactions
11 Replies
792 Views
Kamati kuu ya CCM inatarijia kukutana tarehe 02/09/2024 huku pamoja na mambo mengine huenda Makamo Mwenyekiti wa CCM atajulikana baada ya Vikao hivyo. Chanzo: CCM
1 Reactions
3 Replies
273 Views
Polisi wamekuja na mkakati mpya wa ajabu na wa kujivua nguo kuonesha kushindwa kwao kufanya jukumu lao la kikatiba na kisheria la KULINDA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO. Sasa wanatafuta namna ya...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Vyama Vyote vya Siasa vina mambo mengi sana Jambo muhimu ni Polisi kuhakikisha nchi inakuwa na Amani Wakati wote CUF ya Prof Lipumba iliwahi kuleta Majambia yenye Bendera yao enzi za hayati...
2 Reactions
12 Replies
387 Views
📌 📌 Ubungo-NIT Mabibo 🗒️ 29 Agosti 2024 Mwenyekiti wa UWT mkoa Dar es salaam Ndugu Mwajabu Rajabu Mbwambo alikuwa Mgeni Rasmi katika kongamano la Mwanamke Jitambue lililondaliwa na Kablu...
0 Reactions
2 Replies
187 Views
Back
Top Bottom