Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Comrades, ladies and gentlemen.. CCM hoyeee ✊ Ndugu zangu wanachama, mabalozi, viongozi wa mashina na matawi popote mlipo. tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji baadae mwaka...
4 Reactions
95 Replies
1K Views
Kwa nionavyo mimi nchi yetu inako elekea ni kubaya sana. Nasema hivi kwa sababu katika utawala huu unao jiita awamu ya sita bila ilani ya awamu hiyo, imeifanya nchi kuonekana inafanya promo ya...
3 Reactions
11 Replies
699 Views
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii...
11 Reactions
103 Replies
4K Views
Mchungaji Msigwa alikuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA kwa Miaka zaidi ya 10 hivyo ni Wazi anajua Uovu mwingi wa Chama hicho na mapolisi na Wananchi watamuamini tu. Komredi Makalla alitumia...
1 Reactions
5 Replies
433 Views
Na; Mwandishi Wetu - DODOMA BUNGE limepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria za Hifadhi ya Jamii wa Mwaka 2024 wenye mambo kadhaa yanayolenga kuondoa changamoto zinazowakabili wanachama na...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
ANARIPOTI BONIYAI (BONIFASI JACOB) Tarehe 23/8/2024 miili 2 ya vijana wanaokadiriwa kuwa na chini ya umri wa miaka 30 ikiwa na boksa imeokotwa wilayani Kilolo kata ya mahenge Kijiji Igemi ambayo...
11 Reactions
73 Replies
5K Views
NI KISHINDO JIMBO LA MBAGALA MWENEZI MAKALLA AHITIMISHA ZIARA YA MAJIMBO 10, DSM USHINDI MKUBWA SERIKALI ZA MITAA Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu CPA Amos Makalla na...
0 Reactions
1 Replies
189 Views
WAFANYAKAZI wa migodi wametaka Sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) irudishwe bungeni kwenye mkutano ujao ili kipengele cha fao la kujitoa kiondolewe mara moja. Mbele ya wajumbe wa Kamati...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Kama kuna jambo Serikali ya Awamu ya kwanza inapaswa kujivunia basi ni kuruhusu Tanzania kuwa na Baraza Huru la Waislamu Ikumbukwe Taasisi nyingi za Dini nyingine zinawajibika kwa Viongozi wao...
8 Reactions
116 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Nimekuwa naona kwenye majukwaa mbalimbali ya siasa, wanasiasa wakisema kuwa watachapisha fomu moja tu ya Urais. Napenda kujua Who, au which group has that authority ndani ya...
2 Reactions
6 Replies
348 Views
Inasikitisha sana kuona Bunge la Tanzania likipitisha Muswada wa marekebisho ya Sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwa watumishi wa Umma kukatwa asilimia 10 ya mishahara yao kuchangia mifuko...
2 Reactions
7 Replies
965 Views
Hili suala la Soka na wenzake kutekwa, tayari nimeanza kuchukua hatua. Kwanza nimewaandikia barua kamati za bunge zinazohusika na mambo ya nje bunge la seneti USA na EU kutaka wasitishe misaada...
37 Reactions
216 Replies
5K Views
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wakiwasili bungeni Jijini Dodoma tayari kwa kushiriki kikao cha nne cha mkutano wa 16 wa Bunge. Miongoni mwa mambo yatakayoenda...
1 Reactions
0 Replies
207 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini Godbless amesema "ameona juzi kuna mbunge ndani ya Bunge ametaka Bunge lijadili masuala ya watu kupotea na kutekwa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Huwa nasema kila siku humu, usihatarishe maisha yako kwa kuwatetea wapumbavu! Watanzania wangekuwa wanajielewa CCM ingeshang'olewa kitambo. Ona Lissu kapata ulemavu sababu ya kutetea wapumbavu...
4 Reactions
43 Replies
1K Views
Naongea na mheshimiwa Lukuvi uliyeongoza ujumbe mzito na wenye matumaini Kwa watu wa Ngorongoro. Dunia na watanzania Kwa ujumla walikuwa wanafuatilia Kila Neno ulilotamka Kwa jamii ya watu wa...
1 Reactions
5 Replies
430 Views
Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020. Ni...
7 Reactions
56 Replies
2K Views
Hello ! Asubuhi asubuhi mwananchi yuko mlangoni kwa diwani kutaka chai , mchana ugali. Akiwa na mgonjwa kama hana pesa ya dawa mbio kwa diwani kuomba msaada. Sasa diwani analemewa analazimika...
0 Reactions
1 Replies
115 Views
Wakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki. Tanzania bila utekaji na kuumizwa inawezekana . Ipo vedio hivi ya kijana ambae inaonekana anajulikana kwa jina SATIVA ,simfahamu ila yupo...
5 Reactions
72 Replies
2K Views
Wadau nawasalimu. Kumekuwa na Matumaini Makubwa ya baadhi ya Wananchi kuwa Ujio wa Bw.Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutaubadilisha Mkoa wa ARUSHA na kuwa kama Mji wa DUBAI. Matarajio hayo...
6 Reactions
69 Replies
2K Views
Back
Top Bottom